Simulizi: Milango ya mafanikio

Simulizi: Milango ya mafanikio

ila Sam anatuwakirisha vema Dana vijana wa mikoani Wala protein na wanga Kwa wingi.

Mwalimu ataliwa
Caty ataliwa Hadi mimba
rahima ataliwa ataliwa
tausi na yeye atapigwa ukuni wa kutosha
mama kulwa na yeye dalili zinanyesha ataliwa tu japo hamuanini ila mgojeeni
 
ila Sam anatuwakirisha vema Dana vijana wa mikoani Wala protein na wanga Kwa wingi.

Mwalimu ataliwa
Caty ataliwa Hadi mimba
rahima ataliwa ataliwa
tausi na yeye atapigwa ukuni wa kutosha
mama kulwa na yeye dalili zinanyesha ataliwa tu japo hamuanini ila mgojeeni
mkuu hadi mama Kulwa....sio kweli.
 
ila Sam anatuwakirisha vema Dana vijana wa mikoani Wala protein na wanga Kwa wingi.

Mwalimu ataliwa
Caty ataliwa Hadi mimba
rahima ataliwa ataliwa
tausi na yeye atapigwa ukuni wa kutosha
mama kulwa na yeye dalili zinanyesha ataliwa tu japo hamuanini ila mgojeeni
Mama kulwa hapana aseeee
 
SEHEMU YA SABINI NA MBILI

Siku moja wakati Samson anatoka zake shule, alimkuta Mzee Mgaya akiwa na mgeni fulani pale nyumbani kwao ambapo muda mwingi Mzee Mgaya alionekana kumsikiliza yule mgeni ambaye alikuwa anaongea vitu, huku Mzee Mgaya akiwa na kijikaratasi akiandika baadhi ya maelezo anayopewa.
Samson aliwasalimia Kisha akaingia zake ndani ili abadilishe nguo, Kisha akatoka na kumkuta mzee Mgaya peke yake yule mgeni akiwa kaondoka.

Mzee Mgaya alimuashiria Samson akae, kisha akaanza kupiga naye stori,
Enhee niambie, masomo yanaendaje huko, maana mpo kwenye kukaribisha mitihani ya kufungia muhula wa pili, na tayari wewe ni form four mtarajiwa. aliongea Mzee Mgaya huku akimwangalia Sam na kutoa tabasamu la kirafiki.

Ni kweli baba hata Mimi nafurahi kufika hapa nilipo, naamini mwenyezi MUNGU atatia wepesi kwenye kila ninalolifanya, hivyo kila kitu kitakuwa sawa tu. alijibu Samson.

Kwanza nafurahi kusikia hivyo, naweza kusema kwasasa umekuwa mtu mzima wa kutegemewa na hilo linanipa faraja sana, na nilichokuitia hapa ni kukutaarifu kuwa leo hii kesho nasafiri naenda mbali kidogo nje ya nchi, na ndiyo maana umenikuta hapa nilikuwa nafanya maandalizi yangu yanayohusu safari hii, hivyo Samson wewe si mtoto tena nakutegemea sana juu ya kuongeza ulinzi na msimamo thabiti kwenye hii nyumba.

Wewe ni mtoto wa kiume, unajua fika kwa taratibu za kabila letu mtoto wa kiume hupewa nguvu na mamlaka pindi akionesha anajitambua hata kama umri wake mdogo, lakini wewe hata umri wako si mdogo tena mwanangu.
Sitegemei kusikia habari za kijinga, mara Samson kafanya hiki mara hiki, haitapendeza, na mama yako unamjua kitu gani utafanya nisipate taarifa, hivyo kuwa makini sana ningependa uwe wewe na shule, shule na wewe, na hilo ndiyo limekuweka hapa mjini na si lingine.

Jambo lingine kule kwenye Karakana yangu unakujua vyema kabisa, hivyo naomba uwe unatembelea kule, na kucheki mazingira nadhani, itakupa nafasi ya kujifunza vitu vingi, lakini pia Kuna mama yako mdogo Tausi, usimsahau sana na wewe , amekuwa akilalamika mara kadhaa kwamba umemtupa huwa hutaki hata kumsalimia,siyo sawa ulishakaa kule hivyo siku moja moja si mbaya kumjulia hali ni mama yako yule.
aliweka kituo mzee Mgaya.

Sasa Mzee unaenda wapi na utakaa muda gani, aliuliza Samson.

Kwasasa nitakaa kama miezi miwili siyo mingi ila kwa watu tuliozoea kuonana zitakuwa ni siku nyingi.
Ila ninachosisitiza zaidi ni heshima, heshima, heshima.
Samson sitaki nirudi halafu badala ya watu tufurahi kwa kupoteana siku nyingi tuanze kugombana, haitakuwa sawa, hapa hakuna chakula na kama una njaa sana chukua hela ingia zako mtaani ukale maana dada na mama yako tangu asubuhi hawapo hapa. aliweka kituo mzee Mgaya huku Sam akiingia jikoni kujiandalia chakula chake licha ya kuonewa huruma kuwa akale mgahawani.

Jioni familia nzima iliungana huku Samson akiwa kafurahia sana safari ya mzee Mgaya aliona kama alikuwa anambana tu hivyo safari hii atakuwa huru kiasi.

