Sahau maana siwazi negative kama wee"Everyone has a plan until they get punched in the mouth" is a famous quote by boxer Mike Tyson, highlighting that strategies often fall apart upon encountering unexpected adversity or "reality". It emphasizes that theoretical planning is useless without the adaptability to handle chaos, pain, or direct, unforeseen conflict.
Subiri ufumaniwe na mke wa mtu.
Jamaa kaupaka mkongo kabisa huku kashika chuma ya moto au panga.
Utajua mbinu zako Zina mwisho wake nao no kupakwa wese.
Ngoja nitoe vitu kwenye gari kwanza ndo kwanza nimefika homu
Bikira wangapi tunawamega huku mtaani? Majuzi nimekutana na mama mmoja aliolewa na mume wake akiwa bikira sasa anashangaa kwamba tangu ameolewa hajawahi kufika kibo, juzi ndiyo amefika! Eti na wewe ndiyo unajipa matumaini eti dawa ni bikira! Mwanamke mwenye hulka ya umalaya ni malaya tu!Suluhisho kuoa bikra.
Kasema mwenyewe huko anafirimbwa tu, sijui anataka ushauri ganiHatar sana jamaa itakuwa anaramba mtaro sio bure.
Na hapo unakuta mumeo anampa Kila anachotaka na anajua mtoto ni wake
Sio ndani ya ndoa tu. Mtoto akizaliwa tu kupima DNA iwe mandatory. Hata hivyo hilo wazo nina uhakika wanawake watalipinga kwa nguvu kubwa sanaKuna haja ya kuanzishwa sheria kwa kila mtoto atakaye zaliwa ndani ya ndoa,
Basi iwe ni lazima kupimwa DNA tests ili kujua biological relationship kati ya mtoto na Baba wa mtoto,
Hii ndio solution pekee iliyo baki na ndio itakayo komesha kwa wanaume kubambikiwa watoto ambao sio wao.
Tanzania mchakato wa kupima DNA ni mrefu na kuna tetesi kwamba vipimo vinachakachuliwa kulinda masilahi ya mtoto. Mwanaume anaetaka kupata uhakika suluhisho ni kwenda kupima DNA nje ya nchiJambo zuri lakini wakati ikisubiri hili liwe sheria
Mtu kama una uwezo unaweza kufanya kimya kimya na ukajua which is which
Hata mimi nilisikia hua wana balance mambo sijui wanatumia kigezo kumbebesha mtu mzigo usio muhusuTanzania mchakato wa kupima DNA ni mrefu na kuna tetesi kwamba vipimo vinachakachuliwa kulinda masilahi ya mtoto. Mwanaume anaetaka kupata uhakika suluhisho ni kwenda kupima DNA nje ya nchi
Hiyo inatakiwa iwe sheria na inakua ndani ya cheti cha ndoa,na wote wana sign.Sio ndani ya ndoa tu. Mtoto akizaliwa tu kupima DNA iwe mandatory. Hata hivyo hilo wazo nina uhakika wanawake watalipinga kwa nguvu kubwa sana
Duuuh huyo itakuwa ananyonywa kinyeo na ex, afu mume hayo mambo hayajuiEx ndo anafanya vitu ambavyo mdada alieolewa anapenda Mwamba 777
Acheni kuzua taharuki. Kitanda hakizai haramu.Kuna haja ya kuanzishwa sheria kwa kila mtoto atakaye zaliwa ndani ya ndoa,
Basi iwe ni lazima kupimwa DNA tests ili kujua biological relationship kati ya mtoto na Baba wa mtoto,
Hii ndio solution pekee iliyo baki na ndio itakayo komesha kwa wanaume kubambikiwa watoto ambao sio wao.
Muolewe na mnao taka kuzaa nao,sio unaolewa halafu unagongwa hovyo huko nje kama Paka,Acheni kuzua taharuki. Kitanda hakizai haramu.
Muolewe na mnao taka kuzaa nao,sio unaolewa halafu unagongwa hovyo huko nje kama Paka,
Ni bora ukasimame huko barabarani ili uwe unagongwa na kila mtu kwa kulipia kuliko kuingia kwenye ndoa halafu unapigwa mimba na mwingine.