Sina hamu na mume wangu

Sina hamu na mume wangu

Kudadaaadeki, hapo tatizo ni hyo scene jamaa kamuinamisha mtu anampa mambo, halafu wewe unaleta sapraiz ya birthday. Kusahau ni ngumu sana ni bora kama ungemkuta gesti hvi.

Kama vipi mtose tu.
 
Alirudi nyumbani siku hiyo, akakuomba radhi mpaka ukamsamehe, ila kusahau imekuwa shida. Sawa, lakini, kama upo hapo kwake mpaka leo ina maana unamzuia secretari asiingie home au?
Badala ya kumtesa na huku watoto wanaendelea kukua bila mdogo wao, ungemuuliza kilichomfanya hata akatoka nje. Kama sababu ni kwako ujirekebishe mambo yaendelee sio kukaa hapo kwake na kumzibia uhuru.
Huko ni kumnyanyasa kimapenzi kama adhabu. Kumbuka heshima aliokuwa nayo kwako, aliogopa kulipeleka guest usijesikia, kuna heshima ka hiyo? We unapeleka keki ofisini kwake, je angepandwa na hayo mashetani yake ungempa hapo ofisini? Usimnyanyase mtu wa watu, mpe haki yake hata kama utafanya kama dawa, jali wanao zaidi, tafuta amani si mfarakano unao utamani
 
Mbona mmenikalia kooni jaman kha kila mtu yuko huru kusimamia anapoona pana mfaa, nami ntasimamia hapo hapo nilipo

Hao wamekukalia kooni cz huo msimamo wako unawachoma.ujue ndoa nyingi skuhiz majanga,na hii Mimi naona tunaiendekeza wanawake wenyewe!!..tumewaharalishia as if ni kitu normal,,this is madness..mrsleo be happy..men are who we are..kama una huo msimamo am sure you are smart enough kumjua akifanya ushenz..so my dear usiwaskilze hao wanajitahidi kuambukiza msiba wao uwe Wa wengi..si unajua msiba Wa wengi harusi?..mwanaume Wa kwako kama anakupenda atakulinda..and hii includes kuwa mwaminifu.mwanaume asiye mwaminifu ana kuexpose kwenye maradhi ata yasiyotibka,presha za kila kukicha unapungza life span yako bure,pia hao vimada sio wajnga wakubali kuwa vimada milele.mwanaume anapokuwa na wanawake nje ajue wazi anamtangazia mkewe uadui na hao michepuko tna anawapa nyufa ya kupitia kuiangamiza familia yako ..mke,watoto,etc ilimradi tuu wao watake over!!sa jamani ata kama wenzangu mna mioyo gani hawajali je hizi risks mna afford vipi kuzi take?unakubali kujiangamiza wewe na familia kisa mwanaume ?mwanaume asiekuthamini ana thamani kwako kuliko watoto wako?God for bid eboo Nina eleven years kwenye ndoa..na ninathubutu kusema sichekei uzinzi ..yote ntavumilia sio uzinzi tna hzo surprise ndo zangu haswaa...!!na sjawah kuwa disappointed..eti uogope surprise Kwa kuogopa kufumania?sa utamjuaje?au ndo unamjua hutaki kushuhudia ?whom are you fooling ?guys cmon!!ebu tufkirie logically jamani...enjoy ndoa yako my dear and trust me am your type... wanawake type yako Tupo and we rarely end up being dis appointed..so rare ofcz ceteris peribus!!!!...
 
