Sina kilevi, nichagulie

Sina kilevi, nichagulie

Hii nyuzi ndiyo ile ID yako nyingine uliyosema ulijisahau nayo siku moja ulivyolewa?

Nipo majukumu tu na naona watu wa NRNE wametukataza kuandika mada zetu za utamu wanasema tunalipwa na TISS, acha mie na Nusratt wangu tupause kidogo 😂 😂 😂 😂 .
😆😆😆 I'd yangu ipotezee tu
 
🙊 Nijambo la muda tu one day utakunywa japo kwa afya save the date Mimi nilikuaga na msimamo zaidi ya che Guevara 😳 Ila with time nikabadilisha mtazamo NACHUKIA ULEVI WALEVI ILA MIMI NI MNYWAJI WAKISTAARABU TENA WENGI HAWAJUI KAMA NAKUNYWA MAANA SIENDI BAR AMA CLABU GROSSERY MIMI NAENDA LIQUOR NACHUKUA MAGIC MOMENTS OR KONYAGI NDOGO MOJA INANITOSHA SANAA 🥃 SITO KUJA KUA MLEVI ABADANI NA SIUNGI MKONO ULEVI
Kiranga huyu ni kimuita mpuuzi nakosea?
 
Kunywa maji mengi uwe unakojoa kila muda utanishukuru baadae...
Hii huoni inaweza sababisha usiku ajikojolee kitandani "" Kuna jamaa yetu advance kwenye dormitory yetu alikuaga anakunywa maji mengi usiku kile KISADOLINE ANAMALIZA""

ALAFU ANALALA KITANDA CHA JUU SIKU AKABWAGA KOJO KITANDANI KIASI CHA KULOWANISHA GODORO NA NYINGINE KUTUAMA KWENYE NAYLON YA KWENYE MATANDAGU YA KITANDA.

AISEEEE KUPITA SIKU MBILI NDANI KUKAWA NA UVUNDO MKUBWA TUKA ANZA SAKA SAKA TUKAFIKA KWENYE KITANDA CHAKE CHA JUU KWANZA JAMAA ALIKUAAGA MKAX TUKAMUANZISHIA CHOKO CHOKO HAAHAA AIBU IKABIDI KWENDA KUWA ANA ANIKA GODORO KAMA MTOTO
 
Hii huoni inaweza sababisha usiku ajikojolee kitandani "" Kuna jamaa yetu advance kwenye dormitory yetu alikuaga anakunywa maji mengi usiku kile KISADOLINE ANAMALIZA""

ALAFU ANALALA KITANDA CHA JUU SIKU AKABWAGA KOJO KITANDANI KIASI CHA KULOWANISHA GODORO NA NYINGINE KUTUAMA KWENYE NAYLON YA KWENYE MATANDAGU YA KITANDA.

AISEEEE KUPITA SIKU MBILI NDANI KUKAWA NA UVUNDO MKUBWA TUKA ANZA SAKA SAKA TUKAFIKA KWENYE KITANDA CHAKE CHA JUU KWANZA JAMAA ALIKUAAGA MKAX TUKAMUANZISHIA CHOKO CHOKO HAAHAA AIBU IKABIDI KWENDA KUWA ANA ANIKA GODORO KAMA MTOTO
Ahahahha huyu yy anakunyww pale anapopafa stress mpk mkojo uishe kwny kibofu na stress zimeisha
 
Kakukosea heshima hadi kwenye ndoto 😂😂😂
Ndugu yetu huyu 🤣 anywe japo kidogo ndipo aache.

Mimi sikuwai kunywa kabisa na nisinge kunywa kabisa Ila Maisha yalinishepuu

Baadae nikaanza kunywa Ila Mimi nipo na control sitawaliwi na pombe.
 
Back
Top Bottom