Sina imani tena na Chadema

Sina imani tena na Chadema

Wewe ndiye mwenyekiti wa genge hilo la wauaji. Inaonekana wamekushika pabaya. Basi achana na huo mpango wako wa kishetani na umrudie Mungu!
 
William mshumbuzi, mbona haujui kudanganya? ww huyo huyo umesema CDM haitafika 2015, leo unasema umeichoka..., kuna kitu william haukijui, CDM Ni mkusanyiko wa wasomi, maprofessor, Madoctor na degree za kumwaga, sasa wewe willim shule yako bado ni ndogo sana haujui kudanganya. kasome ili uongeze argument
 
Unasema siasa zinakera huku upo kwny jukwaa la siasa!!!! Mnafki mkubwa we kama hauwezi siasa kacheze kiduku kuliko kuongea utumbo humu.
 
Mleta thread naona amekurupuka toka usingizini hakufanya utafiti kabla ya kuandika! Angefanya utafiti kuanzia bungeni angeona akina Wenje na Zitto wanavopiga kelele kuhusu pamba na kuhusu rasilimali za nchi zisivowanugfaisha wananchi! sijui kama ulimsikia vicent nyerere alivozungumzia swala la uvuvi ziwa victoria au ulifuatilia M4C walipokuwa kusini walipovalia njunga swala la korosho na hata Mbowe akamuuliza waziri mkuu kuhusu malipo kwa wakulima wa korosha? sijui kama ulifuatilia namna zitto,mnyika na heche walipokuwa Tanga wakifuatilia na kuhamasisha zao la mkonge??kumbuka kuwa Ilani inayotumika ni ya ccm wao ndio wanakusanya kodi, wanaunda bodi za mazao! Mwisho soma ilani ya CDM ya uchaguzi uliopita ipo clear kuhusu hayo yote uliosemea! Usalama wa viongozi ni muhimu sana sasa wakiuawa hayo unayoyasemea watasimamia vipi? Au si umemsikia Dr. Slaa kasema kama kuna mtu mwenye doubt na alichokisema aende mahakamani huko ushahidi wote utatolewa, sasa na wewe na serikali yako dhaifu nendeni mahakamani mfungulieni slaa kesi kama ile ya Arusha ukweli utajulikana!
 
Utumbo mwingine huu. Tangu lini mnasema Chadema kwisha? Kama ni hivyo ingeshazikwa muda mrefu. Mwakyembe alipodai kutishiwa maisha wanamagamba mlikuwa wa kwanza kumnyooshea kidole eti anatapatapa yamemkuta kimyaaaaa. Uliona lini akina Slaa wanaongea bila kuwa na ushahidi? Tishio la kuuawa Slaa hata Mwakyembe alilisema


Chadema kwisha kazi yake. Hawamalizi huu mwaka.
 
Ile ni NGO ya Mbowe na Mtei wengine wote ni watumishi, wajanja wameanza kufunguka macho, ila wa kuja bado wamekomaaa, siasa ni mchezo msaaaaaaaaafi sana

na ccm ni NGO ya nani? tutajie maana inaelekea wewe unawajua wenye NGO hizi! huna aibu!!chadema walivofumbua watu macho na ku expose uozo wa ccm mpaka leo hujaona??
 
Kadi yako ni namba ngapi kule CHADEMA mkuu ndio tupate kukuamini yote uyabubujikayo humu????????

Certainly, if you have nothing tangible to say then DONT say it here.
Ina maana mpaka leo hii wewe hapo HUNA UNDANI wa taarifa hizo hapo chini kwenye wino wa bluu uliokolea???


Naona wazi sasa sinema la siasa la siasa linavyovutia watu na kuacha watu na matumaini na shida zisizotatulika.

CHADEMA WANASHINDWA KUPIGANIA MAMBO MUHIMU SASA KAMA bei duni za Pamba, na minofu ya samaki Mgomo wa madaktari, Mgogoro wa walimu na selikali au Uporwaji wa madini wanatuletea tena move ya maigizo ya dr Slaa, Myika na Lema eti wanataka kuuawa!!

Lengo la muvu hii watu waache kujadili mambo nyeti wajadili utumbo huo. Mi sasa sioni harakati za chadema bali siasa uchwala. Sioni umoja tena wa chadema bungeni.

Wanasiasa Mnakera, mnakera kweli. Wawaache wanaharakati wadili na Mnyika kwa lipi.

Washabiki wa vyama fumbua macho Chadema washakula chunguza uone.

Siamini kwenye miujiza au habari za kuhusu freemason na mikanda yao ya habari za "microchip".
Ila chadema inavyoenda nahisi sasa Mbowe kawekewa Microchip na sasa anaendeshwa na mtambo uliopo ikulu. Hakuna kitu sasa. Wakulima jipiganieni. Wavuvi jipiganieni, walimu jipiganiene. CHADEMA HAKUNA UMOJA TENA WANAONGEA WANAPATA POSHO wanarara.

siasa siasa siasa zinakera. A
 
Naona wazi sasa sinema la siasa la siasa linavyovutia watu na kuacha watu na matumaini na shida zisizotatulika.

CHADEMA WANASHINDWA KUPIGANIA MAMBO MUHIMU SASA KAMA bei duni za Pamba, na minofu ya samaki Mgomo wa madaktari, Mgogoro wa walimu na selikali au Uporwaji wa madini wanatuletea tena move ya maigizo ya dr Slaa, Myika na Lema eti wanataka kuuawa!!

