Sina imani tena na Chadema

Sina imani tena na Chadema

kwani jamani kuna m2 analazimishwa kuamini chama fulani? kuamini chama chochote ni m2 mwenyewe,kama huna imani na chadema kaunde chama chako then have faith with it usituzingue.
 
Nakubaliana nawewe kwamba madaktari ni watanzania lakini tatizo la watanzania hawa wapo tayari kuona watanzania wenzao wakipoteza uhai kwa ajili ya maslai yao

Hili swala la mgogoro wa madaktari kiongozi kuna mambo ya kusikitisha sana. Kuna mapungufu makubwa sana kwenye uongozi wetu na nadhani sababu kubwa ni kuendelea kufanya mambo kwa 'mazoea'. Miaka kama miwili nyuma nilishinda muhimbili, ukweli mortuary kulikuwa busy! Na nilijaribu kumuuliza dokta mmoja kuna namna madaktari wakakaa na kuangalia kwanini vifo ni vingi? jibu lilikuwa -vingi vinaepukika.

Sijui mawasiliano kati ya watawala na madakatri yalikuwaje huko nyuma lakini kwa mtazamo wangu kuna kasoro mahali, tena kasoro kubwa. Na matokeo yake madaktari wamejikuta wanafanya kazi ya kuwa 'eye witness' wa wagonjwa wanaopoteza maisha kwa mambo yanayoupukika. Lakini hebu tujuilize, hivi kweli taifa tumeshindwa kutatua huu mgogoro? Na inapotokea serikali inakuwa na mgogoro na watumishi wake nini njia bora ya kupata muafaka? Kama ipo kwanini hatujaitumia?
 
WEWE NAHISI UNA LAANA ULOIPATA KWA ALIYE KULAWITI UKIWA MDOGO,
UNAUHAKIKA KAMA CHADEMA WANAUNGA MKONO MGOMO WA MADr?
NDUGU NAKUSHAURI CHANGAMKA UKACHUKE IYO RUZUKU KWA NEPI, AH SORRY NAPE NA HAO MAFISADI UKOJOE UKALALE, HATUDANGANYIKI KWA LOLOTE,
TUNAWAELEWA VIZURI CHADEMA, WAO NI WAPIGANIA HAKI ZETU POPOTE NA MDA WOWOTE, NA BADO MPAKA KIELEWEKE.
PEOPLEEEEEEEEES POWERRRRRRRRRRRR!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!

kwa ili la kuwaunga mkono madaktari wamaongea chadema wenyewe, njia ya kufuta makosa walitufanyia watanzaia wahali ya chini ni kutuomba radhi kwani wanaoiongoza chadema ni binadam na kukosea nijambo la kawaida kwa binadam.siyo kutaka kutuamisha kwenye ili kwa habari zao za kutaka kuuliwa. Izo mbinu chafu za ccm azifai kwa chama makini kama chadema
 
Waache kutoa visingizio kama wanataka kujimaliza wenyewe wasema tu .Uraisi utawamaliza 2015 sio mbali tusubiri tuone nafsi ya mtu itakufa kwa ahadi ya mwenyezi mungu na wala sio kwa kupenda binadamu
 
Naona wazi sasa sinema la siasa la siasa linavyovutia watu na kuacha watu na matumaini na shida zisizotatulika.

CHADEMA WANASHINDWA KUPIGANIA MAMBO MUHIMU SASA KAMA bei duni za Pamba, na minofu ya samaki Mgomo wa madaktari, Mgogoro wa walimu na selikali au Uporwaji wa madini wanatuletea tena move ya maigizo ya dr Slaa, Myika na Lema eti wanataka kuuawa!!

Lengo la muvu hii watu waache kujadili mambo nyeti wajadili utumbo huo. Mi sasa sioni harakati za chadema bali siasa uchwala. Sioni umoja tena wa chadema bungeni.

Wanasiasa Mnakera, mnakera kweli. Wawaache wanaharakati wadili na Mnyika kwa lipi.

Washabiki wa vyama fumbua macho Chadema washakula chunguza uone.

