Ekyoma
JF-Expert Member
- Dec 30, 2015
- 2,177
- 2,803
Yan tangu enzi za peniela napika sound uko pm mpaka leo bado mvulana tu acha dhambi kabisa mchuchumvulana mdogo
Yan tangu enzi za peniela napika sound uko pm mpaka leo bado mvulana tu acha dhambi kabisa mchuchumvulana mdogo
Ni pesa tuuuu
Duh! Kweli mwenye kisu kikali ndie mla nyamaMmh ngashtuka ujue me ni muhenga kikongwe
Toto kwako ben 10 anaanzia miaka mingap maana yule dada yko pm alinambia ben 10 kwake ni kuanzia 18 mpaka 35 ni conclude kuwa yy ni muhenga inaitaji busara za hali ya juu kuchukua no paleHakii Ekyoma kama we Ben10 Nora uniambie tu
Duh.... I see Mnajipanga foleni tu kamandaDah nilkuwa natania bwana mm na ww mpaka kieleweke nasubiri uachike nitangaze ndoa ingawa si dua njema
Itakuwa pipi tamuNapepea ninii eti
Nikikwambia mtata inadhan natania basi mama ebu njoo kwa namna nyingine tutafte namnaulienda mpaka pm mbona hajaniambia
Folen kawaida tu comrade ipo cku tutafika kunakoDuh.... I see Mnajipanga foleni tu kamanda
Ndiyo nini?Kakupa papa?
Taratibu basi mamie mwali watu macho kodo huku alafu kuna mangwiNapepea ninii eti
Utamu wa pipi mate
Shida yote yanini wakati Mwendo-kasi zimejaa teleNa we unataka foleni mkuu
We wa wapi kamanda?Ndiyo nini?