Espy_
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 91,911
- 183,311
š¤£š¤£š¤£ tulieni, hata haihitaji hasira.Muolewe na mnao taka kuzaa nao,sio unaolewa halafu unagongwa hovyo huko nje kama Paka,
Ni bora ukasimame huko barabarani ili uwe unagongwa na kila mtu kwa kulipia kuliko kuingia kwenye ndoa halafu unapigwa mimba na mwingine.