Sina kilevi, nichagulie

Sina kilevi, nichagulie

Kuna kitu unafanya hutuambii na hicho kitu kinakuwa cha aibu mf. Kupita kwenye nyumba za wapangaji ukiiba chupi za wanawake kwenye kamba na kuzivaa kazini bila mtu kujua
 
Nimeamka an kuandika treatise on democracy tayari.
Sure bro , mimi nimeshtuka nakuanza kupiga vitu , binafsi naona niache pombe siku pombe itakua seriously kuharibu maisha yangu na afya tu brošŸ¤”
 
Mimi bangi sivuti ila nilikuwa napenda sana harufu ya bange mbichi.
Nilikuwa nanunua msokoto natulia peke yangu room halafu naifungua na-enjoy na harufu.
Bangi iliyopoteza harufu nilikuwa nahifadhi sehemu, kuna siku naangalia nakuta hazizidi 20 kumbe nikiweka zilikuwa zinapitiliza kuna mtu aligeuza shamba la bibi.
 
Back
Top Bottom