donn ngeta
Member
- Sep 1, 2017
- 82
- 29
wanatusumbua mnoooo
Sijakuelewa hapo mkuunicheki inbobo
Wenye IQ kubwa tunaelewa zaidi ya maandishi yako yanavyosema ngoja nidadavue ,umezungumzia Kwenda church hiyo ni market strategy kuwa we ni mcha Mungu,ukazungumzia unaofanya nao kazi hii ina manisha we una ajira ambayo ni urimbo kwa wanawake wa siku hizi haswa enzi hizi za jpm so nakutakia kilala heri kwenye tangazo lako.Sio tangazo hilo, mi naomba ushauri hapo.
Hahahahaa Sawa Kaka, ila mi sikumaanisha hivyo. Karibu kunishauriWenye IQ kubwa tunaelewa zaidi ya maandishi yako yanavyosema ngoja nidadavue ,umezungumzia Kwenda church hiyo ni market strategy kuwa we ni mcha Mungu,ukazungumzia unaofanya nao kazi hii ina manisha we una ajira ambayo ni urimbo kwa wanawake wa siku hizi haswa enzi hizi za jpm so nakutakia kilala heri kwenye tangazo lako.
Mapenzi na Pesa ndio kitendawili kigumu zaidi dunianihuna hela
Kweli aisee na no ile paleDuuh,mbona umemwanika neema stand kiasi hiko
Aweke dau kwani ananunua mzigoWe jamaa ndio unaanza kutongoza nini.? Hatuulizagi hayo maswali..piga voco weka dau..ateleweka tu.
Ili kuepusha maswali yasio yamsingi kama hayo..mana pesa ndio mchawi wao hawa watu..anaweza akakana hata ukoo wao..Aweke dau kwani ananunua mzigo
Wakati wa kutafuna samaki muangalie miba, ugonjwa wa ini na ukimwiKuwa serious mbona wenzio tunawatafuna sana wadada wa jf, instagram, whatsapp(group) na facebuka..!
Labda utakuwa domo zege wewe.m
Sawa mkuu,ngoja siku na mimi nijaribu hii njia aisee...Ili kuepusha maswali yasio yamsingi kama hayo..mana pesa ndio mchawi wao hawa watu..anaweza akakana hata ukoo wao..
ntapambanaje na wote mmewahiwa dadaPambana tu kaka
Maswali gani kaka?We jamaa ndio unaanza kutongoza nini.? Hatuulizagi hayo maswali..piga voco weka dau..ateleweka tu.
Kama hakupi hata nafasi ya kuwa karibu nae utafanyaje?Karibu kila demu ana mtu wake,lakini wengi wao hawana furaha kwenye mahusiano yao,kwa hiyo ukiweza kuingia vizuri na ukampa furaha ya Moyo lazima atamuacha huyo jamaa yake