Sina kilevi, nichagulie

Sina kilevi, nichagulie

Shindikanaa tukivuta kwanza chumba kiwe guza then tukae mkao wa meditation 🧘‍♂️🧘‍♀️ usipokimbia nakupa 100tzsh
Jamaa angu mmoja anasema baada ya kupiga KITANDA KIKAWA KINAZUNGUKA KAMA BEMBEAA☺️

UGALI AKAWA ANAUMEGA KWA JUU KISHIMO KIDOGO ANARUKA TAMBO NDEEEFUUU
 
Sio mtu wa wanawake
Sio mtu wa betting
Sio mlevi
Sio mvuta bangi
Sio mtoka out
Sio mtu dini saana
Sio mtu wa kupenda starehe
Sio mtu wa makundi na vishawishi
Sio mtu wa kununua Malaya
Sio mtu wa kuvuta mirungi Wala sigara
Yani nimenyooka tatizo ni kwamba Kuna muda napitia changamoto sijui nitumie njia gani kutafuta suluhisho Naona inaweza kuleta madhara kwa upande wa afya ya akili.

Naanza kuvutiwa na uvutaji wa bangi
Bangi sawa, haina tatizo kama tumbaku na pombe.
Piga jani kijana usikae kizembe.
 
Sio mtu wa wanawake
Sio mtu wa betting
Sio mlevi
Sio mvuta bangi
Sio mtoka out
Sio mtu dini saana
Sio mtu wa kupenda starehe
Sio mtu wa makundi na vishawishi
Sio mtu wa kununua Malaya
Sio mtu wa kuvuta mirungi Wala sigara
Yani nimenyooka tatizo ni kwamba Kuna muda napitia changamoto sijui nitumie njia gani kutafuta suluhisho Naona inaweza kuleta madhara kwa upande wa afya ya akili.

Naanza kuvutiwa na uvutaji wa bangi
Piga Nyeto hutojua kamwe!
 
Huu Uzi sio wa walevi bwana MIMI MWENYEWE SIO MLEVI PIA SIVUTI SIGARA NA HUWA NASTAAJABU KUONA MTU ALIANZAJE KUVUTA SIGARA.

MIMI HUWA NAKUNYWA JION BAADA YA KAZI MARAMOJA MOJA TENA SPIRIT ONLY SINYWI BIA
Kama unavyo staajabu uki ona mtu kavuta sigara, nami nastaajabu mtu akinywa hata funda Moja.
 
Back
Top Bottom