Kongosho
JF-Expert Member
- Mar 21, 2011
- 35,987
- 24,226
Very true, kuna mtu ile aidia tu ya yeye kuwa na mwanmke mwingine unakonda kabisa.
Lakini mwingine unamkumbusha tu kutumia kinga msije kufa, haya mambo haya yako moyoni.
May the Lord bless us jamani, inatisha sana kuchitiwa na mtu unayemfeel hadi rohoni.
Lakini mwingine unamkumbusha tu kutumia kinga msije kufa, haya mambo haya yako moyoni.
May the Lord bless us jamani, inatisha sana kuchitiwa na mtu unayemfeel hadi rohoni.
Power iko moyoni, wala si kwa sex organs; na maumivu yapo huko huko kwa moyo. Ndio maana waweza sex na mtu usomfeel na hata ukisikia yuko na mtu mwingine usiumie. Lkn mtu ulompenda na uliyemuamini, it hurts more than death itself.