nimekua mlevi wa story zako kias mambo muhim baadhi siyafanyi kama saa hizi niko online jaman hebu eeka tunimalizie huu usiku, mimi sina wasap sina insta sipigi sim situmi msg yan me ndio natafutwa mana busy na story zako umeongeza kule kwa ndoa tatu zilizovunjwa?? usione sicoment chochote nasoma kimya kimya patakaponibamba ndio naweka mwandiko wangu, asante lakini umenifanya kuchangamsha akili