Hao wamekukalia kooni cz huo msimamo wako unawachoma.ujue ndoa nyingi skuhiz majanga,na hii Mimi naona tunaiendekeza wanawake wenyewe!!..tumewaharalishia as if ni kitu normal,,this is madness..mrsleo be happy..men are who we are..kama una huo msimamo am sure you are smart enough kumjua akifanya ushenz..so my dear usiwaskilze hao wanajitahidi kuambukiza msiba wao uwe Wa wengi..si unajua msiba Wa wengi harusi?..mwanaume Wa kwako kama anakupenda atakulinda..and hii includes kuwa mwaminifu.mwanaume asiye mwaminifu ana kuexpose kwenye maradhi ata yasiyotibka,presha za kila kukicha unapungza life span yako bure,pia hao vimada sio wajnga wakubali kuwa vimada milele.mwanaume anapokuwa na wanawake nje ajue wazi anamtangazia mkewe uadui na hao michepuko tna anawapa nyufa ya kupitia kuiangamiza familia yako ..mke,watoto,etc ilimradi tuu wao watake over!!sa jamani ata kama wenzangu mna mioyo gani hawajali je hizi risks mna afford vipi kuzi take?unakubali kujiangamiza wewe na familia kisa mwanaume ?mwanaume asiekuthamini ana thamani kwako kuliko watoto wako?God for bid eboo Nina eleven years kwenye ndoa..na ninathubutu kusema sichekei uzinzi ..yote ntavumilia sio uzinzi tna hzo surprise ndo zangu haswaa...!!na sjawah kuwa disappointed..eti uogope surprise Kwa kuogopa kufumania?sa utamjuaje?au ndo unamjua hutaki kushuhudia ?whom are you fooling ?guys cmon!!ebu tufkirie logically jamani...enjoy ndoa yako my dear and trust me am your type... wanawake type yako Tupo and we rarely end up being dis appointed..so rare ofcz ceteris peribus!!!!...

Nimekupenda sana dada yangu ubarikiwe nazan ww watakuelewa manake wanaume wa humu mimi wamentoleaje macho kisa nna msimamo
 
Hao wamekukalia kooni cz huo msimamo wako unawachoma.ujue ndoa nyingi skuhiz majanga,na hii Mimi naona tunaiendekeza wanawake wenyewe!!..tumewaharalishia as if ni kitu normal,,this is madness..mrsleo be happy..men are who we are..kama una huo msimamo am sure you are smart enough kumjua akifanya ushenz..so my dear usiwaskilze hao wanajitahidi kuambukiza msiba wao uwe Wa wengi..si unajua msiba Wa wengi harusi?..mwanaume Wa kwako kama anakupenda atakulinda..and hii includes kuwa mwaminifu.mwanaume asiye mwaminifu ana kuexpose kwenye maradhi ata yasiyotibka,presha za kila kukicha unapungza life span yako bure,pia hao vimada sio wajnga wakubali kuwa vimada milele.mwanaume anapokuwa na wanawake nje ajue wazi anamtangazia mkewe uadui na hao michepuko tna anawapa nyufa ya kupitia kuiangamiza familia yako ..mke,watoto,etc ilimradi tuu wao watake over!!sa jamani ata kama wenzangu mna mioyo gani hawajali je hizi risks mna afford vipi kuzi take?unakubali kujiangamiza wewe na familia kisa mwanaume ?mwanaume asiekuthamini ana thamani kwako kuliko watoto wako?God for bid eboo Nina eleven years kwenye ndoa..na ninathubutu kusema sichekei uzinzi ..yote ntavumilia sio uzinzi tna hzo surprise ndo zangu haswaa...!!na sjawah kuwa disappointed..eti uogope surprise Kwa kuogopa kufumania?sa utamjuaje?au ndo unamjua hutaki kushuhudia ?whom are you fooling ?guys cmon!!ebu tufkirie logically jamani...enjoy ndoa yako my dear and trust me am your type... wanawake type yako Tupo and we rarely end up being dis appointed..so rare ofcz ceteris peribus!!!!...

Hii msg natamani sana waipate kina Gwamahala na Mr. Wise
 
Hii msg natamani sana waipate kina Gwamahala na Mr. Wise

Mpendwa mrsleo you better pray not to fall in that issue, am telling u!!mwambie anaye ku support asome huo uzi vizuri kisha ajibu kulingana na uzi, majibu yake mazuri ila hayahusiani na Uzi. Mwisho ajibu maswali uliyoshinda kuyajibu.
 
