Husninyo
Platinum Member
- Oct 24, 2010
- 24,167
- 10,226
Hilo nakataa jamani mmmh, ntasamehe yote lakini lakunicheat au kunipiga ni NEVER
hilo la kipigo kwakweli ni zito. ila kama kaamua kutumia kidudu chake kwa secretary haitonipa shida, cha msingi ni kwenda kupima magonjwa yote .... isijekuwa secretary kamuachia mpaka magonjwa ya kurithi. lol