Siamini kwenye miujiza au habari za kuhusu freemason na mikanda yao ya habari za "microchip".
Ila chadema inavyoenda nahisi sasa Mbowe kawekewa Microchip na sasa anaendeshwa na mtambo uliopo ikulu. Hakuna kitu sasa. Wakulima jipiganieni. Wavuvi jipiganieni, walimu jipiganiene. CHADEMA HAKUNA UMOJA TENA WANAONGEA WANAPATA POSHO wanarara.

siasa siasa siasa zinakera. A

Shida iko wapi? William Mshumbusi si endelea na ccm?
Wengine tulishashituka zamani, hatudanganyiki tena kwa propaganda laini laini hizi!
 
Last edited by a moderator:
Hili swala la mgogoro wa madaktari kiongozi kuna mambo ya kusikitisha sana. Kuna mapungufu makubwa sana kwenye uongozi wetu na nadhani sababu kubwa ni kuendelea kufanya mambo kwa 'mazoea'. Miaka kama miwili nyuma nilishinda muhimbili, ukweli mortuary kulikuwa busy! Na nilijaribu kumuuliza dokta mmoja kuna namna madaktari wakakaa na kuangalia kwanini vifo ni vingi? jibu lilikuwa -vingi vinaepukika.

Sijui mawasiliano kati ya watawala na madakatri yalikuwaje huko nyuma lakini kwa mtazamo wangu kuna kasoro mahali, tena kasoro kubwa. Na matokeo yake madaktari wamejikuta wanafanya kazi ya kuwa 'eye witness' wa wagonjwa wanaopoteza maisha kwa mambo yanayoupukika. Lakini hebu tujuilize, hivi kweli taifa tumeshindwa kutatua huu mgogoro? Na inapotokea serikali inakuwa na mgogoro na watumishi wake nini njia bora ya kupata muafaka? Kama ipo kwanini hatujaitumia?

Mkuu umeongea point sio wale wanaokalia kutukana baada ya kushindanisha oja. Ayo yote yametokana na ccm kwaiyo suluisho la tatizo ili na mengine mengi yanayoikabili nchi yetu nikuiondoa ccm madarakani sikuanza kutoana roho wenyewe kwa kunyimana matibabu uku viongozi wakiendelea kula raha. Kwani wao matibabu wanapata nje ya nchi, na swala la kuindoa ccm madarakani linawezekana kama chadema watajipanga vizuri, lakini si kwa njia ihi ya kushabiki mgomo wa madaktari
 
  • Thanks
Reactions: FJM
Chadema wananchi wanaitaji kujua mtawafanyia nini sio siasa zenu za matukio.

Wananchi watakuwa na haki ya kuuliza maswali hayo baada ya kuiingiza CDM madarakan, hadi sasa nayeulizwa kafanya nini ni CCmi
 
Bahada ya uchaguzi mkuu wa mwaka 2010 Chadema kilijijenga sana kujijenga huko kulitokana na kukubalika na watanzia wengi kama mkombozi wao kutoka kwenye ukandamizwaji wa ccm. Nasema ivi kutokana matokeo uchaguzi mkuu wa mwaka 2010,kwani kwenye uchaguzi mkuu wa mwaka 2010 chadema walipata idadi kubwa ya kula za urahisi na idadi kubwa ya bunge. Napia kwenye chaguzi ndogo za ubunge zilizofuatia bado watanzania walikuwa upande wao. Lakini ni kuwaunga mkono madaktari katika mgomo huku wakijua wahasirika ni watanzania wa hari chini ambao tegemeo lao nikukombolewa na chadema kutoka kwenye ukandamizwaji wa ccm. Huku si kuwageuka watanzania

Mara zote Chadema ilisema inaunga mkono madai ya madakatari kuhus uboreshwaji wa sekta ya afya mathalani wakati hivi sasa Hospiatalia kubwa ya Tumbi inayohudumia majeruhi wa ajali za barabarani husuana kipande kikubwa cha barabara kuu ya Morogoro, lakini hospiatali hiyo haina huduma ya X-ray inabidi wa wagonjwa wasafirishwe kwenda hospitali binafsi kama vile Bochi iliyoko Kimara Temboni ili kupata huduma hiyo. Madaktari walikuwa wakidai kuwa hospitali ya ngazi ya wilaya ipatiwe mtambo wa X-ray, hivyo serikali ingelazimikakununua mitambo 129 tu kwa kulingana na idadi ya wilya zilizopo. Mtambo wa kisasa kabisa wa X-ray unaghrimu Dola 140,000 tu sawa X Tshs 1570 =Milioni 219,800,000/=.

