Daktari Bingwa: Kuna kilevi kwenye kinywaji cha “energy”

tpaul

JF-Expert Member
Feb 3, 2008
21,847
18,253
Naingia kwenye mada moja kwa moja. Juzi niliongea na daktari bingwa anayemiliki hospitali kubwa jijini kuhusu chanzo cha uraibu unaosababishwa na kinywaji cha energy. Daktari huyu alinihakikishia kwamba kinywaji chochote kinachosababisha uraibu lazima kinakuwa na kilevi au dawa za kulevya.

Jibu hili lilinifanya nifikiri sana kuhusu kinwaji cha energy kinachotengenezwa na matajiri wakubwa wawili hapa nchini. Madhara ya kinywaji hiki yamewahi kufanyiwa utafiti na madaktari wa hospitali ya Muhimbili ambao waliwahi kumfanyia upasuaji wa mishipa ya moyo iliyoziba mgonjwa mmoja mraibu wa energy ambaye alikuwa akigida sio chini ya chupa 5 za energy kwa siku.



Napenda kuelekeza lawama zangu kwa matajiri hawa wawili wanaowaua raia kimyakimya huku serikali ikiwa imekaa kimya imejikita kwenye ukusanyaji wa kodi wakati afya za wapigakura zinadhurika. Dawa za kulevya na vilevi vinavyotiwa kwenye kinywaji cha energy zina madhara makubwa kuliko uvutaji wa bangi au sigara.

Bangi imepigwa marufuku hapa nchini. Watengenezaji wa sigara wanaandika onyo kwenye paketi ya kila sigara: uvutaji wa sigara ni hatari kwa afya yako. Ni kwanini serikali haiwahimizi hawa matajiri wawili waandike maandishi kwenye chupa za energy:….unywaji wa energy ni hatari kwa afya yako….kama ilivyo kwenye sigara? Ina maana wameamua kuwaacha wapigakura wauawe na matajiri halafu mwaka 2025 nani atawapigia kura?

Sijawahi kuona nchi ya ajabu na isiyojali afya za wananchi wake kama hii nchi ya kusadika na kufikirika, Tanzania. Watawala wanataka wafe watu wangapi ndipo wachukue hatua? Inasikitisha na inahuzunisha sana.
 
Naingia kwenye mada moja kwa moja. Juzi niliongea na daktari bingwa anayemiliki hospitali kubwa jijini kuhusu chanzo cha uraibu unaosababishwa na kinywaji cha energy. Daktari huyu alinihakikishia kwamba kinywaji chochote kinachosababisha uraibu lazima kinakuwa na kilevi au dawa za kulevya.

Jibu hili lilinifanya nifikiri sana kuhusu kinwaji cha energy kinachotengenezwa na matajiri wakubwa wawili hapa nchini. Madhara ya kinywaji hiki yamewahi kufanyiwa utafiti na madaktari wa hospitali ya Muhimbili ambao waliwahi kumfanyia upasuaji wa mishipa ya moyo iliyoziba mgonjwa mmoja mraibu wa energy ambaye alikuwa akigida sio chini ya chupa 5 za energy kwa siku.

Napenda kuelekeza lawama zangu kwa matajiri hawa wawili wanaowaua raia kimyakimya huku serikali ikiwa imekaa kimya imejikita kwenye ukusanyaji wa kodi wakati afya za wapigakura zinadhurika. Dawa za kulevya na vilevi vinavyotiwa kwenye kinywaji cha energy zina madhara makubwa kuliko uvutaji wa bangi au sigara.

Bangi imepigwa marufuku hapa nchini. Watengenezaji wa sigara wanaandika onyo kwenye paketi ya kila sigara: uvutaji wa sigara ni hatari kwa afya yako. Ni kwanini serikali haiwahimizi hawa matajiri wawili waandike maandishi kwenye chupa za energy:….unywaji wa energy ni hatari kwa afya yako….kama ilivyo kwenye sigara? Ina maana wameamua kuwaacha wapigakura wauawe na matajiri halafu mwaka 2025 nani atawapigia kura?

Sijawahi kuona nchi ya ajabu na isiyojali afya za wananchi wake kama hii nchi ya kusadika na kufikirika, Tanzania. Watawala wanataka wafe watu wangapi ndipo wachukue hatua? Inasikitisha na inahuzunisha sana.
Sio kweli huyu ni daktari bingwa wa kupotosha...
Kwanza tuanzie hapa, kilevi ni nini?
 