Lengo la muvu hii watu waache kujadili mambo nyeti wajadili utumbo huo. Mi sasa sioni harakati za chadema bali siasa uchwala. Sioni umoja tena wa chadema bungeni.

Wanasiasa Mnakera, mnakera kweli. Wawaache wanaharakati wadili na Mnyika kwa lipi.

Washabiki wa vyama fumbua macho Chadema washakula chunguza uone.

Siamini kwenye miujiza au habari za kuhusu freemason na mikanda yao ya habari za "microchip".
Ila chadema inavyoenda nahisi sasa Mbowe kawekewa Microchip na sasa anaendeshwa na mtambo uliopo ikulu. Hakuna kitu sasa. Wakulima jipiganieni. Wavuvi jipiganieni, walimu jipiganiene. CHADEMA HAKUNA UMOJA TENA WANAONGEA WANAPATA POSHO wanarara.

siasa siasa siasa zinakera. A

kuchagua uichague ccm, imani uiweke cdm. Huo ni upuuzi. Kwanza huwezi kuwa na iman na cdm maana mkeo alikukataa na kuishi na Slaa. Kwani kesi imeishia wapi? Mkeo alishatoka ndani? Mmesha mfanyia "Mbesi"? Kajipange upya!
 
kama hao mafisadi wako wanaokutumia wameshindwa kuipigania unategemea nini
 
Naona wazi sasa sinema la siasa la siasa linavyovutia watu na kuacha watu na matumaini na shida zisizotatulika.

CHADEMA WANASHINDWA KUPIGANIA MAMBO MUHIMU SASA KAMA bei duni za Pamba, na minofu ya samaki Mgomo wa madaktari, Mgogoro wa walimu na selikali au Uporwaji wa madini wanatuletea tena move ya maigizo ya dr Slaa, Myika na Lema eti wanataka kuuawa!!

Lengo la muvu hii watu waache kujadili mambo nyeti wajadili utumbo huo. Mi sasa sioni harakati za chadema bali siasa uchwala. Sioni umoja tena wa chadema bungeni.

Wanasiasa Mnakera, mnakera kweli. Wawaache wanaharakati wadili na Mnyika kwa lipi.

Washabiki wa vyama fumbua macho Chadema washakula chunguza uone.

Siamini kwenye miujiza au habari za kuhusu freemason na mikanda yao ya habari za "microchip".
Ila chadema inavyoenda nahisi sasa Mbowe kawekewa Microchip na sasa anaendeshwa na mtambo uliopo ikulu. Hakuna kitu sasa. Wakulima jipiganieni. Wavuvi jipiganieni, walimu jipiganiene. CHADEMA HAKUNA UMOJA TENA WANAONGEA WANAPATA POSHO wanarara.

siasa siasa siasa zinakera. A

Wamekula nn tuambie tujue
 
Naona wazi sasa sinema la siasa la siasa linavyovutia watu na kuacha watu na matumaini na shida zisizotatulika.

CHADEMA WANASHINDWA KUPIGANIA MAMBO MUHIMU SASA KAMA bei duni za Pamba, na minofu ya samaki Mgomo wa madaktari, Mgogoro wa walimu na selikali au Uporwaji wa madini wanatuletea tena move ya maigizo ya dr Slaa, Myika na Lema eti wanataka kuuawa!!

Lengo la muvu hii watu waache kujadili mambo nyeti wajadili utumbo huo. Mi sasa sioni harakati za chadema bali siasa uchwala. Sioni umoja tena wa chadema bungeni.

Wanasiasa Mnakera, mnakera kweli. Wawaache wanaharakati wadili na Mnyika kwa lipi.

Washabiki wa vyama fumbua macho Chadema washakula chunguza uone.

Siamini kwenye miujiza au habari za kuhusu freemason na mikanda yao ya habari za "microchip".
Ila chadema inavyoenda nahisi sasa Mbowe kawekewa Microchip na sasa anaendeshwa na mtambo uliopo ikulu. Hakuna kitu sasa. Wakulima jipiganieni. Wavuvi jipiganieni, walimu jipiganiene. CHADEMA HAKUNA UMOJA TENA WANAONGEA WANAPATA POSHO wanarara.

siasa siasa siasa zinakera. A

Kuna siku umeshawahi kuisupport CHADEMA? Acha unafiki bhana, kwani kama kuna tishio hilo wasiseme? wewe tunakujua ni ccm damu sasa haya yote ya nini
 
yaani wewe unawaona CDM tu, ndio wenye jukumu la kupigania maisha ya watanzania, mbona hutaji vyama vingine kama CUF, NCCR, TLP, UDP, au havina hiyo dhamana? acha unafiki
 
Tunawapa warning kuhusu viongoz wetu wa CDM wakipata tatizo tunanyinyi!Itakuwa vita ya Jihad
 
unapuuza kuwa viongozi wetu sanaweza kuuwawa? Kama Dr Ulimboka walitaka kumuua kwanini wasifanye hivyo kwa wengine, Msimamo wa chadema juu ya wakulima wa pamba unajulikana na ndo maana kanda ya ziwa wanaikubali chadema
 
Maisha bora kwa kila mwananchi na kipigo kikali cha kufa mtu kwa kila anayepinga harakati za CCM kuwakandamiza watumishi!

Hapa labda ungesema "Maisha bora kwa kila FISADI ..."

Halafu ungemalizia kwa 'kibwagiz' kipya cha CCM kisemacho '...liwalo na liwe...'

Pia usisahau kuweka '...kudadadeki...'
 
Back
Top Bottom