Mr. Wise
JF-Expert Member
- Jul 23, 2012
- 7,733
- 6,469
hayo yote hayahusiani na misimamo yangu ya kutotaka kuwa mtumwa kwa mwanaume, ila kwa taarifa tu ndoa yangu ni ya kanisani
Nauliza hivyo ili nikuweke sawa, hayo mawazo ya hao unaosema wana support na kusema "mimi naachana nae" wengi hawana ndoa wala hawajui kwenye ndoa kuna nini tena wala ilo swala halijawahi kuwatokea, ivyo wao uzani ndoa ni kama u boyfrnd na u girlfnd kikitokea hiki ama kile namuacha. Watu wana ndoa wanafamilia (watoto), walifunga ndoa halali na wameshajijenga na mtu kaomba msamaha usifikiri hata siku moja kwamba kuna urahisi wa kuachana, labda useme utaikimbia nyumba yako ila si simple kama mnavyodhani, achana na fikra za hao wenye mawazo ya u boyfrnd na u galfnd ama watu walioingia ndoani jana ambao hawajajijenga na hawana familia mbele wala nyuma. Ndoa ni zaidi ya lile linaloitwa tendo la ndoa pale kitandani, Jaribuni pia kuwaza zaidi ya pale kitandani