Hivyo Bilioni 27.5 zilizotumika kuadhimisha sherehe za miaka 50 ya uhuru wa Tanzania, miezi 6 tu iliyopita yaani tar 9 Desemba 2011 zingeweza kununua mitamboa ya X-ray Tshs 27,500,000,000/219,800,000= Mitambo ya Xray 125.

je kama kipi bora kusherehekea miaka 50 ya uhuru kwa wiliya kupatiwa mtamboa wa Xray au wanansiasa kufuja kiasi kikubwa cha fedha kiasi hiki? Fungua macho bro
 
Wewe si Chadema, sepa!, usalama wa mtu ni muhimu katika kuwa huru kufanya shughuli zake, wewe ungetishiwa usalama wako ungejisikiaje, au kwa vile sio wewe?!, kuwa mstaarabu, watu watafute namna ya kudeal na jambo moja ndio waendelee kupambana mengine kwa nguvu
Naona wazi sasa sinema la siasa la siasa linavyovutia watu na kuacha watu na matumaini na shida zisizotatulika.

CHADEMA WANASHINDWA KUPIGANIA MAMBO MUHIMU SASA KAMA bei duni za Pamba, na minofu ya samaki Mgomo wa madaktari, Mgogoro wa walimu na selikali au Uporwaji wa madini wanatuletea tena move ya maigizo ya dr Slaa, Myika na Lema eti wanataka kuuawa!!

Lengo la muvu hii watu waache kujadili mambo nyeti wajadili utumbo huo. Mi sasa sioni harakati za chadema bali siasa uchwala. Sioni umoja tena wa chadema bungeni.

Wanasiasa Mnakera, mnakera kweli. Wawaache wanaharakati wadili na Mnyika kwa lipi.

Washabiki wa vyama fumbua macho Chadema washakula chunguza uone.

Siamini kwenye miujiza au habari za kuhusu freemason na mikanda yao ya habari za "microchip".
Ila chadema inavyoenda nahisi sasa Mbowe kawekewa Microchip na sasa anaendeshwa na mtambo uliopo ikulu. Hakuna kitu sasa. Wakulima jipiganieni. Wavuvi jipiganieni, walimu jipiganiene. CHADEMA HAKUNA UMOJA TENA WANAONGEA WANAPATA POSHO wanarara.

siasa siasa siasa zinakera. A
 
Wewe si Chadema, sepa!, usalama wa mtu ni muhimu katika kuwa huru kufanya shughuli zake, wewe ungetishiwa usalama wako ungejisikiaje, au kwa vile sio wewe?!, kuwa mstaarabu, watu watafute namna ya kudeal na jambo moja ndio waendelee kupambana mengine vizuri
Naona wazi sasa sinema la siasa la siasa linavyovutia watu na kuacha watu na matumaini na shida zisizotatulika.

CHADEMA WANASHINDWA KUPIGANIA MAMBO MUHIMU SASA KAMA bei duni za Pamba, na minofu ya samaki Mgomo wa madaktari, Mgogoro wa walimu na selikali au Uporwaji wa madini wanatuletea tena move ya maigizo ya dr Slaa, Myika na Lema eti wanataka kuuawa!!

Lengo la muvu hii watu waache kujadili mambo nyeti wajadili utumbo huo. Mi sasa sioni harakati za chadema bali siasa uchwala. Sioni umoja tena wa chadema bungeni.

Wanasiasa Mnakera, mnakera kweli. Wawaache wanaharakati wadili na Mnyika kwa lipi.

Washabiki wa vyama fumbua macho Chadema washakula chunguza uone.

Siamini kwenye miujiza au habari za kuhusu freemason na mikanda yao ya habari za "microchip".
Ila chadema inavyoenda nahisi sasa Mbowe kawekewa Microchip na sasa anaendeshwa na mtambo uliopo ikulu. Hakuna kitu sasa. Wakulima jipiganieni. Wavuvi jipiganieni, walimu jipiganiene. CHADEMA HAKUNA UMOJA TENA WANAONGEA WANAPATA POSHO wanarara.

siasa siasa siasa zinakera. A
 
Wewe si Chadema, sepa!, usalama wa mtu ni muhimu katika kuwa huru kufanya shughuli zake, wewe ungetishiwa usalama wako ungejisikiaje, au kwa vile sio wewe?!, kuwa mstaarabu, watu watafute namna ya kudeal na jambo moja ndio waendelee kupambana mengine vizuri
Naona wazi sasa sinema la siasa la siasa linavyovutia watu na kuacha watu na matumaini na shida zisizotatulika.

