Ni pale kati kunasimama maroli kibao wakijiandaa na safari zao.Hakuna kituo pale mpaka Sheli tena pale Sheli ni just in case Ila kituo ni Buguruni pale mataa kwa mbele kabla ya kufika Tazara au Bharesa Ila km unaelekea mnazi kituo ni kule sokoni sasa hio Buguruni Tabata ndio ipi yaan lile ombwe pale kati ndio mnaita Buguruni Tabata?
Hakuna kituo Ila nimekuelewa ni mpakani mwa Buguruni na Tabata ukienda mbele Buguruni na ukirudi nyuma ni TabataNi pale kati kunasimama maroli kibao wakijiandaa na safari zao.
Kuna garage nyingi pia ndio wanapaita hivyo,kabla hujakunja kupanda relini.
Anyway hamna kituo hapo kati.
Uko sahihi
Yah wenyeji walipaita hivyo,maana kwenda buguruni toka tbt pale huitaji bus labda utoke segerea,kuna border pale ukikunja buguruni hii hapa.Hakuna kituo Ila nimekuelewa ni mpakani mwa Buguruni na Tabata ukienda mbele Buguruni na ukirudi nyuma ni Tabata