Sina hamu na mume wangu

Sina hamu na mume wangu

Hii stori ya kufikirika gesti zote, magari,nk nk amuinamishe ofisini muda wa kazi ahhhhhh
 
Nimeolewa na nina watoto 2, mimi ni muajiriwa na mume wangu pia muajiriwa serikalini, siku moja ilikuwa birthday ya mume wangu but alisahau ikabidi nimfanyie suprise kumpelekea zawadi ikiwemo keki ofisini kwake wakati wa lunch time, kufika ofisini kwake secretary wake sikumkuta ila nilihisi mume wangu yupo ofisini me moja kwa moja kufungua mlango kwa shangwe zote nikichokikuta humo ndicho kinachoniumiza mpk leo ,mume wangu amemuinamisha secretary wake wakihave sex,kesi ilikuwa kubwa but nikajitahidi kumsamehe ila tatizo sina hamu ya kufanya nae mapenzi tena bcoz ile picha iko ndani ya ubongo wangu yaani K yangu imekufa ganzi kabisaaa katika swala la sex ,nifanyeje jamani

We nakshi hiyo avatar yako hiyo......mh! Limeshatokea kaa kwa mumeo tulia na mpe ile kitu roho inapenda don't complicate issues. Hapa unatafuta ushauri but umetupa story ya upande mmoja huenda nawe ulimnyima usiku akaamua amalizie stress zake kwa secr wake huenda nawe una mambo yako magumu.. Halafu nawashuri wanajf wote humu kwamba eleweni maana ya surprise siyo hiyo aliyoifanya. Kama surprise ilikuwa ni cake ya birthday kwa nini umvamie ofcn bila taarifa? kwa nini usingempigia simu na kumtaarifu kwamba nina shida nakuja ofcn kwako halafu ukifika ndo anajua kama siyo shida alivofikiri bali na cake? je ungekuta yuko kikao nje ya ofc hadi jioni, ungekaa na likeki lako hapo hadi arudi? je kama angetoka kikaoni akapitiliza nyumbani halafu wewe umekaa hapo hadi jioni na likeki lako halafu ukachelewa kurudi nyumbani angekufikiliaje naye? Tatizo watoto wa siku hizi mnaiga mambo halafu mnakuwa wavivu wa ku analyse mabo yenu. Acha kujishaua kampe haki yake hakuna ganzi hapo!
 
kabla sijaolewa mahusiano yalikuwa yananishinda kwasababu ya hayo mambo rafiki zangu wakawa wananiambia hutakaa uolewa maana wanaume wote wako hivyo utaacha wangapi? nikasema kama hvyo ndivyo basi kweli ndoa ntaisikia tu hatimaye nikampata mtulivu nikaolewa, sasa na yeye akinichanganya sioni tatizo kutoka kwa kweli na nazani itakuwa ndo mwanzo na mwisho wa mimi kuwa na mtu anaeitwa mwanaume

Ukifika 36 na kuendelea mpaka 50 hutasema maneno haya trust me! Tuombe uzima Mrs! Hayo ni maneno ya ujana! Utatamani hata anaye cheat hutompata!
 
Kwa avatar hiyo, sasa hivi utapata wa kukutia hamu ya 'ku-have sex:biggrin1:'

Ningekuwa na kampuni ningekuweka kitengo cha marketing, unaimudu sana hii kazi.
Hapa kuna some sort of 'strategic scenario with matangazo at work'. I too much read between the lines, hadi kuna saa najikuta na-read between the legs.

You have an inquisitive mind, just like me, your big bro.

Ask this question, too: "Why didn't they close the door?"
 
mhhh...una moyoo...me ninge-cheat kujisahaulisha stress hizo..but waangalie sana watoto wasiwe affected,ts not their fault
 
Pole mpenzi!!Hiyo ndio ndoa sasa,na hizo ndo' changamoto zenyewe,jifunze kusamehe na kusahau,UNGEKUWA UMEMSAMEHE,K ICNGEKUFA ganzi mamy
 
Mnazidi kufatana hadi ofisini saprise gani hiyo msubirie nyumbani umkabizi zawadi yako mnafatana utazani njiwa zilizo tagwa kwa pamoja
 
jitahidi kukumbuka yale mema akufanyiayo halafu hisi kwamba keshafariki;akili itakufanya usahau jambo hilo kwani familia ni muhimu kuliko kufumania UKIZINGATIA KWAMBA HAMKUKUTANA MKIWA MABIKIRA
 
Back
Top Bottom