Antonio de Guzman
JF-Expert Member
- Jun 20, 2016
- 7,943
- 15,678
Unaringia kitumbua na mi nina bonge la muwa. Pale kati patamu
Kwani wewe huna mchepuko hapo ulipo, manake nionavyo mwanamke kukaa miaka minne bila mchepuko ni sawa na karne ?Na mimi ninaogopa kumuudhi, niko mwangalifu sana nikiongea nae.
jitihada gani umefanya yeye kufunguka?Hajawahi kunisimulia habari ya girl friend, wala hajanitongoza ni mwaka wa nne huu.
Simuelewi huyu rafiki yangu nisaidieni ndugu zangu.
After four years!!,bado kuna urafiki wa mashaka?..are you really that close?Na mimi ninaogopa kumuudhi, niko mwangalifu sana nikiongea nae.
sijui kama hiyo ni nukuu ama uliitafsiri hivyo,Yaani ulishindwa hata kuhoji alikuwa na maana gani..?Ni mlokole, inamaana haamini ngono kabla ya ndoa especially kwa mtu anaedhamiria kabisa kuwa nae. Pili kuna wakati aliniambia urafiki wetu umekuwa deep sana kiasi ambacho asingependa uvunjike.
mahusiano yapo,ila so far ni ya ''Urafiki wa Kawaida''Asante sana kwa ushauri huu, miaka minne ni mingi, na kanisani hata nisipotokea wazee wa kanisa wanamuuliza yuko wapi mwenzako? Watu wengi hawaamini kuwa hatuna mahasiano.
kama kweli ana characters za U''gentleman'' kwa nini unasita mwaka wa nne huu kumfungukia,Nadhani hujajiandaa for a ''NO'' as an answer.He is a good looking guy with a gentleman's behaviour.
Kwa hiyo Eclat una miaka minne bila kuloweshwa???
wanaosoma between the lines washaelewaKwakweli hapa jibu sina.
Kwahiyo na ww miaka yote hio minne, hujaBANJUKA??!!.. Mbona kama mapicha pichaAsante sana kwa ushauri huu, miaka minne ni mingi, na kanisani hata nisipotokea wazee wa kanisa wanamuuliza yuko wapi mwenzako? Watu wengi hawaamini kuwa hatuna mahasiano.
Umeeleweka sana Eclat, mtu mzima anaelewa. Mguu nje-ndani!Kwakweli hapa jibu sina.
Hahahahahah...................................Siku nyingine mkikutana muulize kama amepata maono au la,maana kama ni mlokole atakuwa anasubiri maono au aoteshwe
Usiharibu mambo kwa dhana usio na yakini nayo. Kuwa rafiki mwema kwake, hata kama ni miaka 100 kama alipaswa kuwa wako atakuwa wako. Kwa sasa enjoy vihot pot na msosi ila siku akifunguka rasmi jitayarishe na ligwaride la ngunga ya miaka 4 maana anajitunza kwa ajili yako.Ninaogopa nikimueleza inaweza kuvunja urafiki wetu, jamaa ni mlokole, pili si elewi kama ndiye yeye niliyeletewa jamani mwaka wa nne huu sijui tunaelekea wapi. Pia hua ananipikia chakula nikiwa nimechoka, analeta kwenye hot pot.
Asante mkuu😛Usiharibu mambo kwa dhana usio na yakini nayo. Kuwa rafiki mwema kwake, hata kama ni miaka 100 kama alipaswa kuwa wako atakuwa wako. Kwa sasa enjoy vihot pot na msosi ila siku akifunguka rasmi jitayarishe na ligwaride la ngunga ya miaka 4 maana anajitunza kwa ajili yako.
hujaolewa bado kumbe?Ninaogopa nikimueleza inaweza kuvunja urafiki wetu, jamaa ni mlokole, pili si elewi kama ndiye yeye niliyeletewa jamani mwaka wa nne huu sijui tunaelekea wapi. Pia hua ananipikia chakula nikiwa nimechoka, analeta kwenye hot pot.
yesu na maria unabahatiNinaogopa nikimueleza inaweza kuvunja urafiki wetu, jamaa ni mlokole, pili si elewi kama ndiye yeye niliyeletewa jamani mwaka wa nne huu sijui tunaelekea wapi. Pia hua ananipikia chakula nikiwa nimechoka, analeta kwenye hot pot.
mtongoze huyo,,Ninaogopa nikimueleza inaweza kuvunja urafiki wetu, jamaa ni mlokole, pili si elewi kama ndiye yeye niliyeletewa jamani mwaka wa nne huu sijui tunaelekea wapi. Pia hua ananipikia chakula nikiwa nimechoka, analeta kwenye hot pot.
mtongoze huyo,,Ninaogopa nikimueleza inaweza kuvunja urafiki wetu, jamaa ni mlokole, pili si elewi kama ndiye yeye niliyeletewa jamani mwaka wa nne huu sijui tunaelekea wapi. Pia hua ananipikia chakula nikiwa nimechoka, analeta kwenye hot pot.