dronedrake
JF-Expert Member
- Dec 25, 2013
- 23,220
- 54,877
mods warudishe uzi wa Unyago 1 na Unyago 2, una madini sana
leta tafsiri kutoka katika kamusi tusibishane sanaSiyo kweli
Buguruni Tabata ni pale Mandela kwenye gereji nyingi kwa watu wa pande zile wamezoea kupaita hivyo.Mzee ushavuta ugoro? Buguruni Tabata ndio wapi?
Hapo utakamata wajinga wenzio wengi sana.Episode 1: Introduction.
Hii episode ya mwanzo itakua zaidi ni utangulizi (introduction) ya kujua watu na maana ya maneno yaliotumika. Tutajitahidi ziwe ni posts fupi fupi ili isiwe tabu kwa wasomaji.
Hivi ni visa vinavyotokana na matukio ya ukweli kwa kiwango kikubwa. Tutatiriririka navyo hapa visa na mikasa vya umalaya na ukahaba unaofanyika kwenye nyumba za kishua zinazojulikana kama geti kali kwa njia ya episodes zitazotokana na muhusika anaeongelewa. Kwenye hii episode ya kwanza tutaanza na familia ya kishua kabisa, ya Mama na Baba Nisha, kwa kiwango kikubwa episode hii itawahusu familia ya Mama na Baba Nisha na ndugu, jamaa, marafiki na watu wao wanaowazunguka kwa karibu kabisa.
Visa na mikasa mingi ya umalaya na ukahaba, huhusisha familia za walala hoi, lakini visa hivi vitavyofatia, vitajikita katika famiali a zinazojiweza kimali na kifedha, au kwa ufupi "familia za kishua" pia zinajulikana kama geti kali.
Kwanza kabisa tuelewe maana ya malaya na maana ya kahaba.
Malaya
Malaya ni mtu anaependa ngono, awe ni mwanamke au mwanamme, mradi anapenda ngono basi huyo ni malaya. Kwa asilimia kubwa umalaya unahusishwa kwa wanawake tu, lakini ukweli ni kua hata wanaume baadhi yao huwa ni malaya tu.
Umalaya hutokana na mengi, lakini zaidi hutokana na maisha zinavyoishi familia ndizo huchochea umalaya
Malaya huwa hajiuzi kufanya au ngono kwa ajili ya pesa au kipato. Yeye ni mpenda ngono, ambae hatosheki kwa ngono, yupo tayari kufanya ngono na yeyote, awe ndani ya familia au nje ya familia, awe wa jinsia yake au nyingine, mradi yeye akidhi kiu yake ya ngono tu.
Kahaba
Kahaba ni mtu anaejiuza mwili wake ili ajiingizie kipato au apate anachokitaka, si lazima awe na shida ya pesa, pengine anashida ya kutaka kitu fulani kifanyike, basi atafanya ulaghai kutumia maumbile yake ili afanikishe lake. Hajali kabisa kujiuza ili yake yaende.
Hizo ndio maana za malaya, umalaya na kahaba au ukahaba zilivyotumika kwenye visa hivi.
Kwa maana hizo kwenye kisa hiki tutaona kua, malaya na makhaba si lazima wawe hawajiwezi. Binafsi naamini, Umalaya na Ukahaba mkubwa zaidi hufanyika kwenye familia za kishua kuliko familia za kawaida, za walala hoi.
itaendelea.
Upande upi Mandela ni Road Mzee mboni unamix mitungi? Onyesha kituoBuguruni Tabata ni pale Mandela kwenye gereji nyingi kwa watu wa pande zile wamezoea kupaita hivyo.
SawaUliza wenyeji.
Ukitoka kituo cha Tabata relini kuelekea Buguruni kinafuata kituo cha Matumbi baada ya matumbi kinafuata kituo gani?Upande upi Mandela ni Road Mzee mboni unamix mitungi? Onyesha kituo
Hakuna kituo pale mpaka Sheli tena pale Sheli ni just in case Ila kituo ni Buguruni pale mataa kwa mbele kabla ya kufika Tazara au Bharesa Ila km unaelekea mnazi kituo ni kule sokoni sasa hio Buguruni Tabata ndio ipi yaan lile ombwe pale kati ndio mnaita Buguruni Tabata?Ukitoka kituo cha Tabata relini kuelekea Buguruni kinafuata kituo cha Matumbi baada ya matumbi kinafuata kituo gani?
Mi nilishawahi kusikia na hii si mara ya kwanza especailly yale maeneo ilipo Access Bank upande wa kushoto kuelekea BuguruniHakuna kituo pale mpaka Sheli tena pale Sheli ni just in case Ila kituo ni Buguruni pale mataa kwa mbele kabla ya kufika Tazara au Bharesa Ila km unaelekea mnazi kituo ni kule sokoni sasa hio Buguruni Tabata ndio ipi yaan lile ombwe pale kati ndio mnaita Buguruni Tabata?
tena hadi kuna mhaya duuh! Apo shughul imekamilkaHii ni familia au wacheza pornoí ¾í´£í ¾í´£í ¾í´£í ½í¹í ¼í¿»
Naingoja nyuzi ya shughuli yke, kuna ya kujifunza apoTena huyo ana kisa kikubwa katika hii mikasa, huko mbele. Ana kalio la kama Jennifer Lopez