Sina hamu na mume wangu

Sina hamu na mume wangu

hayo yote hayahusiani na misimamo yangu ya kutotaka kuwa mtumwa kwa mwanaume, ila kwa taarifa tu ndoa yangu ni ya kanisani

Nauliza hivyo ili nikuweke sawa, hayo mawazo ya hao unaosema wana support na kusema "mimi naachana nae" wengi hawana ndoa wala hawajui kwenye ndoa kuna nini tena wala ilo swala halijawahi kuwatokea, ivyo wao uzani ndoa ni kama u boyfrnd na u girlfnd kikitokea hiki ama kile namuacha. Watu wana ndoa wanafamilia (watoto), walifunga ndoa halali na wameshajijenga na mtu kaomba msamaha usifikiri hata siku moja kwamba kuna urahisi wa kuachana, labda useme utaikimbia nyumba yako ila si simple kama mnavyodhani, achana na fikra za hao wenye mawazo ya u boyfrnd na u galfnd ama watu walioingia ndoani jana ambao hawajajijenga na hawana familia mbele wala nyuma. Ndoa ni zaidi ya lile linaloitwa tendo la ndoa pale kitandani, Jaribuni pia kuwaza zaidi ya pale kitandani
 
Nauliza hivyo ili nikuweke sawa, hayo mawazo ya hao unaosema wana support na kusema "mimi naachana nae" wengi hawana ndoa wala hawajui kwenye ndoa kuna nini tena wala ilo swala halijawahi kuwatokea, ivyo wao uzani ndoa ni kama u boyfrnd na u girlfnd kikitokea hiki ama kile namuacha. Watu wana ndoa wanafamilia (watoto), walifunga ndoa halali na wameshajijenga na mtu kaomba msamaha usifikiri hata siku moja kwamba kuna urahisi wa kuachana, labda useme utaikimbia nyumba yako ila si simple kama mnavyodhani, achana na fikra za hao wenye mawazo ya u boyfrnd na u galfnd ama watu walioingia ndoani jana ambao hawajajijenga na hawana familia mbele wala nyuma. Ndoa ni zaidi ya lile linaloitwa tendo la ndoa pale kitandani, Jaribuni pia kuwaza zaidi ya pale kitandani

Kama umeoa mkeo ana tabu sana ila kama bado namuhurumia huyo mtarajiwa
 
Kama umeoa mkeo ana tabu sana ila kama bado namuhurumia huyo mtarajiwa

We nijibu tu hayo maswali ya msingi ili nikuweke sawa,, wala usiwe na hasira za kutaka kushambuliana kwa maneno, humu hatujuani so we should respect each other, na kama hakuna lililo sahihi ktk maelezo yangu likosoe kwa hoja tatizo mabinti wengi huingia kwenye ndoa pasipo kujua ndoa ni nini ila usukumwa na pressure za kuona mtu kaolewa ama rafiki na wakati mwingine kiu yao ya kutaka kuonekana wana share kitanda ki halali na mwanaume
 
We nijibu tu hayo maswali ya msingi ili nikuweke sawa,, wala usiwe na hasira za kutaka kushambuliana kwa maneno, humu hatujuani so we should respect each other, na kama hakuna lililo sahihi ktk maelezo yangu likosoe kwa hoja tatizo mabinti wengi huingia kwenye ndoa pasipo kujua ndoa ni nini ila usukumwa na pressure za kuona mtu kaolewa ama rafiki na wakati mwingine kiu yao ya kutaka kuonekana wana share kitanda ki halali na mwanaume

Nafikiri wanaume wengi ndo hawajui maana ya ndoa wanaoa tu alimradi umri umefika na anahitaji mwanamke ndani wa kumzalia watoto, usitake kuniambia maana ya ndoa kwa mwanamke ni kuvumilia mumeo anapozini nje
 
Nafikiri wanaume wengi ndo hawajui maana ya ndoa wanaoa tu alimradi umri umefika na anahitaji mwanamke ndani wa kumzalia watoto, usitake kuniambia maana ya ndoa kwa mwanamke ni kuvumilia mumeo anapozini nje

Don't get me wrong, soma thread ya mtoa uzi. Alimfunia mwenzie ofisini tena mara moja wakaombana msamaha ila yeye tu amepoteza hamu, mimi si support uzinzi hapa, ila naongea hali halisi ya tukio, jinsi wengi wasivyojua ndoa ni nn?? Sasa ebu nijibu hayo maswali yangu ya msingi hapo juu ili Tuwekane sawa.
 
