Sina imani tena na Chadema

Sina imani tena na Chadema

JFM na wengine acheni ushabiki wa siasg bila macho.

Ivi mnyika na slaa ni muhimu kuliko wagonjwa wote wanaokufa leo kwa kukosa huduma. Mbona hawajawahi kuwaita waandishi kutoa msimamo wanatuletea maigizo humu.

Akifa mwanaharakati moja wanazariwa wengine 10. Acha waende watokee wengine wenye nguvu zaidi

Umelewa RUBISI wewe. Mnyika na Slaa ni zaidi ya wabunge 50 wa CCM. We endelea kula hizo pesa za wizi za Kalamagi na wenzake, kuliko kutoa pumba zako hapa.
 
Majebere, tunakusubiri Bunju maana hapa unajifanya mjanja. Unakumbuka tulichokufanyia?.
Si bora mie najifanya mjanja, kuna wenzako humu wa CDM wanajifanya wao ni wauaji. Mikwara kibao kuhusu kuua askari.
 
Kwa sasa chadema ndicho chama cha upinzani chenye nguvu ya kuiondoa ccm madarakani.kwa iyo watanzania tusiyopenpa chama kilichodumaza uchumi wa nchi yetu na kusababisha matatizo yote yanayoikabili nchi yetu kikiendelea kutawala,atuwezi tukaona chadema ikipoteza muelekeo tukakaa kimya. Ila kwa yule mwenye mapenzi ya kipumbavu kama wanachama na wapenzi wa ccm ndiye anayeweza kuunga mkono makosa yanayo fanywa na chadema. Badilikeni kwenye mazuri sifieni kwenye makosa kosoeni ayo ndiyo mapenzi ya kweli. Au mnataka chadema nayo ipotee kama NCCR-MAGEUZI,TLP na CUF
 
Nafikiri CHADEMA wanayo safari ndefu ya kupambana na watu aina yako, kuna umuhimu gani wa kupigania bei na hali bora ya maisha ya wenzako wakati wewe mwenyewe unaona uhai wako uko hatarini?

Hii inahitaji darasa kweli kujua ni muhimu kupigania uhai wako kwanza ili uendelee kusaidia wengine?

Na hii ndio viongozi wa cdm wanafanya. Kuwa wa kwanza kuwaunga mkono maana usalama wa taifa na polisi wetu hawaaminiki na wanatumiwa sanana watu walioko madarakani.
 
Nafikiri CHADEMA wanayo safari ndefu ya kupambana na watu aina yako, kuna umuhimu gani wa kupigania bei na hali bora ya maisha ya wenzako wakati wewe mwenyewe unaona uhai wako uko hatarini? Hii inahitaji darasa kweli kujua ni muhimu kupigania uhai wako kwanza ili uendelee kusaidia wengine? Na hii ndio viongozi wa cdm wanafanya. Kuwa wa kwanza kuwaunga mkono maana usalama wa taifa na polisi wetu hawaaminiki na wanatumiwa sanana watu walioko madarakani.
Uku uswaili tunasikia chadema wapo nyuma ya kina ulimboka! Au wanaofia kulicho mkuta walio mtanguliza mbele? Wenzangu wenyeuwelewa mnasemaje kuhusu ili?
 
Nafuu wewe huna imani na CDM kuliko kukosa imani na CDM....wewe tulia tunahakikisha vitendea kazi vipo vizuri ili tupampambane pia vizuri ...
 
Kwa sasa chadema ndicho chama cha upinzani chenye nguvu ya kuiondoa ccm madarakani.kwa iyo watanzania tusiyopenpa chama kilichodumaza uchumi wa nchi yetu na kusababisha matatizo yote yanayoikabili nchi yetu kikiendelea kutawala,atuwezi tukaona chadema ikipoteza muelekeo tukakaa kimya. Ila kwa yule mwenye mapenzi ya kipumbavu kama wanachama na wapenzi wa ccm ndiye anayeweza kuunga mkono makosa yanayo fanywa na chadema. Badilikeni kwenye mazuri sifieni kwenye makosa kosoeni ayo ndiyo mapenzi ya kweli. Au mnataka chadema nayo ipotee kama NCCR-MAGEUZI,TLP na CUF

Maneno yako ni kweli kabisa'tatizo la CDM ni chama cha udini na ukanda'na ukitaka kujua ukweli weka thread ya dini hapa halafu soma comment ya mtu mmoja mmoja hapa JF utaona wafuasi wa CDM walivyo wadini'naichukia sana CCM lakni CDM pia sina imani nao kwa Tz sijaona chama chenye nia yakuwanganisha watz pamoja bila kujali ukabila au dini;wanasiasa hawa wa TZ siku 1 watasababisha tutamwaga sana damu kwa ajili ya maslahi yao tu'
h
 
Ninashangaa bado kuna watu wanafikili Tanzania ina vyama haswa vya siasa. Ukiipambanua hata CCM ambayo ndiyo iko madarakani ni matatizo tupu.
Tatizo kuu la Watanzania ni porojo tupu. Watu wengi wanajiita wanasiasa lakini hata siasa hawazijui, wananchi ndiyo usiseme, wengi wao hawajui hata wajibu wao katika nchi wanayoisema ni yao. Most of Tanzanian live in Tanzania like foreigner in their so called own country.
Bungeni ambako ndiko kulitakiwa matatizo ya nchi yapatiwe ufumbuzi kumebadilika na kuwa uwanja wa ngonjera na sehemu ya kujipatia umaarufu wa kibinafsi ambao hauna hata tija kwa Watanzania wanaotegemea hasa mkono wa serikali ili chakula kiende kinywani.
Mpaka hapo wananchi watakapofunguka na kutambua kuwa nchi haina wanasiasa halisi ndipo hapo itakapokuwa mwanzo wa maendeleo nchini.
 
