Sina imani tena na Chadema

Sina imani tena na Chadema

Chadema haihitaji watu wenye imani bali itikati masuala ya imani mpelekee
mungu acha kuchanganya vitu kaka ni sawa na kuchanganya dini na mboga
 
William Mshumbusi Lakini huoni kwamba wakifa hakutakuwa na upiganaji tena, lisemwalo lipo. Unakumbuka Mwakyembe alianza kulalamika hivi hivi lakini Polisi waliuchuna na Kuna watu walisema Mwakyembe anatafuta cheap popularity, baada ya mda fulani yamemkuta ya kumkuta. Hivi utajisikiaje kwa kauli yako hii ikatokea kweli hawa viongozi wanauawa? Tusikae kimya palipo na vitisho jamani Tanzania hakuna amani.
 
Last edited by a moderator:
hao si wachumiatumbo wanatakiwa wawaambie wanachama wao kiasi gani wameshachumia tumbo people jinga:A S-baby:
 
naona wazi sasa sinema la siasa la siasa linavyovutia watu na kuacha watu na matumaini na shida zisizotatulika.

Chadema wanashindwa kupigania mambo muhimu sasa kama bei duni za pamba, na minofu ya samaki mgomo wa madaktari, mgogoro wa walimu na selikali au uporwaji wa madini wanatuletea tena move ya maigizo ya dr slaa, myika na lema eti wanataka kuuawa!!

Lengo la muvu hii watu waache kujadili mambo nyeti wajadili utumbo huo. Mi sasa sioni harakati za chadema bali siasa uchwala. Sioni umoja tena wa chadema bungeni.

Wanasiasa mnakera, mnakera kweli. Wawaache wanaharakati wadili na mnyika kwa lipi.

Washabiki wa vyama fumbua macho chadema washakula chunguza uone.

Siamini kwenye miujiza au habari za kuhusu freemason na mikanda yao ya habari za "microchip".
Ila chadema inavyoenda nahisi sasa mbowe kawekewa microchip na sasa anaendeshwa na mtambo uliopo ikulu. Hakuna kitu sasa. Wakulima jipiganieni. Wavuvi jipiganieni, walimu jipiganiene. Chadema hakuna umoja tena wanaongea wanapata posho wanarara.

Siasa siasa siasa zinakera. A

waliopangwa kuwawa ndo hao wanaoongoza mijadala ya kudai maslahio ya watumishi wa umma. Wanatoa mapendekezo ili kufanikiwa hili,
1. Sheria za madini zirekebiswe, ili tuwe na win to win situation
2. Kupunguza kodi kwa walalahoi na kuzipandisha kwa mashirika, na makampuni yanayofurahia uhuru waliopewa na ccm. Hapa wapo vodacom, tigo, na wengine kibao.
3. Wanapendekeza mishahara na malupulupu kwa viongozi wa juu, wabunge mawaziri, makatibu vipunguzwe ili pesa itakayookolewa itumike kutatua kero za mda mrefu za elimu, afya na watumishi wa umma.
4. Kila siku ndio wanaosema, matumizi ya serikali ni makubwa, na wanaitaka serikali kubana matumizi yasiyo lazima, hasa kununua magari ya anasa, saffari za nje na mengine mengi. Kuthibitisha hilo, mnyika anatumia gari la milion 7-10 pekee, linamtosha na anatimiza matakwa ya wakazi wa ubungo vizuri, tena hadi kavuka mipaka ya ubungo, ni kiongozi wa kitaifa.

Sasa mauaji yaliyotajwa, si kwa kuwa ccm imeshikwa pabaya na hao walitajwa kupangiwa siku za kuishi? Kipi chadema imeenda pembeni?

Hata hivyo hujawahi kuwa na imani na chadema, kila siku wewe ni ccm
 
Ha ha haa, kama huna imani na Chadema, dadavua ukweli una imani na Chama gani?
 
The vice versa is true mpo wachache wenye imani na wanaoshutumiwa mnaotaka kuwadhuru wanasupport kubwa ya umma kuliko bunduki mlizo nazo.
 
Labda ungejaribu kutueleza unaelewa nini kuhusu imani then ndio uje upost hapa........kwa mtazamo wako upo sahihi kulingana na fikra zako.....rejea kipindi cha ukoloni,wanaharakati walikuwa makini ili wasiuawe au kudhoofishwa kiafya....na hayo ndio yanayotokea leo hii.....how can you fight for others while you are insecure?.....Tafakari kisha repost....
 
Bahada ya uchaguzi mkuu wa mwaka 2010 Chadema kilijijenga sana kujijenga huko kulitokana na kukubalika na watanzia wengi kama mkombozi wao kutoka kwenye ukandamizwaji wa ccm. Nasema ivi kutokana matokeo uchaguzi mkuu wa mwaka 2010,kwani kwenye uchaguzi mkuu wa mwaka 2010 chadema walipata idadi kubwa ya kula za urahisi na idadi kubwa ya bunge. Napia kwenye chaguzi ndogo za ubunge zilizofuatia bado watanzania walikuwa upande wao. Lakini wanachonishangaza ni kuwaunga mkono madaktari katika mgomo huku wakijua wahasirika ni watanzania wa hari chini ambao tegemeo lao nikukombolewa na chadema kutoka kwenye ukandamizwaji wa ccm. Huku si kuwageuka watanzania
 
Hawana habari na watanzania hao, wote wameingia kwenye siasa kunufaisha matumbo yao.cdm nzima wa maana ni zitto peke yake.
 
