Michelle
JF-Expert Member
- Nov 16, 2010
- 7,609
- 3,500
I won't dissapoint you dearest. Ntautumia ujasiri wako ipasavyo. . . lolz.
Hehhehehehe yani dearest kama mimi tu. Kua siku naamka sijisikii kupika na ntashibda au hata kulala bila kupika, kuna siku najisikia kujifunika tu na blanket nihangaike na tv au mtandao, yani nikifikiria kuwa na mtu mwingine ambae atanilazimu (kama sio mwelewa) nimweke yeye mbele muda wote naishiwa nguvu. Sijui ni ubinafsi au nini, ila napenda kufanya mambo nnapopenda mimi na sio nnapotakiwa kama inavyokua kwenye mahusiano mengi. Tunahitaji maombi aisee. . .lolz.
Yaani dearest, sipendi vurugu vurugu kabisaa, i want to be in control ya maisha yangu....imagine siku umechoka unataka kwenda sehemu kupumzika mumeo anakataa, unataka kulala hadi saa nane,mama mkwe yupo unaogopa mwanae akiamka kuandaa chai atasema umemwekea limbwata...aaaahhhh, my freedom is my disease....nimeshaombewa sana dearest,Mungu ana sababu ya kutuumba hivi bwana,perhaps atatupa wenzi waelewa.....!!