Itakuumiza/itakusikitisha: Ukahaba wa Tabora

Itakuumiza/itakusikitisha: Ukahaba wa Tabora

MzeeKipusa

JF-Expert Member
Joined
Feb 10, 2023
Posts
2,705
Reaction score
4,978
Straight to the point;-

1. Tabora ni Mkoa pekee ambao mabinti wengi hufanya ukahaba huku wakiwa na umri wa kati ya miaka 11-17 (mabinti hao ni wengi sana mkoani hapa).

2. Mimba za utotoni zipo nyingi sana katika mkoa huu. Hapa utakuta binti wa chini ya miaka 17 au 18 ana watoto wawili mpaka watatu.

Hapa Tabora naona ni kama familia nyingi zimeyaruhusu haya mambo yafanyike, Jamii pia imeyapitisha na Serikali imeyaridhia/imekubalina nayo.
 
Straight to the point;-

1. Tabora ni Mkoa pekee ambao mabinti wengi hufanya ukahaba huku wakiwa na umri wa Kati ya miaka 11-17. ( Mabinti hao ni wengi sana mkoani hapa )

2. Mimba za utotoni zipo nyingi sana katika Mkoa huu. Hapa utakuta Binti wa chini ya miaka 17 au 18 ...ana watoto wawili mpaka watatu.

Hapa Tabora , naona ni kama familia nyingi zimeyaruhusu haya mambo yafanyike, Jamii pia imeyapitisha na Serikali imeyaridhia/ imekubalina nayo.
Ugumu wa maisha ndio chanzo cha ukahaba..
 
Straight to the point;-

1. Tabora ni Mkoa pekee ambao mabinti wengi hufanya ukahaba huku wakiwa na umri wa Kati ya miaka 11-17. ( Mabinti hao ni wengi sana mkoani hapa )

2. Mimba za utotoni zipo nyingi sana katika Mkoa huu. Hapa utakuta Binti wa chini ya miaka 17 au 18 ...ana watoto wawili mpaka watatu.

Hapa Tabora , naona ni kama familia nyingi zimeyaruhusu haya mambo yafanyike, Jamii pia imeyapitisha na Serikali imeyaridhia/ imekubalina nayo.

Ukifuatilia kinachofanya jamii ikose nguvu ya kusimamia maadili ni Umasikini na ELIMU
kwa hiyo kuaddress hili tatizo katika jamii zetu, tungeanzia hapo.
 
Straight to the point;-

1. Tabora ni Mkoa pekee ambao mabinti wengi hufanya ukahaba huku wakiwa na umri wa Kati ya miaka 11-17. ( Mabinti hao ni wengi sana mkoani hapa )

2. Mimba za utotoni zipo nyingi sana katika Mkoa huu. Hapa utakuta Binti wa chini ya miaka 17 au 18 ...ana watoto wawili mpaka watatu.

Hapa Tabora , naona ni kama familia nyingi zimeyaruhusu haya mambo yafanyike, Jamii pia imeyapitisha na Serikali imeyaridhia/ imekubalina nayo.
Utakuwa unaongelea Karatu wewe umesahau na kusema Tabora
 
Back
Top Bottom