Sina hamu na mume wangu

Sina hamu na mume wangu

Maandiko yenyewe yanakataza,
Kwa dhambi ya usinzi nje ya ndoa,Hapo ndoa lazima ivunjike..Mimi Huo Moyo Wa kulea Msalilti Sina.

Usinzi ndo nini?

Laiti ungekuwa unajua unavyosalitiwa usingetoa hii hadithi yako hapa
 
mimi huwa nafikiria nikifumania sijui hata nitachukua uamuzi gani, ila kama mtu simfahamu kabisa naweza kumsamehe, lakini kama namfahamu itakuwa ngumu kusamehe.
 
Kwa avatar hiyo, sasa hivi utapata wa kukutia hamu ya 'ku-have sex:biggrin1:'

Ningekuwa na kampuni ningekuweka kitengo cha marketing, unaimudu sana hii kazi.
Hapa kuna some sort of 'strategic scenario with matangazo at work'. I too much read between the lines, hadi kuna saa najikuta na-read between the legs.

philosophy.....
 
Usinzi ndo nini?

Laiti ungekuwa unajua unavyosalitiwa usingetoa hii hadithi yako hapa


Hiyo ni kosa la uandiashi mkuu,Nashukuru kwa kunirekebisha!

Umeshatumia "nge"...ila nikijua tu ndo mwisho wa ndoa
Halafu sio hadithi huu ni ukweli wangu kutoka moyoni
 
Hiyo ni kosa la uandiashi mkuu,Nashukuru kwa kunirekebisha!

Umeshatumia "nge"...ila nikijua tu ndo mwisho wa ndoa

Ndo ujue sasa, wanaume wote tuna vimeo vya nje. Ukijifanya unaleta visapraiz vyako, upitie kwa daktari kabisa akucheki presha yako.
 
Ndo ujue sasa, wanaume wote tuna vimeo vya nje. Ukijifanya unaleta visapraiz vyako, upitie kwa daktari kabisa akucheki presha yako.

Sasa Sababu ya Kuoa iko wapi kama unaendeleza uasherati?
Wanaume mnahitaji kubadilika sana manake wake zenu wanawabeba na hambebeki,

Hivi ukimfumania mkeo utamsamehe kweli?
 
pole ngumu kumeza chungu kutema hapo unapambana na nafsi yako bado kuna nyingine inakwambia acha na nyingine uendelee kuishi naye ila check back ground ya mumeo huko nyuma b4 hujamfumania dah! hatareeeee sana haya mambo jamani unaweza hata poteza maisha
 
Sasa Sababu ya Kuoa iko wapi kama unaendeleza uasherati?
Wanaume mnahitaji kubadilika sana manake wake zenu wanawabeba na hambebeki,

Hivi ukimfumania mkeo utamsamehe kweli?

Mwanaume hajaumbwa kwa ajili ya mwanamke mmoja.

Nikimfumania mke wangu namtimua, akinifumania, uamuzi ni wake. Asuke au anyoe.
 
Unajua ktk maisha kuna vikwaza vile vile ktk kaz pia ktk elimu na ww yamekukuta ktk ndoa.kitu cha msing ni kwamba ukipatiwa vikwazo ktk elimu huwez kuacha shule au kaz au kufa ila ni kukubali kwamba yametokea.plz kubali halafu cool down.
 
Ni maajabu!! Anafanya mapenzi ofisini wakati mlango hauna usalama??!! Kweli hilo ni "gube gube"!!
 
loh ubarikiwe kwa kuweza kusamehe kwa sababu mimi nisingeweza zaidi ningemfilisi tu...... sasa kam umeweza kusamehe omba Mungu akupe uwezo wa kusahahu ile picha....

apo kwenye reeed apo....mmmmh wa machame ndo napo waheshimu..nifilisi sawa ila roho yangu niachie:biggrin1:
 
Mwanaume hajaumbwa kwa ajili ya mwanamke mmoja.

Nikimfumania mke wangu namtimua, akinifumania, uamuzi ni wake. Asuke au anyoe.

Hii ni typical Ubinafsi,

Hajaumbwa na nani mkuu?

Usilopenda kutendewa usimtendee mwenzio.
 
Back
Top Bottom