Ameen [emoji120][emoji120]Mungu wetu azidi kukupa wepesi, maana binafsi najifunza mengi sana kupitia simulizi zako, mfano, kumtumaini Mungu, mahusiano ya kifamilia, ujana, tamaa za utajiri, madsraka na Nguvu za giz kama kwenye story ya Malkia wa Ghoshen na ninaendelea kubarikiwa kwa kweli mpendwa. Naamini kwa Nandy na Dickson nitajifunza mengi zaidi. Barikiwe sana sana mpendwa.!!
Ipiii hiyo ya malkia wa goshen au
Story ya kipofu niliyeleta humu ni sarafina alikuwa mwimbaji akaja kuona akaaza kuwa naa majivuno badae Mungu akamrudisha kwenye upofu wakeKuna story moja uliileta humu, mie niliishia njiani kuisoma, anaitwa tatiana huyo binti alikuwa kipofu, then akapata uwezo wa kuona, kwao shinyanga vijijini (in masanja's voice)
Story ya kipofu niliyeleta humu ni sarafina alikuwa mwimbaji akaja kuona akaaza kuwa naa majivuno badae Mungu akamrudisha kwenye upofu wake
Tatiana yupo kwenye malkia wa wagoshen badae alikuwa kipofu
Story ya kipofu niliyeleta humu ni sarafina alikuwa mwimbaji akaja kuona akaaza kuwa naa majivuno badae Mungu akamrudisha kwenye upofu wake
Tatiana yupo kwenye malkia wa wagoshen badae alikuwa kipofu
Oooh ni penzi bila maumivu Penzi bila maumivuMtunzi Shunie na wewe unajichanganya sasa, sarafina ni binti alikuwa anasoma udsm, akapata ujauzito wa david, then David akamwambia atoe, hakuutoa, akaenda kwa mwanza akafukuzwa, then akarudi dar, akawa omba omba akajifungua mtoto anaitwa malaika, maisha ya shida then sarafina kafariki kwa kansa ya titi n.k n.k
Tatiana ni binti alizaliwa shinyanga, kijiji cha chibe huko akiwa kipofu, alikuwa na sauti nzuri sana ya kuimba na sura nzuri, wazungu wakaja tanzania kwa ajili ya utalii then wakataka waimbaji kwenda kwenye shndano lao marekani, tatiana akawa mmojawapo, tatiana akaenda marekani, pamoja na yote akashida shindano, then wakawa wapenzi na mtoto wa muandaa shindano akampeleka hosp kafanyiwa op tatiana kaanza kuona, akamsahau Mungu wake akawa wa kidunia zaidi, niliishia pale amekuja Tanzania baada ya miaka mitatu, akachomwa kisu kwenye onyesho lake pale udsm...... niko deep Shunie, nadhani utakuwa umekumbuka..... nipe link sasa
Malkia wa gosheni sijawahi kuisoma
Thanks, nimeona!Nimeshakuwekea link mamy