Simwelewi rafiki yangu anataka nini kwangu

Simwelewi rafiki yangu anataka nini kwangu

Ningeelewa kama ingekuwa company tu, sasa na mambo ya kuniwekea pesa kwenye bahasha nayo ni company?
Haina shida wee nenda nae mdogo mdogo tuu. Ameamua kwenda london kwa mguu huyo wengine wanaendaga kwa ndege na wanafika ndani ya siku moja.
 
Endelea kumsubiri apate ufunuo...ndani ya miaka sita inayokuja kukamilisha kumi ya urafiki wenu wa kalamu anaweza kuwa kapata maono tayari, by the way usiache ku practice ili isizibe!
 
Watu wengine wanausingizia tu ulokole! Kwani walokole hawatongozi? Wanapataje wake? We muulize tu. Sio lazima uwe direct bwana. Kua mbunifu. Utakuja shangaa anakupa kadi ya harusi!
Ur very right.
 
Sky Eclat tena, nawe unakuwa na visa balaa. At your age, (if at all ule ndio umri wako) you need not to waste more time. Walokole nao wapo complicated sana kwenye mahusiano.
 
miaka 4..... but you date with someone? mbali ya mlokole....jibu hayo nikushauri....
 
Sky Eclat tena, nawe unakuwa na visa balaa. At your age, (if at all ule ndio umri wako) you need not to waste more time. Walokole nao wapo complicated sana kwenye mahusiano.
Kwakweli kusubiri miaka minne ninaisoma namba.
 
rafiki mzuri sana huyo, one in a million loloest
lin, nawe wataka bf ambaye hatangazi ndoa wala kuomba mchezo? Huoni huyo atakupa headache? I like a direct approach when it comes to urafiki bwana!!
 
Hivi amjawai kukaa na kuongelea malengo yenu. Mfano yeye kukuambia anataka kuoa akiwa na umri gani au mwaka upi, na wewe kumueleza malengo yako? Ni vizuri km marafiki kushirikishana malengo na wote kujua kesho yenu.
 
Hivi amjawai kukaa na kuongelea malengo yenu. Mfano yeye kukuambia anataka kuoa akiwa na umri gani au mwaka upi, na wewe kumueleza malengo yako? Ni vizuri km marafiki kushirikishana malengo na wote kujua kesho yenu.
Ananipikia vyakula wanavyokula sehemu anayotoka, na siku za kwanza alikuwa anapenda nile anione kama nimependa, mengine alikua anasoma amemaliza mwaka jana, ninajua anajenga nyumba kwani alipo amepanga.
 
Ananipikia vyakula wanavyokula sehemu anayotoka, na siku za kwanza alikuwa anapenda nile anione kama nimependa, mengine alikua anasoma amemaliza mwaka jana, ninajua anajenga nyumba kwani alipo amepanga.

Je mipango ya mbeleni kakushirikisha? Kama ajakushirikisha jiongeze tu hapo amna kitu.
 
Subiri siku ajue una mahusiano na mtu ndio utajua nia yake kwako. Kama hisia zako zinakuonyesha atakufaa ni rahisi kabisa. Make him talk!
 
Back
Top Bottom