JFM na wengine acheni ushabiki wa siasg bila macho.

Ivi mnyika na slaa ni muhimu kuliko wagonjwa wote wanaokufa leo kwa kukosa huduma. Mbona hawajawahi kuwaita waandishi kutoa msimamo wanatuletea maigizo humu.

Akifa mwanaharakati moja wanazariwa wengine 10. Acha waende watokee wengine wenye nguvu zaidi

wewe ni sawa na ZUZU au MLAFI KABISA! mana ukiona mtu anaishabikia ccm leo hii na anaish apa bongo lazima awe na kimoja kati ya hiki au vyote, kwanza ni MPUMBAVU KABISA asiejitambua, pili ni mlafi wa utajiri wa bure bure hivo anajipendekeza kuchumia tumbo.
sasa wewe jipime mwenyewe na ujipangie kati ya hayo mawili au kaa kote kabisa!
MNYIKA na SLAA ni majembe wapo sahihi kwa hayo waliosema kwenye dola dhalimu kama hii ya kumuumiza ulimboka, mwakyembe, kubenea na wengine wengi!
 
Popobawa na wenzako naomba unielewe sijawahi kuwa Shabiki wa CCM Na ndio tusi kubwa kuwahi kutukanwa kuwa shabiki wa CCM

TAtizo la mwafrika ukimkosoa tu basi we mpinzani. Hakuna chama cha siasa Tanzania ni uhuni mtupu kero za watanzania hazina wa kuzipigania.
 
JFM na wengine acheni ushabiki wa siasg bila macho.

Ivi mnyika na slaa ni muhimu kuliko wagonjwa wote wanaokufa leo kwa kukosa huduma. Mbona hawajawahi kuwaita waandishi kutoa msimamo wanatuletea maigizo humu.

Akifa mwanaharakati moja wanazariwa wengine 10. Acha waende watokee wengine wenye nguvu zaidi

Mshumbusi tangulia wewe kufa,pambafu!
 
Popobawa na wenzako naomba unielewe sijawahi kuwa Shabiki wa CCM Na ndio tusi kubwa kuwahi kutukanwa kuwa shabiki wa CCM

TAtizo la mwafrika ukimkosoa tu basi we mpinzani. Hakuna chama cha siasa Tanzania ni uhuni mtupu kero za watanzania hazina wa kuzipigania.

kaka tatizo apa c kukosolewa, ni kukosoa kwenye maana au la! kama kuwatetea wabongo ulitaka wafanyaje ili uone wewe gamba unaejikana mwenyewe? cku zote CDM wamekua mbele kutetea hak hizo znazokandamizwa na hao magamba wenzio kwa mfano
1.MGOMO WA MADAKTARI:katika maswali ya papo kwa papo mara ngap Mbowe anauliza na kutaka ufafanuzi juu ya hoja hii na anajibibiwa kirahis rahis na wazir mkuu asiejiamini kuliko wote ktk historia ya TZ, na yule bibi kiroboto anasaidia kuizima kila mara wabunge wa CDM wanapotaka bunge lijadili suala hili?
2.MADINI: Zito ni wa CDM aliwai simamishwa ubunge wake kwa zaid ya miez miwili coz alitaka kushughulikiwa kwa wote waliouza mgod wa BUZWAGI ktk bunge la SAMWEL SITTA
3.WALIMU:ni mara ngap CDM wanapendekeza kua kwa nch kama hii serikali inapaswa kulipa kima cha chini kisichopungua 315,000/= kwa watumish wake na magamba nyie mnabana? je hapo kilio cha walimu hakijatetewa na CDM?
4.Ivi ni kwa vp unawavaa CDM kuhusu matatizo ya nchi hii na unaisahau kabisa NYINYIEM walioshika dola kwa wizi, udhalimu, mabavu na ufisad uliotopea?


Kaka mind u ni bora hao CDM kutuarifu sisi kama umma mapema coz kwa sasa lazima wapunguze kas ya huo mpango mchafu mana wanajua mda c mrefu tutaingia road wakikamilisha dili lao chafu kama la DR ULI!
MWISHO NAOMBA UJE KUKOSOA UKIWA UNBIASED COZ KWA STAILI HII ME LAZIMA NIKUONE GAMBA TU UNJIPENDEKEZA NA MCHUMIA TUMBO USIEAMIN UWEZO WAKO ALIOKUPA MUNGU! THANX KAKA PA1
 
Unataka uue au udhuru watu wasio na hatia, halafu watu wakuchekee Mheshimiwa?!, lazima upotezwe
Si bora mie najifanya mjanja, kuna wenzako humu wa CDM wanajifanya wao ni wauaji. Mikwara kibao kuhusu kuua askari.
 
Ni vigumu kulizungumzia na Kuhoji hili japo lina athari kwa Taifa

sita.jpg
 
CCM hela ya kulipa watu kama hawa wanayo... hela ya kuwaletea wananchi maendeleo wao wanaipeleka kulipa watu kama wewe kuhadaa uma...
 
Back
Top Bottom