Unategemeya ww mwanaume akikuluta unagegedwa na basha mwingine atakuvumilia labda sio mwanaume kweli mimi hata njia siongozani na ww tena na ndio kwa heri kwenu utajipeleka mwenyewe sio mm tena
 
Don't get me wrong, soma thread ya mtoa uzi. Alimfunia mwenzie ofisini tena mara moja wakaombana msamaha ila yeye tu amepoteza hamu, mimi si support uzinzi hapa, ila naongea hali halisi ya tukio, jinsi wengi wasivyojua ndoa ni nn?? Sasa ebu nijibu hayo maswali yangu ya msingi hapo juu ili Tuwekane sawa.

Sinimeshakujibu kwamba nimeolewa ndoa ya kanisan
 
Tuna miez 6 tu

Basi ndio maana una haki ya kuongea ulichokisema maana ni changa ivyo vitu haina, bado iyo haijapita katika milima na mabonde zaidi ya fumanizi, ivyo sasa utagundua nilikua sahihi kusema kua wengi wenye jibu ilo ni ndoa changa, ama wale walio kwenye u boyfnd na u galfnd, Okay sasa Ebu tufanye ndoa yako ina miaka mi5 na una watoto na mmeshajijenga sasa umeachana pamoja na kuombwa msamaha, umeenda kuolewa na mume mwengine likatokea kama hili huko Je utaachana tena??
 
Sina mpango wa kuolewa mara ya pili kama hii itanishinda

Sasa uoni kua unajidanganya kama uliweza kujawa wivu na maumivu kwa kuona mumeo kafanya mapenzi na mwanamke mwenzio, huo unaonekana ulikua ni wivu wa kimapenzi yaani ulikua unaumia kwanini unachopewa wewe apewe mtu mwingine..Je unaposema hutaolewa tena utaweza kukaa na kuishi bila mwanaume???na Ule wivu ulitokea wap???Na kwanini ulishindwa kuishi bila mwanaume hapo kabla na ukaolewa na uyo wa kwanza??Mi nadhani sasa utaamini nilivyosema kua haya ni mambo ambayo watu humu uongea sababu hayajawakuta
 
btw uzuri wa mwanamke hata utupu wake ukifa ganzi lile tundu linakuwa lipo palepale,we mpanulie tu tundu lake ahangaike nalo weee huku una-surf jf akimaliza kajisafishe endelea na shughuli zako...overtime hamu yako itarudi tu!ukijifanya kubana kutoa huduma utakuwa unamwaga petrol ktk moto,hutaki kufanya hivyo omba divorce
 
Sasa uoni kua unajidanganya kama uliweza kujawa wivu na maumivu kwa kuona mumeo kafanya mapenzi na mwanamke mwenzio, huo unaonekana ulikua ni wivu wa kimapenzi yaani ulikua unaumia kwanini unachopewa wewe apewe mtu mwingine..Je unaposema hutaolewa tena utaweza kukaa na kuishi bila mwanaume???na Ule wivu ulitokea wap???Na kwanini ulishindwa kuishi bila mwanaume hapo kabla na ukaolewa na uyo wa kwanza??Mi nadhani sasa utaamini nilivyosema kua haya ni mambo ambayo watu humu uongea sababu hayajawakuta

Yani tunaweza kukesha hapa bila muafaka manake sielewi unachokiongea sana sana nabaki kukushanga na kuhis pengine hata ww hunielewi hivyo basi naomba hii topic tuifunge kila mmoja abaki na msimamo wake
 
