Tutajua uko mbelekwambele lazima uliweAiseee kwahiyo atanishika miguu eenh hata kama sitaki
Kama stories yenyeweIlivo nzuri,,,nilikuwa nasemaga hakika alieitunga ni nzuri mno,,
Tatizo ni kukupata ww tu na makubaliano yetu yamebase hapo tuwekee story basi shunieSawa yangu macho muhusika mm uende ukakubaliane na ndugu yangu wapi na wapi
Ok sema uweke part nyinginyingi basiMbona nimeshaweka hujaziona rudi kidogo
Duh iyo ndo sheria totoHapana ni mbili tu
Kwel shunie lazima akuelewe sisi wa mikoani tumezoea vingi siyo kamoja au viwili mpaka kumi ndo fureshibarua kwako kipenzi shunie.
natumai ni mzima wa afya tele,dhumuni la barua hii ni kukuomba uwe unatupia episode 4 mpaka 6 per day, nadhani unajua kwamba mimi ni kichaa, sasa inaniwia vigumu kuelewa hizo eps mbili, maana nahitaji maelezo marefu ili nielewe kwa kuwa wewe ni msikivu na mnyenyekevu naimani kwa 90% utanielewa.
ni mimi kichaa msafi wako mtiifu