Unaupeo mdogo sana jamaa na tena unamawazo mgando, kila neno moja lisemwalo na kiongozi yoyote wa cdm lina athari kwa serikali yako, ndomana wanataka kuwaangamiza, kwani mwaka 2005 si mlisema cdm ni chama cha msimu, sasa mnahofu nini......mbona ccm mnatweta. Mnatuletea wabunge wazee hata kuchanganua mambo hawawezi, kwani ulimboka mlitaka kumuua kwa lipi?be yourself plz!!!!