Yani tunaweza kukesha hapa bila muafaka manake sielewi unachokiongea sana sana nabaki kukushanga na kuhis pengine hata ww hunielewi hivyo basi naomba hii topic tuifunge kila mmoja abaki na msimamo wake

Noo, umedai kua ukimwacha hutaolewa tena. Sasa swali la kujiuliza Kama uliumia na kusikia wivu kwa mumeo kutembea nje ya ndoa maana yake Uo ni wivu kwa mwanaume, Je ikiwa una wivu kwa mwanaume utaweza ishi bila mwanaume?? HAIWEZEKANI NASEMA TENA HAITAWEZEKANA, na wala hakuna mwanamke mwenye wivu kwa mwanaume hawezae ishi bila mwanaume...Ndipo utakuja kugundua ni rahisi kuongea ila kutekeleza ni ngumu. Kubwa ninalo kushauri dada, kuna kitu Kinaitwa Msamaha katka ndoa ama maisha ya kila siku, wengi hawawezi kusamehe matokeo yake ukaa ni vitu mioyoni mwao vikiwaumiza, amini usiamini wengi wanaojiua ama kupoteza direction kimaisha huteswa na hali ya kutokusamehe na kusahau ivyo ujiruhusu kuishi na maumivu yanayowapelekea kuamua maamuzi mabaya ama yasiyo sahihi yaletayo majuto (Mwisho : Nikuambie tu Wengi waliosema wanaweza kuishi bila kua na mwanaume uishia kuwa mama Huruma na kumpa kila mtu, kama nilivyoeleza kwenye moja ya comment zangu huko juu, wamejawa misongo ya mawazo na matatizo ya Kisaikolojia)
NDOA NJEMA
 
Yani tunaweza kukesha hapa bila muafaka manake sielewi unachokiongea sana sana nabaki kukushanga na kuhis pengine hata ww hunielewi hivyo basi naomba hii topic tuifunge kila mmoja abaki na msimamo wake

Acha ubishi mr wise anachoongea kina ukweli sana tu...ngoja ukae at least two yrs ndo utamkubali.
Kila la kheri...
 
Last edited by a moderator:
Mkuu mr.wise you have spoken well...nimefuatilia majibu yako kwa kina.
QUOTE=Mr. Wise;8954191][COLOR=#0000ff[SIZE=3]Noo, umedai kua ukimwacha hutaolewa tena. Sasa swali la kujiuliza Kama uliumia na kusikia wivu kwa mumeo kutembea nje ya ndoa maana yake Uo ni wivu kwa mwanaume, Je ikiwa una wivu kwa mwanaume utaweza ishi bila mwanaume?? HAIWEZEKANI NASEMA TENA HAITAWEZEKANA, na wala hakuna mwanamke mwenye wivu kwa mwanaume hawezae ishi bila mwanaume...Ndipo utakuja kugundua ni rahisi kuongea ila kutekeleza ni ngumu. Kubwa ninalo kushauri dada, kuna kitu Kinaitwa Msamaha katka ndoa ama maisha ya kila siku, wengi hawawezi kusamehe matokeo yake ukaa ni vitu mioyoni mwao vikiwaumiza, amini usiamini wengi wanaojiua ama kupoteza direction kimaisha huteswa na hali ya kutokusamehe na kusahau ivyo ujiruhusu kuishi na maumivu yanayowapelekea kuamua maamuzi mabaya ama yasiyo sahihi yaletayo majuto (Mwisho : Nikuambie tu Wengi waliosema wanaweza kuishi bila kua na mwanaume uishia kuwa mama Huruma na kumpa kila mtu, kama nilivyoeleza kwenye moja ya comment zangu huko juu, wamejawa misongo ya mawazo na matatizo ya Kisaikolojia)[/SIZE][/COLOR]
NDOA NJEMA[/QUOTE]
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom