Single girls mko wapi? KIla ninayemtongoza anasema ana mtu

Single girls mko wapi? KIla ninayemtongoza anasema ana mtu

HAKUNA DEMU SINGLE. MWANAUME MMOJA ANA WANAWAKE 10 HAWAJUANI, LAKIN WOTE WATASEMA WANA MTU.

MWANAMKE M1 ANA WANAUME 10, ATAKUAMBIA ANA MTU.

LAKINI NIKUCHEKESHE SASA

WANAUME WOTE TUPO SINGLE ILA WANAWAKE WOTE WANA WATU. AHAH

TAFUTA HELA MKUU, NUNUA NA USAFIRI, HALAFU WARUDIE HAO WATANO.

NAKUAHD, WOTE UTAWATAFUNA.
kwahiyo kaka hakuna upendo bila pesa?
 
Sasa hivi mapenzi sio uwezo wa kutongoza au utanashati, pesa iwe ipo vinginevyo utamaliza soli za viatu kwa miseli isiyo na faida.
Ungekuwa na ka~vitz tu wangeingia kama mbu hata ungeshindwa kuchagua.
Kaka unachekesha sana
 
Inabidi wanaume wenzangu mue na mwanamke mmoja mmoja ili na sisi wenzenu tupate
 
Inabidi wanaume wenzangu mue na mwanamke mmoja mmoja ili na sisi wenzenu tupate
 
Girl ukimforce sana anabadili hata njia akikuona.
usimforce kama unataka awe wako kilazima ss, kuna technique za kumfanya mwanamke akupende hata kama ana mtu wake, japo sio vizuri kuendelea kumfatilia kama amekwambia anamtu wake.

kubali kuwa mjinga mwanzoni uku ukiendelea kumsoma msimamo wake....kuna point ukiweza kuifikia utatulia tu na yeye ndio ataanza kukusumbua,

NB: wakati mwingine ni kawaida yao kusema wako na mtu ili kukuPush-away...just read her mind well and u'll get her.
 
Mwanamke single hakuna, hata aliye na mtu kuna wengine wanasubiria, na bado anatongozwa upya kila siku. kwa hiyo hapo umeingia kwenye waiting list, vuta subira, kaza kamba, kuwa mbunifu.
 
usimforce kama unataka awe wako kilazima ss, kuna technique za kumfanya mwanamke akupende hata kama ana mtu wake, japo sio vizuri kuendelea kumfatilia kama amekwambia anamtu wake.

kubali kuwa mjinga mwanzoni uku ukiendelea kumsoma msimamo wake....kuna point ukiweza kuifikia utatulia tu na yeye ndio ataanza kukusumbua,

NB: wakati mwingine ni kawaida yao kusema wako na mtu ili kukuPush-away...just read her mind well and u'll get her.
Teach me more about techniques bro
 
Mwanamke single hakuna, hata aliye na mtu kuna wengine wanasubiria, na bado anatongozwa upya kila siku. kwa hiyo hapo umeingia kwenye waiting list, vuta subira, kaza kamba, kuwa mbunifu.
nisubiri jambo gani mkuu?
 
Una boifrend..umeolewa..ulishakua kwenye mahusiano mara ngapi na nani.? Hayo maswali mtoto wakiume hutakiwi kuuliza..labda ajipendekeze yeye kuyasema..its non of your biz.
Nimekuelewa mkuu. Kuna jambo jingine unaweza nishauri?
 
Sasa ndugu utatoa pesa wakati wa kutongoza?
ten usithubutu kutoa ela wakati upo kwenye process ya kutaka mwanamke serious, ukionyesha kutumia ela sana atahisi huna uwezo wa kumshawishi zaidi ya kutumia ela,

lakin kama ndo unataka girlfriend sijui for one night stand tumia ela, japo wanatofautiana sana....

hawaeleweki hawa viumbe aisee...
 
ten usithubutu kutoa ela wakati upo kwenye process ya kutaka mwanamke serious, ukionyesha kutumia ela sana atahisi huna uwezo wa kumshawishi zaidi ya kutumia ela,

lakin kama ndo unataka girlfriend sijui for one night stand tumia ela, japo wanatofautiana sana....

hawaeleweki hawa viumbe aisee...
Asante kwa ushauri mkuu
 
Back
Top Bottom