Sina neno, jioneeni wenyewe

Sina neno, jioneeni wenyewe

Kuna haja ya kuanzishwa sheria kwa kila mtoto atakaye zaliwa ndani ya ndoa,
Basi iwe ni lazima kupimwa DNA tests ili kujua biological relationship kati ya mtoto na Baba wa mtoto,

Hii ndio solution pekee iliyo baki na ndio itakayo komesha kwa wanaume kubambikiwa watoto ambao sio wao.
Hapa Bongo si kila ikipimwa wanasema ni mtoto wa baba husika wa wakati huo, kuepusha watoto wa mtaani.
Au utaratibu utabadilika?
 
Ndio

Mi binadamu mwenye jinsia ya kike

Mi mzima kabisa.

Karibu pm iko wazi,,, ukija na hoja utajibiwa ukija kwa karaha utakula za uso.
Ha ha haa 🤣🤣🤣
Nimecheka peke yangu kama chizi.
Anyway, Asante kunikarbisha PM.
Kweli wewe siyo AI bot.
Siku nikiwa na hoja nitakuja. Sasa Sina hoja nitakuwa miyeyusho na karaha tu.
 
Watu wanajikuta wastaarabu, dunia haitaki watu wastaarabu kwenye mambo mengi. Unaweza kujisifu kuwa Una mke muaminifu Sana lakini hujui Tu ndo kama huyo Jamaa sasa.
 
Nini cha kuona hapo? Una haraka ya kuleta umbea. Subiri siku waje na stori ya mwanamke aliyeolewa na bikra yake na bado akasaliti mume wake
Nini hiki umeongea?
 
WAtu tuna mbinu ndugu
"Everyone has a plan until they get punched in the mouth" is a famous quote by boxer Mike Tyson, highlighting that strategies often fall apart upon encountering unexpected adversity or "reality". It emphasizes that theoretical planning is useless without the adaptability to handle chaos, pain, or direct, unforeseen conflict.
Subiri ufumaniwe na mke wa mtu.
Jamaa kaupaka mkongo kabisa huku kashika chuma ya moto au panga.
Utajua mbinu zako Zina mwisho wake nao no kupakwa wese.
 
Huyu mwanamke hadi nimepata hasira.Hajitambui hadi anaowaomba ushauri wamemuona ni jinga la wajinga.
 
Back
Top Bottom