Ukiwa garini ni sawa na kuingizwa ICU tu, uko njia panda ya kupendwa zaidi na Mungu au wanadamu.Imefika pahala tunaogopa kusafiri sasa! Eeh Bwana Mungu wa majeshi tulinde. Pole kwa wafiwa wote na majeruhi.
Asante sana kwa werevu wako uliotukukaACHA UPUUZI WEWE ..
Asante sana FirwauniACHA UPUUZI WEWE ..
Ni kweli kabisa mkuu mwanzo nilifikiri ndege ni solution ila yalipoanza matukio yakupotea ndege mara kupata ajali nikahuzunika sana. Kimbilio lililobaki kwa wanadamu ni damu ya Yesu tu huko kwingine hata ufanyeje wakitaka kukukamata wanakukamata simple tu.Ukiwa garini ni sawa na kuingizwa ICU tu, uko njia panda ya kupendwa zaidi na Mungu au wanadamu.
Poa mkuu! Ila umenichekesha sana mkuu! Mi nataka nisafiri salama nifike Dar toka huku Bariadi, we unaniamba damu ya Yesu! Nimechekaje hapa. Mambo ya kiimani zaidi haya, nitayazingatia mkuu.Ni kweli kabisa mkuu mwanzo nilifikiri ndege ni solution ila yalipoanza matukio yakupotea ndege mara kupata ajali nikahuzunika sana. Kimbilio lililobaki kwa wanadamu ni damu ya Yesu tu huko kwingine hata ufanyeje wakitaka kukukamata wanakukamata simple tu.
Ipo siku utajua thamani ya damu ya Yesu wa Nazarethi.Poa mkuu! Ila umenichekesha sana mkuu! Mi nataka nisafiri salama nifike Dar toka huku Bariadi, we unaniamba damu ya Yesu! Nimechekaje hapa. Mambo ya kiimani zaidi haya, nitayazingatia mkuu.