Single girls mko wapi? KIla ninayemtongoza anasema ana mtu

Single girls mko wapi? KIla ninayemtongoza anasema ana mtu

hata sijui nikueleze kivp vp yani, kwa ufupi yani kuwa MWANAUME HALISI.

A real GENTLEMAN knows what he wants and how to get it,
jichunguze unaishije, unavaaje, unaongeaje, na mengine mengi kama hayo pia jaribu kujiangalia kama unafanana na vijana hawa wa miaka 15-26 (approxmately)....wanajiita sijui wanaitwa masharobaro!

mwanamke anaweza kuvutiwa na wewe kwa kitu kidogo sana na ukajikuta hutumii nguvu wala pesa.
Asante sana
 
Mkuu tafuta kwanza nyumba kali,gari kali,pesa za kutosha,elimu masters,iphone utawala mpaka uchoke ila ni wa hapa jf tu lakini huku mtaani tunagonga mademu wakali kinyama na hivyo vyote vya juu hatuna tuna kimoja tu CONFIDENCE
Mi hata hapa mtaani nimetongoza wawili wamesema wana watu wao.
 
Unapo anza kumtongoza mwanamke yeyote yule kichwani anakuwa na asilimia 100% za kukubali kukuvulia nguo umt.ie lakini wewe mwenyewe ndo unaanza kujipunguza kwenye riziki kutokana na ushamba wako sema tu huwa wanapenda kumpima huyo mwanaume ili wajue nikweli kwake umefika na kwa kiasi gani? Hivyo hujaribu kubuni vikwazo feki ili wakuone unauimara kiasi gani kwenye jambo unalomueleza. Sijui kama naeleweka. Ila angalia usije ukawavua nguo Hadi ndugu zako.
Kwahiyo yawezekana si kweli kwamba wana watu wao?
 
Kuna kitu kinaitwa cut throat competition linapokuj suala la madem,mkuu its a matter between life and death only the strong ones to survive,mm skuiz nikiambiw "nina mtu" ndo nakomaa
 
Kwahiyo yawezekana si kweli kwamba wana watu wao?
Ndio na hata kama anamtu wake Ila akakuo a uko imara juu ya jambo ulilomwambia mzigo umekula. Halafu kumuuliza demu kama hana au anaye ni ishara tosha kabisa kumjulisha kuwa hujampenda,hujiamini,humthamini kifupi anakuwa amekutana na kiumbe chenye jinsia ya kiume nasio mwanaume. Hata akakutengenezea kakikwazo feki ka aina huyo ukakapuuza na kuonesha hubabaiki unang'oa mzigo iiiizeee kabisa unaenda kuanza kula pepo ya dunia.
 
HV unatongoza madem mpk karne hii...??

Huna pesa basi kuwa muongo madem ni wepesiiii na waelewa sana,ila hakuna mzur alie single huwa tunapola tuu
 
Hapana. Ila nimetongoza mara tano hivi karibuni
aisee maana nilipata mshangao kidogo..


ila jua ni wanawake wachache utaowatongoza watakaokwambia wapo single wengi watakwambia wana mtu ili wakupime upande dau
 
Ukitaka kwenda chooni ww ingia tu...ukipiga hodi utaambiwa kuna mtu
FB_IMG_1505560662846.jpg
 
Ndio na hata kama anamtu wake Ila akakuo a uko imara juu ya jambo ulilomwambia mzigo umekula. Halafu kumuuliza demu kama hana au anaye ni ishara tosha kabisa kumjulisha kuwa hujampenda,hujiamini,humthamini kifupi anakuwa amekutana na kiumbe chenye jinsia ya kiume nasio mwanaume. Hata akakutengenezea kakikwazo feki ka aina huyo ukakapuuza na kuonesha hubabaiki unang'oa mzigo iiiizeee kabisa unaenda kuanza kula pepo ya dunia.
Kwahiyo kaka unanishauri niendelee kuforce?
 
aisee maana nilipata mshangao kidogo..


ila jua ni wanawake wachache utaowatongoza watakaokwambia wapo single wengi watakwambia wana mtu ili wakupime upande dau
Kwahiyo kuna uwezekano kuwa hawana watu kama wanavonambia?
 
Back
Top Bottom