Single girls mko wapi? KIla ninayemtongoza anasema ana mtu

Single girls mko wapi? KIla ninayemtongoza anasema ana mtu

Wenye IQ kubwa tunaelewa zaidi ya maandishi yako yanavyosema ngoja nidadavue ,umezungumzia Kwenda church hiyo ni market strategy kuwa we ni mcha Mungu,ukazungumzia unaofanya nao kazi hii ina manisha we una ajira ambayo ni urimbo kwa wanawake wa siku hizi haswa enzi hizi za jpm so nakutakia kilala heri kwenye tangazo lako.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Mi sipendi mahusiano ya mtandaoni. maana wengi siwajui
Sasa single ladies/girls siungewafuta huko mtaani kwenu kwa kuweka bango mtaani.

Ujinga wa watu hawajui mitandao ni namna iliyowekwa kurahisisha kukutana watu kirahisi,

Ni sawa na usafiri wa gari na ndege, ukisafiri kwa miguu utafika, kwa gari utafika haraka, ila kwa ndege unafika haraka zaidi, so iko hivi hizi social network zinasaidia kikutanisha watu cha msingi kuwa makini basi.
 
Sasa single ladies/girls siungewafuta huko mtaani kwenu kwa kuweka bango mtaani.

Ujinga wa watu hawajui mitandao ni namna iliyowekwa kurahisisha kukutana watu kirahisi,

Ni sawa na usafiri wa gari na ndege, ukisafiri kwa miguu utafika, kwa gari utafika haraka, ila kwa ndege unafika haraka zaidi, so iko hivi hizi social network zinasaidia kikutanisha watu cha msingi kuwa makini basi.
Asante kwa ushauri mkuu
 
Habari zenu ndugu zangu.

Mimi ni single boy, ila maisha ya kuwa single yamenichosha maana umri nao umeenda. Nimetongoza mara 5 mpaka sasa na ni girls watano tofauti ila wote wananiambia "MIMI NNA MTU WANGU".mkuu hukuoa

Katika watano hao wawili nafanya nao kazi, mmoja nasali nae church na wawii ni wahapa mtaani.

Sasa jamani mi naomba kuuliza; single girls wako wapi na naweza nikawagunduaje maana kila nnaetongoza ananambia ana mtu tayari.

Natanguliza shukrani.
 

Attachments

  • Screenshot_20171004-194508.png
    Screenshot_20171004-194508.png
    45.4 KB · Views: 40
what you mean bro
hata sijui nikueleze kivp vp yani, kwa ufupi yani kuwa MWANAUME HALISI.

A real GENTLEMAN knows what he wants and how to get it,
jichunguze unaishije, unavaaje, unaongeaje, na mengine mengi kama hayo pia jaribu kujiangalia kama unafanana na vijana hawa wa miaka 15-26 (approxmately)....wanajiita sijui wanaitwa masharobaro!

mwanamke anaweza kuvutiwa na wewe kwa kitu kidogo sana na ukajikuta hutumii nguvu wala pesa.
 
Mkuu tafuta kwanza nyumba kali,gari kali,pesa za kutosha,elimu masters,iphone utawala mpaka uchoke ila ni wa hapa jf tu lakini huku mtaani tunagonga mademu wakali kinyama na hivyo vyote vya juu hatuna tuna kimoja tu CONFIDENCE
 
Unapo anza kumtongoza mwanamke yeyote yule kichwani anakuwa na asilimia 100% za kukubali kukuvulia nguo umt.ie lakini wewe mwenyewe ndo unaanza kujipunguza kwenye riziki kutokana na ushamba wako sema tu huwa wanapenda kumpima huyo mwanaume ili wajue nikweli kwake umefika na kwa kiasi gani? Hivyo hujaribu kubuni vikwazo feki ili wakuone unauimara kiasi gani kwenye jambo unalomueleza. Sijui kama naeleweka. Ila angalia usije ukawavua nguo Hadi ndugu zako.
 
Mkuu hakikisha kwa siku unatongoza mademu 20 kwa wiki ni 140 hapa huwezi kosa 10
Kuna ka msemo kanasema YES is a destination and NO is how you get there
 
Back
Top Bottom