mrsleo
JF-Expert Member
- Jan 13, 2014
- 2,588
- 3,886
Noo, umedai kua ukimwacha hutaolewa tena. Sasa swali la kujiuliza Kama uliumia na kusikia wivu kwa mumeo kutembea nje ya ndoa maana yake Uo ni wivu kwa mwanaume, Je ikiwa una wivu kwa mwanaume utaweza ishi bila mwanaume?? HAIWEZEKANI NASEMA TENA HAITAWEZEKANA, na wala hakuna mwanamke mwenye wivu kwa mwanaume hawezae ishi bila mwanaume...Ndipo utakuja kugundua ni rahisi kuongea ila kutekeleza ni ngumu. Kubwa ninalo kushauri dada, kuna kitu Kinaitwa Msamaha katka ndoa ama maisha ya kila siku, wengi hawawezi kusamehe matokeo yake ukaa ni vitu mioyoni mwao vikiwaumiza, amini usiamini wengi wanaojiua ama kupoteza direction kimaisha huteswa na hali ya kutokusamehe na kusahau ivyo ujiruhusu kuishi na maumivu yanayowapelekea kuamua maamuzi mabaya ama yasiyo sahihi yaletayo majuto (Mwisho : Nikuambie tu Wengi waliosema wanaweza kuishi bila kua na mwanaume uishia kuwa mama Huruma na kumpa kila mtu, kama nilivyoeleza kwenye moja ya comment zangu huko juu, wamejawa misongo ya mawazo na matatizo ya Kisaikolojia)
NDOA NJEMA
Kwangu inawezekana tena inawezekana, wambie wanaume wenzio waache uzinzi ndoa zidumu la sivyo ni kuachana tu ndio suluhishi