Samia atosha tukutane2030
JF-Expert Member
- Apr 7, 2020
- 17,332
- 48,941
Haijalishi wananchi wataipenda CCM au wataichukia kama wanavyoichukia sasa ila CHADEMA ndio basi tena imekufa..
Siasa ni mchezo mchafu na CHADEMA wamepigwa kijanja wamezima mazima.
Kwa miongo takribani miwili wananchi waliiona CHADEMA kama kimbilio lakini tangu October 29 masaibu waliyopitia wananchi wamejua kuwa CHADEMA imehusika kwa 100% .
Sasa hivi kwenye page za wapinzani na ma activists wakipost jambo wananchi huwashambulia tofauti na miaka ya nyuma.
CHADEMA kwaheri. CCM waache uoga wamtoe LISSU, wawape ruhusa CHADEMA kufanya mihadhara yao . Hawana madhara tena.
Ikifufuka tena ndani ya miaka hii kumi nitagawa maduka yangu 2 moja la jumla moja la retail.
Nyumba, kiwanja, gari , pikipiki na nitaacha kazi kisha kwenda kuanza upya kijijini
Never, haifufuki tena
Thread 'Hivi huko CHADEMA kuna mwenye akili timamu kweli? Vimitego vidogo vya kunasia digidigi vinawanasa'
Soma na huu Uzi chini kujua kweli CHADEMA ni takataka 👇
Hivi huko CHADEMA kuna mwenye akili timamu kweli? Vimitego vidogo vya kunasia digidigi vinawanasa
Siasa ni mchezo mchafu na CHADEMA wamepigwa kijanja wamezima mazima.
Kwa miongo takribani miwili wananchi waliiona CHADEMA kama kimbilio lakini tangu October 29 masaibu waliyopitia wananchi wamejua kuwa CHADEMA imehusika kwa 100% .
Sasa hivi kwenye page za wapinzani na ma activists wakipost jambo wananchi huwashambulia tofauti na miaka ya nyuma.
CHADEMA kwaheri. CCM waache uoga wamtoe LISSU, wawape ruhusa CHADEMA kufanya mihadhara yao . Hawana madhara tena.
Ikifufuka tena ndani ya miaka hii kumi nitagawa maduka yangu 2 moja la jumla moja la retail.
Nyumba, kiwanja, gari , pikipiki na nitaacha kazi kisha kwenda kuanza upya kijijini
Never, haifufuki tena
Thread 'Hivi huko CHADEMA kuna mwenye akili timamu kweli? Vimitego vidogo vya kunasia digidigi vinawanasa'
Soma na huu Uzi chini kujua kweli CHADEMA ni takataka 👇
Hivi huko CHADEMA kuna mwenye akili timamu kweli? Vimitego vidogo vya kunasia digidigi vinawanasa