nzalendo
JF-Expert Member
- May 26, 2009
- 12,701
- 14,096
sasa kingine kipi zaidi ya pesa...
uhai ni zaidi ya pesa
sasa kingine kipi zaidi ya pesa...
Nimeolewa na nina watoto 2, mimi ni muajiriwa na mume wangu pia muajiriwa serikalini, siku moja ilikuwa birthday ya mume wangu but alisahau ikabidi nimfanyie suprise kumpelekea zawadi ikiwemo keki ofisini kwake wakati wa lunch time, kufika ofisini kwake secretary wake sikumkuta ila nilihisi mume wangu yupo ofisini me moja kwa moja kufungua mlango kwa shangwe zote nikichokikuta humo ndicho kinachoniumiza mpk leo ,mume wangu amemuinamisha secretary wake wakihave sex,kesi ilikuwa kubwa but nikajitahidi kumsamehe ila tatizo sina hamu ya kufanya nae mapenzi tena bcoz ile picha iko ndani ya ubongo wangu yaani K yangu imekufa ganzi kabisaaa katika swala la sex ,nifanyeje jamani
Me nikupongeze tu kwa kuendelea kuishi nae mpaka leo duh, nisingeweza
Hii nayo issue?Kosa la kwanza unakuwa hivyo?Vumilia ndiyo ndoa ilivyo
uhai ni zaidi ya pesa
Mnazidi kufatana hadi ofisini saprise gani hiyo msubirie nyumbani umkabizi zawadi yako mnafatana utazani njiwa zilizo tagwa kwa pamoja
hapo utakuwa unamkomesha nani...?? Na hili ndo kosa wanalofanyaga wanawake wengi sana.mhhh...una moyoo...me ninge-cheat kujisahaulisha stress hizo..but waangalie sana watoto wasiwe affected,ts not their fault
sasa kingine kipi zaidi ya pesa...
sikomeshi mtu,ni stress mgt tu,kwani ni bora kukaa unalia na kuweka vinyongo..akuuhapo utakuwa unamkomesha nani...?? Na hili ndo kosa wanalofanyaga wanawake wengi sana.
hata biblia kwa sisi wakristo inakuruhu kuvunja ndoa endapo mwenzio atafanya uasherati nje ya ndoa
khaaaaaaa agrrrrrrrrrrrrrrrrrr