Sina neno, jioneeni wenyewe

Sina neno, jioneeni wenyewe

Ndiyo maana baadhi ya makabila ya kusini mtoto anafuata ukoo na kuandikisha jina upande wa mama siyo baba.
Una uhakika 100% mama ndiyo mzazi wako halisi.
Vile vile huruhusiwi kuoa binamu mtoto wa mjomba wako. Unaoa Mtoto wa shangazi yako, Yani mtoto wa dada wa baba yako.
 
Kuna haja ya kuanzishwa sheria kwa kila mtoto atakaye zaliwa ndani ya ndoa,
Basi iwe ni lazima kupimwa DNA tests ili kujua biological relationship kati ya mtoto na Baba wa mtoto,

Hii ndio solution pekee iliyo baki na ndio itakayo komesha kwa wanaume kubambikiwa watoto ambao sio wao.
 
Ndiyo maana baadhi ya makabila ya kusini mtoto anafuata ukoo na kuandikisha jina upande wa mama siyo baba.
Una uhakika 100% mama ndiyo mzazi wako halisi.
Vile vile huruhusiwi kuoa binamu mtoto wa mjomba wako. Unaoa Mtoto wa shangazi yako, Yani mtoto wa dada wa baba yako.
Mtwara,Lindi na almost kusini nzima.....mtoto ni wa ujombani!
 
OGopa sana kiumbe ambacho kilikutana na shetani na wakakubaliana sio mchezo Mungu mwenyewe kasema tuishi nao ila kwa akili
Wanaume tungeijua lugha waliyoitumia nyoka na mwanamke kwenye mjadala wao siku ya kwanza labda tungepata suluhisho. Sio ajabu nyoka na mwanamke wakawa bado wanawasiliana na kupanga mipango ya kumuangamiza mwanaume, halafu Mungu kapiga kimyaa... Katika hili Mungu hana msaada wowote kwa mwanaume
 
Kuna haja ya kuanzishwa sheria kwa kila mtoto atakaye zaliwa ndani ya ndoa,
Basi iwe ni lazima kupimwa DNA tests ili kujua biological relationship kati ya mtoto na Baba wa mtoto,

Hii ndio solution pekee iliyo baki na ndio itakayo komesha kwa wanaume kubambikiwa watoto ambao sio wao.
Jambo zuri lakini wakati ikisubiri hili liwe sheria
Mtu kama una uwezo unaweza kufanya kimya kimya na ukajua which is which
 
Kuna haja ya kuanzishwa sheria kwa kila mtoto atakaye zaliwa ndani ya ndoa,
Basi iwe ni lazima kupimwa DNA tests ili kujua biological relationship kati ya mtoto na Baba wa mtoto,

Hii ndio solution pekee iliyo baki na ndio itakayo komesha kwa wanaume kubambikiwa watoto ambao sio wao.
Ukibambikiwa umetaka mwenyewe
 
Back
Top Bottom