Sina imani tena na Chadema

Tunawapa warning kuhusu viongoz wetu wa CDM wakipata tatizo tunanyinyi!Itakuwa vita ya Jihad
 
Chadema wananchi wanaitaji kujua mtawafanyia nini sio siasa zenu za matukio.

Chadema wameshasema kuwa watarekebisha mikataba yote ya madini na mikataba ya uwekezaji, na kutokomeza ufisadi ili nchi ifaidike na raslimali zake.
Kwa namna hiyo, hakutakuwa na migomo ya madaktari, walimu, n.k.
Ndio maana unaona sasa wanawindwa ili wauwawe (liwalo na liwe !!!) maana nyie CCM hamtaki hayo yote yatimie.
 
cdm nao kama ccm,viongozi wao c ndio wazee wa changa la macho,wanajifanya hawataki magari ya kifahari kuwazuga watz baadae kimyakimya wanayachukua
 
CHADEMA kutoka chama makini sasa kimefikia chama cha TETESI!

Mimi nazikumbuka sana tetesi zifuatazo:-

(1) "... tutazishughulikia zile rushwa nene-nene ..." - By JK alipokuwa akizindua bunge mwaka 2005.
(2) "... maisha bora kwa kila Mtanzania ..." - By JK.
(3) " ... serikali itachukua hatua, liwalo na liwe ..." - By Pinda.
 
William Mshumbuzi huyu huyu ninayemjua? Mbona wakati unaiamini CHADEMA hukutuambia..sasa kilichokuwasha washa mpaka ujitie ati huiamini Chadema ni nini? ama gamba limenasa?
 
Kati ya mafarasi wewe ni babkubwa. Hivi haya mambo unayoyaongea unafuatilia au unamtuma houseboy wako akafuatilie? Ni mangapi chadema wameyapigania na yakabadilishwa (eg katiba mpya). Ina maana tangu madaktari waogme hujawahi ona chadema wakitoa msimamo wao, bunge huwa unaangalia au kusikilza? Uhai ni kitu cha kwanza mengine unafanya vizuri ukiwa hai. Ungetishiwa wewe maisha yako, mimavi ingekuuma kila dakika lakini ungeshindwa hata kwenda chooni. Acha ufala wako au nenda kaungane na NEPI.
JFM na wengine acheni ushabiki wa siasg bila macho.

Ivi mnyika na slaa ni muhimu kuliko wagonjwa wote wanaokufa leo kwa kukosa huduma. Mbona hawajawahi kuwaita waandishi kutoa msimamo wanatuletea maigizo humu.

Akifa mwanaharakati moja wanazariwa wengine 10. Acha waende watokee wengine wenye nguvu zaidi
 
CHADEMA HAKUNA UMOJA TENA WANAONGEA WANAPATA POSHO wanarara.

'wanarara'...? lol


 
Wenzako kuwa hatarini kutokana na kupigania haki yako wewe ndiyo unawakana na kusema huna imani nao, wao watajitahidi vipi kukusimamia wewe unayelalamika wakati wao kwasasa nguvu yao ni umma (ukiwemo wewe). Inasikitisha sana pale mtu anayepiganiwa haki hajitambui na kuwa ndiye anakatisha tamaa wale wanaompigania.

Hakuna mtu anaepigania haki yako hapo,kila mtu anapigania maslahi yake tu , si Slaa,si Mbowe,si Lipumba,wote wanataka kwenda Ikulu kwa maslahi yao,usisubiri uletewe maisha bora na mwanasiasa hata siku moja,fanya kazi kwa bidii na hakika utapata maisha bora. politics is a dirty game
 
Naona wazi sasa sinema la siasa la siasa linavyovutia watu na kuacha watu na matumaini na shida zisizotatulika.

CHADEMA WANASHINDWA KUPIGANIA MAMBO MUHIMU SASA KAMA bei duni za Pamba, na minofu ya samaki Mgomo wa madaktari, Mgogoro wa walimu na selikali au Uporwaji wa madini wanatuletea tena move ya maigizo ya dr Slaa, Myika na Lema eti wanataka kuuawa!!

Lengo la muvu hii watu waache kujadili mambo nyeti wajadili utumbo huo. Mi sasa sioni harakati za chadema bali siasa uchwala. Sioni umoja tena wa chadema bungeni.

Wanasiasa Mnakera, mnakera kweli. Wawaache wanaharakati wadili na Mnyika kwa lipi.

Washabiki wa vyama fumbua macho Chadema washakula chunguza uone.

Siamini kwenye miujiza au habari za kuhusu freemason na mikanda yao ya habari za "microchip".
Ila chadema inavyoenda nahisi sasa Mbowe kawekewa Microchip na sasa anaendeshwa na mtambo uliopo ikulu. Hakuna kitu sasa. Wakulima jipiganieni. Wavuvi jipiganieni, walimu jipiganiene. CHADEMA HAKUNA UMOJA TENA WANAONGEA WANAPATA POSHO wanarara.

siasa siasa siasa zinakera. A

I think unatumia Masaburi katika kufikiri....Siwezi kukulaumu sana.
 
Mkataa pema pabaya pamgoja!.
Kama unaikataa kuiamini CHADEMA ambayo umeona ndiyo inaweza kuwatetea (WANYONGE) wakulima na imekuwa ikifanya hivyo, japo haina serikali wala dola unataka kumwamini nani?.
 
Hakuna mtu anaepigania haki yako hapo,kila mtu anapigania maslahi yake tu , si Slaa,si Mbowe,si Lipumba,wote wanataka kwenda Ikulu kwa maslahi yao,usisubiri uletewe maisha bora na mwanasiasa hata siku moja,fanya kazi kwa bidii na hakika utapata maisha bora. politics is a dirty game
Kodi tunalipa za nini?.
 
Mi zilidhani CCM inapambana na matatizo ya wananchi kumbe inapambana na CHADEMA, hapo ndo hatima ya CCM ilipo.
 
wawapiganie mara ngapi watu wenyewe mnaogiganiwa hamueleweki, kila siku mnawangángánia magamba sasa chadema wafanye nini?
 
Hoja dhaifu iliopostiwa na mdhaifu ambae ametumwa na serikali legelege inayoongozwa na raisi dhaifu..
 
Hakuna mtu anaepigania haki yako hapo,kila mtu anapigania maslahi yake tu , si Slaa,si Mbowe,si Lipumba,wote wanataka kwenda Ikulu kwa maslahi yao,usisubiri uletewe maisha bora na mwanasiasa hata siku moja,fanya kazi kwa bidii na hakika utapata maisha bora. politics is a dirty game

politics is not a dirty game. politics is like a weapon depends on who hold that weapon.
 
Kwahiyo una iman na CCMabwePande? Hayo unayotaka yatetewe ni sehem ya wajibu wa serikal yako. Kumbuka uhai wa hao jamaa ni muhim zaid 2015, ndo mana wamelizungumzia hasa baada ya kuanzisha msitu wenu..! Tuma post nyingine ikumbushe serikal yako kuhusu hayo mambo uone kama kuna m2 atakupinga.!.
 
Back
Top Bottom