miss chagga
JF-Expert Member
- Jun 7, 2013
- 57,805
- 49,104
amna shida mkuu roho yako utabaki nayo tu usijaliapo kwenye reeed apo....mmmmh wa machame ndo napo waheshimu..nifilisi sawa ila roho yangu niachie:biggrin1:
amna shida mkuu roho yako utabaki nayo tu usijaliapo kwenye reeed apo....mmmmh wa machame ndo napo waheshimu..nifilisi sawa ila roho yangu niachie:biggrin1:
kweli?nipe andiko
Utaacha wanaume wangapi sasa mpaka umpate huyo MALAIKA?
amna shida mkuu roho yako utabaki nayo tu usijali
Sina mbavu mkuu!nimecheka ndani ya dala dalaPole sana......wewe umepeleka keki mwenzio katoa kitumbua! Jamaa aliikumbuka birthday yake kiaina!
Na kweli hujakomaa ktk ndoa hakuna mwanaume asiyechepuka!wapo ambao mpaka wanaletewa watoto wadogo kuliko wakwako wa kuzaa mwanaume nje wanaambiwa bahati mbaya na maisha yanasonga.Utaondokaje kwako?Kwani kuwa na mume lazima jaman? Yakikushinda siunatoka tu unakaa mwenywe, mm nimeolewa lakn cku yakinishinda ndo basi tena ntaishi mwenywe maisha yangu yaliyobak
Adhabu yake ndogo sana unarudi nyumbani unakata keki unainjoy na watoto simuulizi wala sitaki samahani yake naendelea na majukumu yote kama mke. Sitakaa nimuulize namwacha na linafsi lake limsute akisubiria nimuulize nakuhakikishia ataumia kuliko ukimuuliza na kumgombeza.
Hii ni typical Ubinafsi,
Hajaumbwa na nani mkuu?
Usilopenda kutendewa usimtendee mwenzio.
mmmmh, lets hope so...maana naskia usipo mtoa roho yan picha ya kusalitiwa itakusumbua milele////hehehe adi ufanye what you do best:wink2:
Ngumu aisee umemuona hivi kabisa halafu nimwangalie tu na kuendelea na majukum kama mke??????!!!!!!
U cant be seriouz me hata chumba nahama au nilale chini na huduma ya xhumban ndo asahau
apo kwenye reeed apo....mmmmh wa machame ndo napo waheshimu..nifilisi sawa ila roho yangu niachie:biggrin1:
Mi simtendei ubaya. Necha inaniruhusu. Yeye inamkataza.
Unamkomoa nani. Ukimnyima nyumbani anakula kitumbua ofisini. Kazi ni kwako.
Msamehe Na muombee kwa muumba amsamehe pia!kwn ni shetani alimpitia tu!ila fikilia sababu gani ilimfanya akatoka nje ya ndoa,isijekuwa wewe ndo chanzo cha tatizo hilo.Na usipompa K ujue unampa chance secretary kumalizia Kitandani kabisaaaaaa!pole sana Lakini.Nimeolewa na nina watoto 2, mimi ni muajiriwa na mume wangu pia muajiriwa serikalini.
Siku moja ilikuwa birthday ya mume wangu but alisahau ikabidi nimfanyie suprise kumpelekea zawadi ikiwemo keki ofisini kwake wakati wa lunch time, kufika ofisini kwake secretary wake sikumkuta ila nilihisi mume wangu yupo ofisini; me moja kwa moja kufungua mlango kwa shangwe zote nikichokikuta humo ndicho kinachoniumiza mpaka leo! Mume wangu amemuinamisha secretary wake waki-have sex, kesi ilikuwa kubwa but nikajitahidi kumsamehe ila tatizo sina hamu ya kufanya nae mapenzi tena sababu ile picha iko ndani ya ubongo wangu; yaani K yangu imekufa ganzi kabisaaa katika swala la sex.
Nifanyeje jamani?
Na kweli hujakomaa ktk ndoa hakuna mwanaume asiyechepuka!wapo ambao mpaka wanaletewa watoto wadogo kuliko wakwako wa kuzaa mwanaume nje wanaambiwa bahati mbaya na maisha yanasonga.Utaondokaje kwako?
wewe sasa basi tena mkuu naona unataka kunijua kiundani zaidi