Sina hamu na mume wangu

Sina hamu na mume wangu

Pole sana, personally when i have been wronged, a poor memory is usually my best response, Jaribu it might help u also. Its tough ila time can be a good healer.
 
Kwani kuwa na mume lazima jaman? Yakikushinda siunatoka tu unakaa mwenywe, mm nimeolewa lakn cku yakinishinda ndo basi tena ntaishi mwenywe maisha yangu yaliyobak
Na kweli hujakomaa ktk ndoa hakuna mwanaume asiyechepuka!wapo ambao mpaka wanaletewa watoto wadogo kuliko wakwako wa kuzaa mwanaume nje wanaambiwa bahati mbaya na maisha yanasonga.Utaondokaje kwako?
 
Adhabu yake ndogo sana unarudi nyumbani unakata keki unainjoy na watoto simuulizi wala sitaki samahani yake naendelea na majukumu yote kama mke. Sitakaa nimuulize namwacha na linafsi lake limsute akisubiria nimuulize nakuhakikishia ataumia kuliko ukimuuliza na kumgombeza.

Ngumu aisee umemuona hivi kabisa halafu nimwangalie tu na kuendelea na majukum kama mke??????!!!!!!
U cant be seriouz me hata chumba nahama au nilale chini na huduma ya xhumban ndo asahau
 
Ngumu aisee umemuona hivi kabisa halafu nimwangalie tu na kuendelea na majukum kama mke??????!!!!!!
U cant be seriouz me hata chumba nahama au nilale chini na huduma ya xhumban ndo asahau

Unamkomoa nani. Ukimnyima nyumbani anakula kitumbua ofisini. Kazi ni kwako.
 
"TO FORVIGE IS TO SET THE PRISONER FREE, THE PRISONER IS YOU" Albert Einsten.
 
Kufilisi inategemea sana, kama humpendi sana mtu kumfilisi inalipa. Ila kama umeumizwa, hata pole ya kitu chochote huitaki.


Niliwahi kosewa, nikapewa kitu hivi, nilikikataa asilani. Saa hivi ndio huwa najuta kwa nini sikukibeba. Kwa muda ule hakikuwa na thamani kabisa.

apo kwenye reeed apo....mmmmh wa machame ndo napo waheshimu..nifilisi sawa ila roho yangu niachie:biggrin1:
 
Ha ha ha ha, eti necha, khah!

Ila nyie viumbe watata, afu siku hizi nimekuwa sensitive kweli na kuibiwa, sijui nazeeka.

Mi simtendei ubaya. Necha inaniruhusu. Yeye inamkataza.
 
uza mtoto, hujui labda huyo ndio festi lavu wake, kumwambia atakula kitufu ofisini ni kumnyima sana raha.

Unamkomoa nani. Ukimnyima nyumbani anakula kitumbua ofisini. Kazi ni kwako.
 
Nimeolewa na nina watoto 2, mimi ni muajiriwa na mume wangu pia muajiriwa serikalini.

Siku moja ilikuwa birthday ya mume wangu but alisahau ikabidi nimfanyie suprise kumpelekea zawadi ikiwemo keki ofisini kwake wakati wa lunch time, kufika ofisini kwake secretary wake sikumkuta ila nilihisi mume wangu yupo ofisini; me moja kwa moja kufungua mlango kwa shangwe zote nikichokikuta humo ndicho kinachoniumiza mpaka leo! Mume wangu amemuinamisha secretary wake waki-have sex, kesi ilikuwa kubwa but nikajitahidi kumsamehe ila tatizo sina hamu ya kufanya nae mapenzi tena sababu ile picha iko ndani ya ubongo wangu; yaani K yangu imekufa ganzi kabisaaa katika swala la sex.

Nifanyeje jamani?
Msamehe Na muombee kwa muumba amsamehe pia!kwn ni shetani alimpitia tu!ila fikilia sababu gani ilimfanya akatoka nje ya ndoa,isijekuwa wewe ndo chanzo cha tatizo hilo.Na usipompa K ujue unampa chance secretary kumalizia Kitandani kabisaaaaaa!pole sana Lakini.
 
Na kweli hujakomaa ktk ndoa hakuna mwanaume asiyechepuka!wapo ambao mpaka wanaletewa watoto wadogo kuliko wakwako wa kuzaa mwanaume nje wanaambiwa bahati mbaya na maisha yanasonga.Utaondokaje kwako?

Wasiochepuka wapo ingawa wachache na hilo swala la uvumilivu lina kikomo mana mtu akifikia kukuletea watoto nyumbani hizo dharau zimevuka mipaka unaamua kuondoka zako tu labda kama umemfanya huyo mume ndio mwokozi wako huna maisha bila yeye familia nzima inawangalia dada kaolewa
 
Back
Top Bottom