Bahada ya uchaguzi mkuu wa mwaka 2010 Chadema kilijijenga sana kujijenga huko kulitokana na kukubalika na watanzia wengi kama mkombozi wao kutoka kwenye ukandamizwaji wa ccm. Nasema ivi kutokana matokeo uchaguzi mkuu wa mwaka 2010,kwani kwenye uchaguzi mkuu wa mwaka 2010 chadema walipata idadi kubwa ya kula za urahisi na idadi kubwa ya bunge. Napia kwenye chaguzi ndogo za ubunge zilizofuatia bado watanzania walikuwa upande wao. Lakini wanachonishangaza ni kuwaunga mkono madaktari katika mgomo huku wakijua wahasirika ni watanzania wa hari chini ambao tegemeo lao nikukombolewa na chadema kutoka kwenye ukandamizwaji wa ccm. Huku si kuwageuka watanzania

Madaktari nao ni watanzania unless unataka kutuambia vinginevyo.

Lakini pia rejea kauli ya mwenyekiti wa CHADEMA kwamba hawaungi mkono mgomo lakini wanawaunga mkono wafanyakazi wote wanaodai haki zao.
 
Inaonyesha kama vile mmejianda katika kakikundi cha propaganda. Halafu mmekusanyana wote mambumbumbu. WaTZ wa sasa sio wa mwaka 1964 kule. WaTZ wa sasa ni wa Y2K kaka. Try again....
 
WEWE NAHISI UNA LAANA ULOIPATA KWA ALIYE KULAWITI UKIWA MDOGO,
UNAUHAKIKA KAMA CHADEMA WANAUNGA MKONO MGOMO WA MADr?
NDUGU NAKUSHAURI CHANGAMKA UKACHUKE IYO RUZUKU KWA NEPI, AH SORRY NAPE NA HAO MAFISADI UKOJOE UKALALE, HATUDANGANYIKI KWA LOLOTE,
TUNAWAELEWA VIZURI CHADEMA, WAO NI WAPIGANIA HAKI ZETU POPOTE NA MDA WOWOTE, NA BADO MPAKA KIELEWEKE.
PEOPLEEEEEEEEES POWERRRRRRRRRRRR!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
Bahada ya uchaguzi mkuu wa mwaka 2010 Chadema kilijijenga sana kujijenga huko kulitokana na kukubalika na watanzia wengi kama mkombozi wao kutoka kwenye ukandamizwaji wa ccm. Nasema ivi kutokana matokeo uchaguzi mkuu wa mwaka 2010,kwani kwenye uchaguzi mkuu wa mwaka 2010 chadema walipata idadi kubwa ya kula za urahisi na idadi kubwa ya bunge. Napia kwenye chaguzi ndogo za ubunge zilizofuatia bado watanzania walikuwa upande wao. Lakini wanachonishangaza ni kuwaunga mkono madaktari katika mgomo huku wakijua wahasirika ni watanzania wa hari chini ambao tegemeo lao nikukombolewa na chadema kutoka kwenye ukandamizwaji wa ccm. Huku si kuwageuka watanzania
Bwana eee!andika vizuri tukuelewe.mbona unaandika vitu ambavyo havieleweki,rudia kuisoma kazi yako kwenye makosa rekebisha kisha urudi hapa!
 
Naona wazi sasa sinema la siasa la siasa linavyovutia watu na kuacha watu na matumaini na shida zisizotatulika.

CHADEMA WANASHINDWA KUPIGANIA MAMBO MUHIMU SASA KAMA bei duni za Pamba, na minofu ya samaki Mgomo wa madaktari, Mgogoro wa walimu na selikali au Uporwaji wa madini wanatuletea tena move ya maigizo ya dr Slaa, Myika na Lema eti wanataka kuuawa!!

Lengo la muvu hii watu waache kujadili mambo nyeti wajadili utumbo huo. Mi sasa sioni harakati za chadema bali siasa uchwala. Sioni umoja tena wa chadema bungeni.

Wanasiasa Mnakera, mnakera kweli. Wawaache wanaharakati wadili na Mnyika kwa lipi.

Washabiki wa vyama fumbua macho Chadema washakula chunguza uone.

Siamini kwenye miujiza au habari za kuhusu freemason na mikanda yao ya habari za "microchip".
Ila chadema inavyoenda nahisi sasa Mbowe kawekewa Microchip na sasa anaendeshwa na mtambo uliopo ikulu. Hakuna kitu sasa. Wakulima jipiganieni. Wavuvi jipiganieni, walimu jipiganiene. CHADEMA HAKUNA UMOJA TENA WANAONGEA WANAPATA POSHO wanarara.

siasa siasa siasa zinakera. A

mbona unatokwa na mapovu hivi?AU kwasababu DILI limesanuka?poleni sana na mtatokwa na mapovu na mapovu sana mwaka huu!
 
Madaktari nao ni watanzania unless unataka kutuambia vinginevyo.

Lakini pia rejea kauli ya mwenyekiti wa CHADEMA kwamba hawaungi mkono mgomo lakini wanawaunga mkono wafanyakazi wote wanaodai haki zao.

Nakubaliana nawewe kwamba madaktari ni watanzania lakini tatizo la watanzania hawa wapo tayari kuona watanzania wenzao wakipoteza uhai kwa ajili ya maslai yao
 
kwani jamani kuna m2 analazimishwa kuamini chama fulani? kuamini chama chochote ni m2 mwenyewe,kama huna imani na chadema kaunde chama chako then have faith with it usituzingue
 
Back
Top Bottom