Asprin
Platinum Member
- Mar 8, 2008
- 68,272
- 96,398
Maandiko yenyewe yanakataza,
Kwa dhambi ya usinzi nje ya ndoa,Hapo ndoa lazima ivunjike..Mimi Huo Moyo Wa kulea Msalilti Sina.
Usinzi ndo nini?
Laiti ungekuwa unajua unavyosalitiwa usingetoa hii hadithi yako hapa