Simulizi: Umalaya na Ukahaba wa Kishua

Corazon Espinado

JF-Expert Member
Jan 25, 2024
217
430
Episode 1: Introduction.

Hii episode ya mwanzo itakua zaidi ni utangulizi (introduction) ya kujua watu na maana ya maneno yalivyotumika. Tutajitahidi ziwe ni posts fupi fupi ili isiwe tabu kwa wasomaji.

Hivi ni visa vinavyotokana na matukio ya ukweli kwa kiwango kikubwa. Tutatiriririka navyo hapa, visa na mikasa vya umalaya na ukahaba unaofanyika kwenye nyumba za kishua zinazojulikana kama geti kali, kwa njia ya episodes zitazotokana na muhusika anaeongelewa. Kwenye hii episode ya kwanza tutaanza na familia ya kishua kabisa, ya Mama na Baba Nisha, kwa kiwango kikubwa episode hii itawahusu familia ya Mama na Baba Nisha na ndugu, jamaa, marafiki na watu wao wanaowazunguka kwa karibu kabisa.

Visa na mikasa mingi ya umalaya na ukahaba, huhusisha familia za walala hoi, lakini visa hivi vitavyofatia, vitajikita katika familia zinazojiweza kimali na kifedha, au kwa ufupi "familia za kishua" pia zinajulikana kama geti kali.

Kwanza kabisa tuelewe maana ya neno "malaya" na maana ya neno "kahaba".


Malaya
Malaya ni mtu anaependa ngono, awe ni mwanamke au mwanamme, mradi anapenda ngono basi huyo ni malaya. Kwa asilimia kubwa umalaya unahusishwa kwa wanawake tu, lakini ukweli ni kua hata wanaume; baadhi yao huwa ni malaya tu.

Umalaya hutokana na mengi, lakini zaidi hutokana na maisha zinavyoishi familia ndizo huchochea umalaya

Malaya huwa hajiuzi kufanya au ngono kwa ajili ya pesa au kipato. Yeye ni mpenda ngono, ambae hatosheki kwa ngono, yupo tayari kufanya ngono na yeyote, awe ndani ya familia au nje ya familia, awe wa jinsia yake au nyingine, mradi yeye akidhi kiu yake ya ngono tu.

Kahaba
Kahaba ni mtu anaejiuza mwili wake ili ajiingizie kipato au apate anachokitaka, si lazima awe na shida ya pesa, pengine anashida ya kutaka kitu fulani kifanyike, basi atafanya ulaghai kutumia maumbile yake ili afanikishe lake. Hajali kabisa kujiuza ili yake yaende.

Hizo ndio maana za malaya, umalaya na kahaba au ukahaba zilivyotumika kwenye visa hivi.

Kwa maana hizo kwenye kisa hiki tutaona kua, malaya na makhaba si lazima wawe hawajiwezi. Binafsi naamini, Umalaya na Ukahaba mkubwa zaidi hufanyika kwenye familia za kishua kuliko familia za kawaida, za walala hoi.

SOMA:
Sehemu inayofuata
Sehemu inayoendelea
Sehemu inayofuata
 
Episode 1: Introdtion.

Hii episode ya mwanzo itakua zaidi ni utangulizi (introduction) ya kujua watu na maana ya maneno yaliotumika. Tutajitahidi ziwe ni posts fupi fupi ili isiwe tabu kwa wasomaji.

Hivi ni visa vinavyotokana na matukio ya ukweli kwa kiwango kikubwa. Tutatiriririka navyo hapa visa na mikasa vya umalaya na ukahaba unaofanyika kwenye nyumba za kishua zinazojulikana kama geti kali kwa njia ya episodes zitazotokana na muhusika anaeongelewa. Kwenye hii episode ya kwanza tutaanza na familia ya kishua kabisa, ya Mama na Baba Nisha, kwa kiwango kikubwa episode hii itawahusu familia ya Mama na Baba Nisha na ndugu, jamaa, marafiki na watu wao wanaowazunguka kwa karibu kabisa.

Visa na mikasa mingi ya umalaya na ukahaba, huhusisha familia za walala hoi, lakini visa hivi vitavyofatia, vitajikita katika famiali a zinazojiweza kimali na kifedha, au kwa ufupi "familia za kishua" pia zinajulikana kama geti kali.

Kwanza kabisa tuelewe maana ya malaya na maana ya kahaba.

Malaya
Malaya ni mtu anaependa ngono, awe ni mwanamke au mwanamme, mradi anapenda ngono basi huyo ni malaya. Kwa asilimia kubwa umalaya unahusishwa kwa wanawake tu, lakini ukweli ni kua hata wanaume baadhi yao huwa ni malaya tu.

Umalaya hutokana na mengi, lakini zaidi hutokana na maisha zinavyoishi familia ndizo huchochea umalaya

Malaya huwa hajiuzi kufanya au ngono kwa ajili ya pesa au kipato. Yeye ni mpenda ngono, ambae hatosheki kwa ngono, yupo tayari kufanya ngono na yeyote, awe ndani ya familia au nje ya familia, awe wa jinsia yake au nyingine, mradi yeye akidhi kiu yake ya ngono tu.

Kahaba
Kahaba ni mtu anaejiuza mwili wake ili ajiingizie kipato au apate anachokitaka, si lazima awe na shida ya pesa, pengine anashida ya kutaka kitu fulani kifanyike, basi atafanya ulaghai kutumia maumbile yake ili afanikishe lake. Hajali kabisa kujiuza ili yake yaende.

Hizo ndio maana za malaya, umalaya na kahaba au ukahaba zilivyotumika kwenye visa hivi.

Kwa maana hizo kwenye kisa hiki tutaona kua, malaya na makhaba si lazima wawe hawajiwezi. Binafsi naamini, Umalaya na Ukahaba mkubwa zaidi hufanyika kwenye familia za kishua kuliko familia za kawaida, za walala hoi.

itaendelea.
Wapiga nyetoh twaweza waita malaya bila shaka
 
Siyo sawa kusema kwamba

👇👇
*"Malaya ni mtu anaependa ngono, awe ni mwanamke au mwanamme, mradi anapenda ngono basi huyo ni malaya. Kwa asilimia kubwa umalaya unahusishwa kwa wanawake tu, lakini ukweli ni kua hata wanaume baadhi yao huwa ni malaya tu."

Siyo sahihi neno malaya kutumika kwa mwanaume.

Malaya ni mwanamke mwenye wanaume wengi, asiyetulia na mwanaume mmoja kwa wakati mmoja.

Kwa upande wa mwaume asiyetulia na mwanamke mmoja kwa wakati mmoja linatumika neno muhuni
 
Siyo sawa kusema kwamba

👇👇
*"Malaya ni mtu anaependa ngono, awe ni mwanamke au mwanamme, mradi anapenda ngono basi huyo ni malaya. Kwa asilimia kubwa umalaya unahusishwa kwa wanawake tu, lakini ukweli ni kua hata wanaume baadhi yao huwa ni malaya tu."

Siyo sahihi neno malaya kutumika kwa mwanaume.

Malaya ni mwanamke mwenye wanaume wengi, asiyetulia na mwanaume mmoja kwa wakati mmoja.

Kwa upande wa mwaume asiyetulia na mwanamke mmoja kwa wakati mmoja linatumika neno muhuni
uhuni ni neno general
Malaya linatumika kote kwa mwanamke na mwanaume
 
Back
Top Bottom