Ukiwa na unaishi dunia ya tatu , matumizi ya AKILI unabidi kuyaongeza Sana.

Vijana wanasagika kwa kunywa hayo madude na mwisho wanapata magonjwa na kufa ghafla Ila kwakuwa hivyo vinywaji huwa vinanywea na watu masikini ,no body care about that.
Sio kweli kwamba energy wanakunywa dunia ya tatu tu. Utajiri wa redbull ni energy, now upo enirgizer nayo ni energy huko dunia ya kwanza
 
Naingia kwenye mada moja kwa moja. Juzi niliongea na daktari bingwa anayemiliki hospitali kubwa jijini kuhusu chanzo cha uraibu unaosababishwa na kinywaji cha energy. Daktari huyu alinihakikishia kwamba kinywaji chochote kinachosababisha uraibu lazima kinakuwa na kilevi au dawa za kulevya.

Jibu hili lilinifanya nifikiri sana kuhusu kinwaji cha energy kinachotengenezwa na matajiri wakubwa wawili hapa nchini. Madhara ya kinywaji hiki yamewahi kufanyiwa utafiti na madaktari wa hospitali ya Muhimbili ambao waliwahi kumfanyia upasuaji wa mishipa ya moyo iliyoziba mgonjwa mmoja mraibu wa energy ambaye alikuwa akigida sio chini ya chupa 5 za energy kwa siku.

Napenda kuelekeza lawama zangu kwa matajiri hawa wawili wanaowaua raia kimyakimya huku serikali ikiwa imekaa kimya imejikita kwenye ukusanyaji wa kodi wakati afya za wapigakura zinadhurika. Dawa za kulevya na vilevi vinavyotiwa kwenye kinywaji cha energy zina madhara makubwa kuliko uvutaji wa bangi au sigara.

Bangi imepigwa marufuku hapa nchini. Watengenezaji wa sigara wanaandika onyo kwenye paketi ya kila sigara: uvutaji wa sigara ni hatari kwa afya yako. Ni kwanini serikali haiwahimizi hawa matajiri wawili waandike maandishi kwenye chupa za energy:….unywaji wa energy ni hatari kwa afya yako….kama ilivyo kwenye sigara? Ina maana wameamua kuwaacha wapigakura wauawe na matajiri halafu mwaka 2025 nani atawapigia kura?

Sijawahi kuona nchi ya ajabu na isiyojali afya za wananchi wake kama hii nchi ya kusadika na kufikirika, Tanzania. Watawala wanataka wafe watu wangapi ndipo wachukue hatua? Inasikitisha na inahuzunisha sana.
Serikali inayonunua magari ya washawasha na silaha nyingi za kuzuia maandamano badala ya kununua magari ya zimamoto na vifaa vya uokozi ni serikali inayojali makusanyo ya mapato kuliko usalama wa afya za raia wake
 
Jukwaa la @JamiiCheck.com limechambua kuhusu unywaji wa vinywaji vya kuongeza Nguvu (Energy Drinks) unavyoweza kuwa na Athari kwenye Mwili wa Binadamu

Dkt. Anthony Gyunda, Daktari Bingwa wa Magonjwa ya Ndani na Figo wa Hospitali ya Muhimbili – Mlonganzila anasema “Baadhi ya madhara ya Matumizi yaliyopitiliza ya kinywaji hicho ni kuathiri Uzazi, vinapunguza Madini muhimu ya kuzalisha Mayai kwa Wanawake na Mbegu za Kiume, hivyo inaweza kusababisha tatizo la Ugumba na Utasa kwa Vijana ambao ni watumiaji wakubwa.”

Magonjwa mengine ni Shinikizo la juu la Damu, Maumivu ya Kifua, Sonona, Kifafa, Kichaa, Uraibu pamoja na Figo kushindwa kufanya kazi

Soma KWELI - Matumizi Makubwa ya Vinywaji vya kuongeza nishati (Energy Drinks) husababisha Madhara kwenye Figo

#FactsChecking #FactsCheck #JamiiCheck #HakikiHabari #PublicHealth #JamiiForums


IMG-20240220-WA0004.jpg
 
Back
Top Bottom