Hao wamekukalia kooni cz huo msimamo wako unawachoma.ujue ndoa nyingi skuhiz majanga,na hii Mimi naona tunaiendekeza wanawake wenyewe!!..tumewaharalishia as if ni kitu normal,,this is madness..mrsleo be happy..men are who we are..kama una huo msimamo am sure you are smart enough kumjua akifanya ushenz..so my dear usiwaskilze hao wanajitahidi kuambukiza msiba wao uwe Wa wengi..si unajua msiba Wa wengi harusi?..mwanaume Wa kwako kama anakupenda atakulinda..and hii includes kuwa mwaminifu.mwanaume asiye mwaminifu ana kuexpose kwenye maradhi ata yasiyotibka,presha za kila kukicha unapungza life span yako bure,pia hao vimada sio wajnga wakubali kuwa vimada milele.mwanaume anapokuwa na wanawake nje ajue wazi anamtangazia mkewe uadui na hao michepuko tna anawapa nyufa ya kupitia kuiangamiza familia yako ..mke,watoto,etc ilimradi tuu wao watake over!!sa jamani ata kama wenzangu mna mioyo gani hawajali je hizi risks mna afford vipi kuzi take?unakubali kujiangamiza wewe na familia kisa mwanaume ?mwanaume asiekuthamini ana thamani kwako kuliko watoto wako?God for bid eboo Nina eleven years kwenye ndoa..na ninathubutu kusema sichekei uzinzi ..yote ntavumilia sio uzinzi tna hzo surprise ndo zangu haswaa...!!na sjawah kuwa disappointed..eti uogope surprise Kwa kuogopa kufumania?sa utamjuaje?au ndo unamjua hutaki kushuhudia ?whom are you fooling ?guys cmon!!ebu tufkirie logically jamani...enjoy ndoa yako my dear and trust me am your type... wanawake type yako Tupo and we rarely end up being dis appointed..so rare ofcz ceteris peribus!!!!...

Mawazo yako ni mazuri tena yana ukweli, ila Je uliusoma uzi kwanza??point nyingi umeongea ni za kweli ila nje ya uzi.
 
Duu asee huu uzi ni balaaa..unaenda kumfanyia suprise nawe unakutana na bonge la suprise...ndio maana huwa sitaji hayo ma suprise..duuuu!!!! Suprise ndani ya suprise
 
Ukome kwenda ofisi za watu! Birthday mambo ya kizungu unaleta bongo? Uamuzi unao ww kama unamuacha achana nae km unaendelea nae vua chupi endeleza chama unabana ss kumbuka ameweza kukusaliti ukimpa yote ss unabana ndo atachepuka vizuri
 
Mirembe hospital kuna kitengo cha ushauri nasaha kwa watu wenye majanga km wewe kabla hamjawa completely insane
 
Mh; kama ni kweli pole sana Nakshi, jitahidi sana kusahau kama bado unaithamini ndoa yako, vinginevyo usiache kumtembelea mmueo ila ss iwe kwa tahadhali ya kuepuka kuumizwa tena na hivyo umtaarifu ukiwa unaenda kwake badala ya surprise!
 
Power iko moyoni, wala si kwa sex organs; na maumivu yapo huko huko kwa moyo. Ndio maana waweza sex na mtu usomfeel na hata ukisikia yuko na mtu mwingine usiumie. Lkn mtu ulompenda na uliyemuamini, it hurts more than death itself.

ni kweli, unakuwa katikati ya kifo na mauti..kwa hakika uchungu wa kuchitiwa huwezi kuujua kama hayajakufika..ni hali ambayo hailezeki, yaani sijui nisemeje..kwa yaliyowafika kama mimi nafikiri wananielewa...najua mleta mada anayopitia..ni ngumu sana
 
Pole ila hapo uamuzi ni wako na kuna maamuzi mawili tu.
Kumsamehe na kusahau muendeleze ndoa na kulea watoto.
Ama kuendelea kutosamehe na ufungashe vyako uondoke na watoto wako basi.
 
duuuuuuh, hadi nmeogopa kuolewa jmn, pole mumy, but samehe mara 7 70, hyo kusahau inabidi ujitoe ufahamu kidogo unless utamuona ni kaka yako kwa kitu kama mwaka hivi.
kudadeki wanaumeee.. jamaa biiize anakula birthday sex huku mke analeta b.day cake. :A S 13::A S 13::A S 13::A S 13::A S 13:
 
Kaunga, wanaume kufanya hvyo ni kawaida sanah, but make sure hukamatwi wala humuonyeshi mpenzio kwamba unamega nje. :A S-frusty2:
 
Last edited by a moderator:
Mh; kama ni kweli pole sana Nakshi, jitahidi sana kusahau kama bado unaithamini ndoa yako, vinginevyo usiache kumtembelea mmueo ila ss iwe kwa tahadhali ya kuepuka kuumizwa tena na hivyo umtaarifu ukiwa unaenda kwake badala ya surprise!

na kweli maana suprise zingine mtu huishia kujisuprise mwenyeweee badala ya kumsuprise the supruisee:loco:
 
Back
Top Bottom