Ekyoma
JF-Expert Member
- Dec 30, 2015
- 2,177
- 2,802
Kikata tamaa sikati wasiwasi wangu mijamaa isije kumaliza utam wote aiseeAhahhah na hutakiwi kukata tamaa kwanza matunda yangu si ulikua unaniambia niyafate buguruni
Kikata tamaa sikati wasiwasi wangu mijamaa isije kumaliza utam wote aiseeAhahhah na hutakiwi kukata tamaa kwanza matunda yangu si ulikua unaniambia niyafate buguruni
Sasa hapa unataka kuaribu walozi wengi hapa fungua uko niniliu watu wasisikie mamaKwani mpango wako ni kutaka kunikula kumbe
Muhenga ndo mtam aiseeMmh ngashtuka ujue me ni muhenga kikongwe
Anza mwanzoni mwa uzi kabisa utakutanaomba sehemu yakwanza hadi ya 10
Hahaha hakuna iyo kitu kama icho mm naangalia brain tu ayo mengine nousije ukanikimbia tu shunie wako uliyemuunda kichwani na utakayekutana nae
Sema yule dada sakayo ananikazia kichizi nshapiga sound kuhusu no yko anachomoa yule ndo muhenga hasaHe he sawa Ekyoma
Duuu.. .Wekundu money
Mzinguzi masharti yake magum aiseeile ya jukwaani si tulikua wote ana wasiwasi we ni Ben10
Acha izo bwana kwanza Ben 10 ndo nn naona ili neno linavuma tuPoyeee kwani we ni Ben10 kweli