min -me
JF-Expert Member
- Jul 20, 2022
- 46,262
- 127,126
Dah kweli mimi napenda pombe 😁😁 ila uzuri mmoja siku 5 mfululizo napiga kazi acha nijipongeze😅Kwani unakosaga sababu ya kulewa shindii🙆♂️🙆♂️🙆♂️
Dah kweli mimi napenda pombe 😁😁 ila uzuri mmoja siku 5 mfululizo napiga kazi acha nijipongeze😅Kwani unakosaga sababu ya kulewa shindii🙆♂️🙆♂️🙆♂️
No comment
Mh! kuanzia leo siamini wana jf tena..😂Bangi na iheshimiwe🤣
jaribu kile roho yako imekutuma kufanyaSio mtu wa wanawake
Sio mtu wa betting
Sio mlevi
Sio mvuta bangi
Sio mtoka out
Sio mtu dini saana
Sio mtu wa kupenda starehe
Sio mtu wa makundi na vishawishi
Sio mtu wa kununua Malaya
Sio mtu wa kuvuta mirungi Wala sigara
Yani nimenyooka tatizo ni kwamba Kuna muda napitia changamoto sijui nitumie njia gani kutafuta suluhisho Naona inaweza kuleta madhara kwa upande wa afya ya akili.
Naanza kuvutiwa na uvutaji wa bangi
shindikanaa Anasapoti bangi sana hajasema anaivuta bwashee , mimi mwenyewe nipo really mno na shindii nikimshawishi atavuta tu bwasheeNo comment coz am really
Mh! kuanzia leo siamini wana jf tena..😂
Ana miaka mingp?
Hatujui hakosi 18Ana miaka mingp?
Anazingua sana jomba huyo apige hata nyetoHatujui hakosi 18
Aanzee na konyagi ndogo kwanzaa ale ashibe nyama mfano chair fire ama NYAMA kwa wingi achukue konyagi na tonic water taratibuuu
Hivi kuna mwizi asiyevuta banging?Huyu kijana wetu anatatizo kubwa kwa kweli? Mama yangu akimwona kijana wa kiume hatumii pombe wala bangi anamwonaga kama ni mwizi mwizi🤔
Kijana ale pombe kwenye huo ujinga ujinga mwingine atapata hasara sana isipokua pombe tuAanzee na konyagi ndogo kwanzaa ale ashibe nyama mfano chair fire ama NYAMA kwa wingi achukue konyagi na tonic water taratibuuu
Nyeto ikipitilizaa Atapata ulemavu wa ubongo/akili CC. dronedrakeAnazingua sana jomba huyo apige hata nyeto
Hizo sio bangi ni makushabuHivi kuna mwizi asiyevuta banging?
Basi ma rastafarian wote wangekua weziiiiHivi kuna mwizi asiyevuta banging?
Kwaio hata SKANKA 🤣Hizo sio bangi ni makushabu
Dah.. Shem namimi naomba ushauriVuta bangi, utanishukuru.
Maana akiwekeza kwa wanawake watammalizaa abakie kichwa maana wanawake wa KISWAHILI huwezi anzisha mahusiano is equivalent to ajiraaaa🤣🤣Kijana ale pombe kwenye huo ujinga ujinga mwingine atapata hasara sana isipokua pombe tu
Sasa gram 20 kwa dollars 300 kibaka gani bongo anaweza nunua bwashee?Kwaio hata SKANKA 🤣
AISEEE!Bora mimi sijasoma ulichokiandika.😝Watu wasio kunywa pombe ni wambea sana
Huh! Na ulisema umeacha🙆♂️🙆♂️Dah kweli mimi napenda pombe 😁😁 ila uzuri mmoja siku 5 mfululizo napiga kazi acha nijipongeze😅