Sina kilevi, nichagulie

Sina kilevi, nichagulie

Sio mtu wa wanawake
Sio mtu wa betting
Sio mlevi
Sio mvuta bangi
Sio mtoka out
Sio mtu dini saana
Sio mtu wa kupenda starehe
Sio mtu wa makundi na vishawishi
Sio mtu wa kununua Malaya
Sio mtu wa kuvuta mirungi Wala sigara
Yani nimenyooka tatizo ni kwamba Kuna muda napitia changamoto sijui nitumie njia gani kutafuta suluhisho Naona inaweza kuleta madhara kwa upande wa afya ya akili.

Naanza kuvutiwa na uvutaji wa bangi
Hujasema Kuwa wewe siyo Mshirikina (huamini uchawi) kwa hiyo nimeanza kuhisi utakuwa hapo kwa sangoma
 
Sio mtu wa wanawake
Sio mtu wa betting
Sio mlevi
Sio mvuta bangi
Sio mtoka out
Sio mtu dini saana
Sio mtu wa kupenda starehe
Sio mtu wa makundi na vishawishi
Sio mtu wa kununua Malaya
Sio mtu wa kuvuta mirungi Wala sigara
Yani nimenyooka tatizo ni kwamba Kuna muda napitia changamoto sijui nitumie njia gani kutafuta suluhisho Naona inaweza kuleta madhara kwa upande wa afya ya akili.

Naanza kuvutiwa na uvutaji wa bangi
Naunga mkono hoja. Unachovutiwa nacho ni kitu sahihi.
 
Shindiii naachaje kukumbuka , nakumbuka sana shindiii, leo nimebanwa na mafua naona niyazibue na vodka hapa
Kwani unakosaga sababu ya kulewa shindii🙆‍♂️🙆‍♂️🙆‍♂️
 
Back
Top Bottom