CHADEMA WANASHINDWA KUPIGANIA MAMBO MUHIMU SASA KAMA bei duni za Pamba, na minofu ya samaki Mgomo wa madaktari, Mgogoro wa walimu na selikali au Uporwaji wa madini wanatuletea tena move ya maigizo ya dr Slaa, Myika na Lema eti wanataka kuuawa!!

Lengo la muvu hii watu waache kujadili mambo nyeti wajadili utumbo huo. Mi sasa sioni harakati za chadema bali siasa uchwala. Sioni umoja tena wa chadema bungeni.

Wanasiasa Mnakera, mnakera kweli. Wawaache wanaharakati wadili na Mnyika kwa lipi.

Washabiki wa vyama fumbua macho Chadema washakula chunguza uone.

Siamini kwenye miujiza au habari za kuhusu freemason na mikanda yao ya habari za "microchip".
Ila chadema inavyoenda nahisi sasa Mbowe kawekewa Microchip na sasa anaendeshwa na mtambo uliopo ikulu. Hakuna kitu sasa. Wakulima jipiganieni. Wavuvi jipiganieni, walimu jipiganiene. CHADEMA HAKUNA UMOJA TENA WANAONGEA WANAPATA POSHO wanarara.

siasa siasa siasa zinakera. A
 
Iwe Mushumbusi, huwezi kuwa na imani na chadema iwapo huna hata imani na wewe binafsi. Ushomile hadi unakosa imani kwa vwire wewe ni nshomile mwanangu.
 
Chadema wanashauri, wanapendekeza mengi mazuri but Serikali tawala, inayokusanya kodi za Wananchi na makusanyo mengine mbalimbali wanakuwa wabishi kutumia fedha zinazopatikana vizuri kwa manufaa ya nchi, huduma nyingi nchini ni mbovu, barabara ndio usiseme, hao maengineer utafikiri wanafunzi wanaojifunza kutengeneza hizo barabara, yaani mvua ikinyesha, barabara hazieleweki tena, wanapoteza hela kulipa watu wa aina hii, wanawapaga nini mpaka wanaendelea kufanya nao kazi, nani anawapitisha kupata that tender, mnabania hela za Wananchi ili mkajengee, au mnafikiri Chadema wawape hela pia, haiwezekani kihivyo, simple simple, nyie ndio hizo ofisi zenu zinakusanya kodi, tumieni mapato ya nchi vizuri, sio kuchakachua tu kila mara, mnaharibu nchi, haivutii kabisa bado miakayote hiyo ya Uhuru hata kuikaribia korea robo hamjaweza, hamjisikii aibu?!, Mi naona aibu, kwani Africa kunani hasa?!, ndio ubinafsi hautaki kupungua?!, viongozi wanaona rasilimali zilizopo kwenye nchi zao kama mali zao binafsi na wanachakachua bila aibu, wanajitafutia balaa kweli!
Mara zote Chadema ilisema inaunga mkono madai ya madakatari kuhus uboreshwaji wa sekta ya afya mathalani wakati hivi sasa Hospiatalia kubwa ya Tumbi inayohudumia majeruhi wa ajali za barabarani husuana kipande kikubwa cha barabara kuu ya Morogoro, lakini hospiatali hiyo haina huduma ya X-ray inabidi wa wagonjwa wasafirishwe kwenda hospitali binafsi kama vile Bochi iliyoko Kimara Temboni ili kupata huduma hiyo. Madaktari walikuwa wakidai kuwa hospitali ya ngazi ya wilaya ipatiwe mtambo wa X-ray, hivyo serikali ingelazimikakununua mitambo 129 tu kwa kulingana na idadi ya wilya zilizopo. Mtambo wa kisasa kabisa wa X-ray unaghrimu Dola 140,000 tu sawa X Tshs 1570 =Milioni 219,800,000/=.

