miss strong
JF-Expert Member
- Jul 4, 2012
- 7,012
- 3,694
Tunawapa warning kuhusu viongoz wetu wa CDM wakipata tatizo tunanyinyi!Itakuwa vita ya Jihad
Chadema wananchi wanaitaji kujua mtawafanyia nini sio siasa zenu za matukio.
CHADEMA kutoka chama makini sasa kimefikia chama cha TETESI!
JFM na wengine acheni ushabiki wa siasg bila macho.
Ivi mnyika na slaa ni muhimu kuliko wagonjwa wote wanaokufa leo kwa kukosa huduma. Mbona hawajawahi kuwaita waandishi kutoa msimamo wanatuletea maigizo humu.
Akifa mwanaharakati moja wanazariwa wengine 10. Acha waende watokee wengine wenye nguvu zaidi
Wenzako kuwa hatarini kutokana na kupigania haki yako wewe ndiyo unawakana na kusema huna imani nao, wao watajitahidi vipi kukusimamia wewe unayelalamika wakati wao kwasasa nguvu yao ni umma (ukiwemo wewe). Inasikitisha sana pale mtu anayepiganiwa haki hajitambui na kuwa ndiye anakatisha tamaa wale wanaompigania.
Naona wazi sasa sinema la siasa la siasa linavyovutia watu na kuacha watu na matumaini na shida zisizotatulika.
CHADEMA WANASHINDWA KUPIGANIA MAMBO MUHIMU SASA KAMA bei duni za Pamba, na minofu ya samaki Mgomo wa madaktari, Mgogoro wa walimu na selikali au Uporwaji wa madini wanatuletea tena move ya maigizo ya dr Slaa, Myika na Lema eti wanataka kuuawa!!
Lengo la muvu hii watu waache kujadili mambo nyeti wajadili utumbo huo. Mi sasa sioni harakati za chadema bali siasa uchwala. Sioni umoja tena wa chadema bungeni.
Wanasiasa Mnakera, mnakera kweli. Wawaache wanaharakati wadili na Mnyika kwa lipi.
Washabiki wa vyama fumbua macho Chadema washakula chunguza uone.
Siamini kwenye miujiza au habari za kuhusu freemason na mikanda yao ya habari za "microchip".
Ila chadema inavyoenda nahisi sasa Mbowe kawekewa Microchip na sasa anaendeshwa na mtambo uliopo ikulu. Hakuna kitu sasa. Wakulima jipiganieni. Wavuvi jipiganieni, walimu jipiganiene. CHADEMA HAKUNA UMOJA TENA WANAONGEA WANAPATA POSHO wanarara.
siasa siasa siasa zinakera. A
Kodi tunalipa za nini?.Hakuna mtu anaepigania haki yako hapo,kila mtu anapigania maslahi yake tu , si Slaa,si Mbowe,si Lipumba,wote wanataka kwenda Ikulu kwa maslahi yao,usisubiri uletewe maisha bora na mwanasiasa hata siku moja,fanya kazi kwa bidii na hakika utapata maisha bora. politics is a dirty game
Hakuna mtu anaepigania haki yako hapo,kila mtu anapigania maslahi yake tu , si Slaa,si Mbowe,si Lipumba,wote wanataka kwenda Ikulu kwa maslahi yao,usisubiri uletewe maisha bora na mwanasiasa hata siku moja,fanya kazi kwa bidii na hakika utapata maisha bora. politics is a dirty game