Embu jibu maswali wewe acha kiburi. . .
Umbea ntakupa nikikumbuka.
It really isn't.
But the funny thing is, the simplest things are the hardest to get a hold of. Sad ehhh. . . ?
Rude and mean. . . . ?
To whom?
Utajuaje hayo ujanani?
Una mpango wa kuoa/kuolewa?
Kama jibu ni HAPANA . . kwanini?
Kama ni NDIO. . . je ni VIGEZO gani ambavyo vikifikiwa na mkaka/mdada utashawishika/penda kuingia ndoani?
Na ni MASHARTI (usichukulie neno masharti kwa uzito wake, namaanisha vitu ambavyo ni muhimu kuzingatiwa) gani ambayo yakizingatiwa unaamini ndoa yako itadumu?
Una mpango wa kuoa/kuolewa?
Kama jibu ni HAPANA . . kwanini?
Kama ni NDIO. . . je ni VIGEZO gani ambavyo vikifikiwa na mkaka/mdada utashawishika/penda kuingia ndoani?
Na ni MASHARTI (usichukulie neno masharti kwa uzito wake, namaanisha vitu ambavyo ni muhimu kuzingatiwa) gani ambayo yakizingatiwa unaamini ndoa yako itadumu?
Umegundua eeeh! Ukitaka kujua uhondo wa ngoma sharti uingie kucheza.Lizzy ningefurahi kweli nikisia wewe uko upande gani katika hili... (if you don't mind)
mmmh vigezo
1.awe na miaka 30 na kuendelea
2.watoto max 2 maana nimeona vijana wengi wana watoto sana siku hz
3.awe mkristo-lutheranor rc walokole sitaki au sda
4.awe na maisha ya kueleweka kazi biashara yaani awe na source ya income iwe low,medium or high yeyote
5.awe na mvuto bana
6.awe na upendo wa kufa na kuoza juu yangu anichukulie nilivo sipendi kuongea saana sipendi ugomvi wala kuonewa
7.simu yake ni yangu na yangu ni yake niiwe free na simu yake na asimaind
8.awe na busara,mpole asiwe anaongea sana bila sababu labda awe ananipa story za kunifurahisha sipendi makelele
9.awe na akili ya maisha i mean aweze kusimama kama baba kwenye familia awe ni mtu mwenye uwezo wa kutoa maamuzi hata kama ni magumu-asiwe mwoga
10-awe na uwezo wa kuniprotect na mambo yote,maadui,magonjwa
11 awe ma best friend the one i can count on evertything sio nakuja kukopa chakula ofsin wakati nimefulia kwa bahati mbayawhile nina mume ndani nina mume ndani
12 tushee kila kitu kwa shida na raha
13 asipende sex saaana mi kila siku siwezi besides siolewi kwa ajili iyo tu at lesat mara 2/3 kwa wk especially wkend
14 asiwe mlevi,mvuta sigara au bangi
15 asiwe mshirikina au mchawi au wa jamii iyo
16 awe mchaga aisee
17 badae nitakupm
Una mpango wa kuoa/kuolewa?
Kama jibu ni HAPANA . . kwanini?
Kama ni NDIO. . . je ni VIGEZO gani ambavyo vikifikiwa na mkaka/mdada utashawishika/penda kuingia ndoani?
Na ni MASHARTI (usichukulie neno masharti kwa uzito wake, namaanisha vitu ambavyo ni muhimu kuzingatiwa) gani ambayo yakizingatiwa unaamini ndoa yako itadumu?
nani aolewe na ombaomba?mwee niombe radhiLazima uolewe na mgogo maana hakuna mchaga anayefikia vigezo hivyo. Wao ni wafanya biashara, cha pombe, wakali wa mechi za nje mara moja moja na ukikagua taili wakiwa wamerudi mida hiyo ya maane taili utakuta ina upepo kidogo au aka slow puncture!