Sina hamu na mume wangu

Sina hamu na mume wangu

yaani kusex na mwingine tu ndio usingeweza kuishi nae?

Hata nami kwa nguvu zangu za kibinadamu, SIWEZI. Kwanini? Upendo unaisha on the spot, trust inapotea hebu niambie nini kitabaki ktk ndoa kama vitu vya msingi (trust na love) havipo; ni pesa, kuitwa mke wa fulani au mali tulizochangia, maana kama ni watoto hata ndoa ikivunjika haibadilishi the fact kuwa ni watoto wa mimi na yeye.
 
Toka naww nje ya ndoa angalau mara moja au mara mbili... na ikiwezekana mfanya ajue kabisa.
hii itakusaidia kisaikolojia kujiona huna haki ya kumchukia mmeo kwan nawewe pia umefanya kosaa hilohilo.
Na itajupelekea kua mwepesi kiakili na kusahau yalitotokea

.
 
Hata nami kwa nguvu zangu za kibinadamu, SIWEZI. Kwanini? Upendo unaisha on the spot, trust inapotea hebu niambie nini kitabaki ktk ndoa kama vitu vya msingi (trust na love) havipo; ni pesa, kuitwa mke wa fulani au mali tulizochangia, maana kama ni watoto hata ndoa ikivunjika haibadilishi the fact kuwa ni watoto wa mimi na yeye.

na wewe sist kaunga ukiolewa utalielewa hili ninalowaambia.
 
Bora aombe kujibrekisha kwa muda, akiona anamuhitaji bado ndio arudi. Kupona ukiwa hapo hapo home kazi sana.

I know, nilijaribu kujitoa ukaunga na kujivika u@gfsonwin wakati namshauri hili.
 
na wewe sist kaunga ukiolewa utalielewa hili ninalowaambia.

Hapana Husninyo sio swala lá ukiolewa, ni mara mia hata usikie tetesi kuliko kuona live. Na imagine ni mtu ambaye anakuambia kila siku u mean a world to him na hatakaa akuumize kwa namna yeyote.

Lkn labda kama ndoa yao haiko romantic any more na wana coexist tu kwenye nyumba (hapo msingi ni mwingine sio upendo na uaminifu). And by the way nilishamuacha mwanaume niliyekaa naye 5 years kwa kitu kama hicho. And l can do it again n again and again.
 
Last edited by a moderator:
ndoa yako itakuwa bado changa. ngoja ikomae.
ofcoz bado changa, ila sio sababu ndugu yangu ndivyo nilivyoumbwa na nikisema nijilazimishe iko siku watakuta nimekufa humo ndani na sio kwa kujiua ila moyo wangu wont be able to take it
 
Ndiyo maana mimi sifanyi surprise kila kitu natoa taarifa nisije nikafumania.
 
Nimeolewa na nina watoto 2, mimi ni muajiriwa na mume wangu pia muajiriwa serikalini, siku moja ilikuwa birthday ya mume wangu but alisahau ikabidi nimfanyie suprise kumpelekea zawadi ikiwemo keki ofisini kwake wakati wa lunch time, kufika ofisini kwake secretary wake sikumkuta ila nilihisi mume wangu yupo ofisini me moja kwa moja kufungua mlango kwa shangwe zote nikichokikuta humo ndicho kinachoniumiza mpk leo ,mume wangu amemuinamisha secretary wake wakihave sex,kesi ilikuwa kubwa but nikajitahidi kumsamehe ila tatizo sina hamu ya kufanya nae mapenzi tena bcoz ile picha iko ndani ya ubongo wangu yaani K yangu imekufa ganzi kabisaaa katika swala la sex ,nifanyeje jamani

Duu! Duniani kuna mambo!!
Labda kilio chako kipeleke kwa Mungu, ili akusaidie kukusahaulisha machungu hayo na ulejewe hali yako ya kawaida.
 
Adhabu yake ndogo sana unarudi nyumbani unakata keki unainjoy na watoto simuulizi wala sitaki samahani yake naendelea na majukumu yote kama mke. Sitakaa nimuulize namwacha na linafsi lake limsute akisubiria nimuulize nakuhakikishia ataumia kuliko ukimuuliza na kumgombeza.
 
I know, nilijaribu kujitoa ukaunga na kujivika u@gfsonwin wakati namshauri hili.
ni suala la muda tu, wanawake wanapitia machungu mengi zaidi hata ya mume kucheat ila tunasahau na maisha yanasonga. labda kama unaamua kumuacha na kutokuwa kwenye mahusiano tena. kama ndio tayari una watoto akili lazma ijitune kusamehe kama bibie hapo.
 
la kitu kinahitaji uzoefu

Kama hujazoea kutoka nje ya ndoa bora usifanye, hujui do's and don'ts.

Unaweza fakamia mtu bila ndomu ukarudi na miwaya bure, au ukai-damage nafsi yako bure. Pride ya mwanamke ni kuweza kuwa mwaminifu kwa mmewe (at least to me), kama unapigwa nje kama kawa, una tofauti gani na machangu wa kitaa? Kama ni kucheat, bora ucheat kwa kumpata right candidate aliyeweza kukuteka na kuamua kupoteza pride yako sio revenge to a looser.

Toka naww nje ya ndoa angalau mara moja au mara mbili... na ikiwezekana mfanya ajue kabisa.
hii itakusaidia kisaikolojia kujiona huna haki ya kumchukia mmeo kwan nawewe pia umefanya kosaa hilohilo.
Na itajupelekea kua mwepesi kiakili na kusahau yalitotokea

.
 
Back
Top Bottom