karume kenge
JF-Expert Member
- Mar 9, 2016
- 568
- 421
- Thread starter
- #61
Hapo tulikua tunatoa msaada wa kulivuta
Kama kawaida yao.upande wa kushoto. .ningekuwa na mamlaka ningenyonga madereva hawa.Hapo makonda hawajapona
Mkuu Sema ukweli ungekuwa wew ungepeleka upande gani?Kama kawaida yao.upande wa kushoto. .ningekuwa na mamlaka ningenyonga madereva hawa.
Zilerte ZAOO APANDI MTU KABISAHii kampuni ndio kwanza inaanza safari za Tanga kwenda Shinyanga..haina muda mrefu..kwa njia ile ya kati wengi wanazijua muda mrefu..hazina CV nzuri...by the way Mungu awaweke panapostahili marehemu wote
Innsha'Allah . ....amenEee Mungu baba muumba wa ardhi na mbingu na vitu vyote vinavyoonekana na visivyo onekana nakuomba uwasamehe marehemu makosa yao waliyotenda hapa ulimwenguni uwalaze pahala pema peponi
Pale panaitwa kwa fa.la, dereva yoyote yule lazima apigie pale kwanza.!Dereva nuksi kweli kapiga pale kwa konda na keyboot
Ndo walikuwa kumalizia masomo yao kwani?Inauma sana kama nawaona vile walivyokua wanaondoka kwa pamoja chuon wakiwa na furaha..R I P