Hivyo Bilioni 27.5 zilizotumika kuadhimisha sherehe za miaka 50 ya uhuru wa Tanzania, miezi 6 tu iliyopita yaani tar 9 Desemba 2011 zingeweza kununua mitamboa ya X-ray Tshs 27,500,000,000/219,800,000= Mitambo ya Xray 125.

je kama kipi bora kusherehekea miaka 50 ya uhuru kwa wiliya kupatiwa mtamboa wa Xray au wanansiasa kufuja kiasi kikubwa cha fedha kiasi hiki? Fungua macho bro
 
Naona wazi sasa sinema la siasa la siasa linavyovutia watu na kuacha watu na matumaini na shida zisizotatulika.

CHADEMA WANASHINDWA KUPIGANIA MAMBO MUHIMU SASA KAMA bei duni za Pamba, na minofu ya samaki Mgomo wa madaktari, Mgogoro wa walimu na selikali au Uporwaji wa madini wanatuletea tena move ya maigizo ya dr Slaa, Myika na Lema eti wanataka kuuawa!!

Lengo la muvu hii watu waache kujadili mambo nyeti wajadili utumbo huo. Mi sasa sioni harakati za chadema bali siasa uchwala. Sioni umoja tena wa chadema bungeni.

Wanasiasa Mnakera, mnakera kweli. Wawaache wanaharakati wadili na Mnyika kwa lipi.

Washabiki wa vyama fumbua macho Chadema washakula chunguza uone.

Siamini kwenye miujiza au habari za kuhusu freemason na mikanda yao ya habari za "microchip".
Ila chadema inavyoenda nahisi sasa Mbowe kawekewa Microchip na sasa anaendeshwa na mtambo uliopo ikulu. Hakuna kitu sasa. Wakulima jipiganieni. Wavuvi jipiganieni, walimu jipiganiene. CHADEMA HAKUNA UMOJA TENA WANAONGEA WANAPATA POSHO wanarara.

siasa siasa siasa zinakera. A
Mkuu wangu kazi ya Chadema sio kubadilisha sera za CCM..Chadema hawawezi kupigania bebi ya mazo wala mikataba ya madini isipokuwa wanaweza tu kushauri kwa kuonyesha mapungufu na CCM ndio wenye maamuzi ya kufuata ama kutofuata..

Kifupi labda nikwambie hivi Chadema ni sawa na mume alokataliwa.. Sasa ni kazi gani mume huyu anaweza kuingilia mapoensdzi yako na binti zaidi ya kuwashauri wananchi jinsi gani wanavyopokea abuse hizi. Na pia bado ni jukumu la wananchi wenyewe kufikiria kwamba wanaweza chagua chama kingine kama huyo binti anayekuwa abused. Ni jukumu pia la Chadema kuwaambia CCM abuse wanazozifanya sii haki wala uungwana isipokuwa ubora wa mwanamme ni kufanya kadhaa wakadhaa.. At the end of the day ni CCM anayekwenda na mwali chumbani.. Chadema hawezi kuingia hadi kitandani ankoo...Hiyo imani yako kwao ni kuwaonea maana unawataka wafanye kazi ya watu halafu ionekane wao ndio washenzi..
 
Watu wanazani kukipenda chama ni kwa kukisifia tu.

Tunapasa kukikosoa ili kisimamie hoja za wananchi.

Tunatumia akili kubwa sana kufikiria vitu vidogo. Sikatai chadema ndio chama bora kwa sasa. Ila mi si mwanasiasa.
Ni bora kwa msemo ufuatao

"Kwenye vipofu mwenye jicho mmoja Mfalme"
 
Yeyote anayezungumza au kanusha mwenzake bila hoja ni siasa siasa siasa tu. Mwisho 'TRUTH WILL OUT'.
 
William mshumbuzi, mbona haujui kudanganya? ww huyo huyo umesema CDM haitafika 2015, leo unasema umeichoka..., kuna kitu william haukijui, CDM Ni mkusanyiko wa wasomi, maprofessor, Madoctor na degree za kumwaga, sasa wewe willim shule yako bado ni ndogo sana haujui kudanganya. kasome ili uongeze argument

aha ahaaahaa bado hujamalizia kuna madj, repa na majambazi pia!

Chama
Gongo la mboto DSM
 
Back
Top Bottom