**************************************

Jumamosi fulani Samson alipanda magari ya kuelekea shamba kuliko na Karakana za Mzee Mgaya kama alivyokuwa kaelekezwa, alifika na kujitambulisha huku wafanyakazi na mafundi wa pale wakimuita boss mtoto kama ilivyokawaida.
Samson alikaakaa pale, Kisha akashangaa kumuona Tausi mama yake mdogo, huku Kila mmoja akimshangaa mwenzake.

Hee vipi Sam umekuja na nani, na kama umekuja mwenyewe, hujapotea kweli? alitania Tausi huku akimuita fundi mkuu wa Karakana.

Naona maboss wote mmekuja, hii ni neema, najua watu tutashiba leo, aliongea kwa utani yule fundi huku akijifutafuta vumbi.

Mimi nimekuja kutembea tu lakini pia nadhani Kuna maagizo Mzee alikupa na ndiyo nimekuja. aliongea Tausi.

Ni kweli niliambiwa Kila jumamosi nitakupa kiasi fulani cha pesa, (akitaja kiasi kile)
Pia kinachobaki nitampa yule Mama mwingine. aliongea yule fundi Kisha akitoa burungutu la pesa kiasi cha kumshangaza Samson, maana zilikuwa pesa nyingi.

Hii ni zile kazi wanazoleta wateja wa kawaida yaani mmoja mmoja, na pia zile oda kubwa kubwa pesa zake niliambiwa nimkabidhi mama Kulwa
alifafanua yule fundi.

Sasa, nimekuelewa Mimi naona niwaache niwahi majukumu mengine, vipi Samson tunaongozana au bado upoupo? aliuliza Tausi huku Samson akisema naye anaondoka kwani hakukuwa na haja ya kuendelea kukaa pale, wakaanza kutembea kwa miguu huku wakitafuta kituo cha gari ambacho bado kulikuwa mbali.

Yaani baba yako ananionea sana, yeye si wakushindwa kununua usafiri angalau na Mimi niwe narahisisha safari zangu, si kwamba hana pesa anazo, ila ni bahili kupindukia,
Anashindwa kuelewa kuwa maisha ni hayahaya na Mimi napaswa kuwa na kitu fulani, labda ataninunulia nikiwa kaburini maana simuelewi hata kidogo. aliongea Kwa masikitiko Tausi huku Samson akiwa kimya tu kwani hakuwa na la kuchangia.

Walipata gari na safari ikaendelea huku wakiwa wanaongea vizuri tu.

Sasa mwanangu wewe nadhani utashukia hapo sokoni ili uchukue magari ya kwenu si ndiyo?
aliuliza Tausi.

Kwa unyonge Samson akaitikia huku akishangaa Tausi kumwambia vile kwani yeye alijua safari hii ni Hadi kwa Tausi,
Samson alishuka akatafuta sehemu akakaa licha ya magari ya kuelekea kwake yakipita yeye alikaa tu, huku akiwaza kwanini Tausi Hana hamu naye kama zamani
Kwa Tausi nayemjua angelazimisha niende kwake, lakini Kuna kitu gani nimemkosea? Alijiuliza Samson.

Akaona kwakuwa muda bado upo anapanda gari za kuelekea hukohuko kwa Tausi ili akamuulize mbona kabadilika sana.

Ndani muda fulani alikuwa getini kwenye nyumba ya tausi huku akigonga geti na kisha kufunguliwa,
Akafungua mwanamke fulani mzuri sana huku akiwa anaongea kiswahili cha mwambao kama ilivyo kwa Tausi.

Yule mwanamke alifungua sehemu ndogo sana huku akilishikilia geti, Kisha akauliza,

Wewe ni nani na unamtafuta nani?

Naitwa Samson, nimekuja hapa ni kwa mama yangu mdogo, alijibu Kwa kifupi Samson.

Ahaaa hili jina siyo geni, huwa nalisikia, kuhusu huyo unayemtafuta, ametoka, tangu asubuhi amesema anaenda sijui wapi Kuna miradi ya Mzee hivyo hajarudi bado, labda ingia ndani umsubiri. aliongea yule mwanamke huku akifunga geti Mara baada ya Samson kuingia.Huku Samson akiwa anawaza , Tausi alinitangulia muda Sasa atakuwa wapi tena, hata hivyo dili langu limeharibika kumbe hayupo peke yake Kuna mgeni tena? aaaaaargh Bora niondoke tu, tena tausi si tulikuwa wote akija hapa lazima ataniuliza nimefuata nini, mmmmh au niondoke tu? alijiwazia Samson.

Karibu ndani mgeni, naona umeganda tu mlangoni, ingia!
alikaribisha yule mwanamke Kisha wakaendelea na stori.

Huyo mama yako mdogo atachelewa, kwasababu aliniambia akitoka huko atapitia mjini kufunga mizigo yake ya kuweka dukani. alifafanua yule mwanamke.

Naitwa Samson Mgaya,
Huyu mzee Mgaya ni baba yangu mkubwa na hata hapa niliwahi kuishi kipindi fulani, samahani mwenzangu unaitwa nani? alianza uchokozi wake Samson

Mmmmh jamani kwani unataka nini, wewe si unamtaka mama yako mdogo Tausi? endelea kumsubiri maana jina langu hata nikikutajia halina msaada. alijibu kivivu yule mwanamke.

Hapana unakosea dada yangu, unajua Duniani kote watu huanza kwa kutambuana majina, ndipo mengine huendelea, Kuna ajali Kuna dharula na mengine mengi, kwa mfano Mimi hapa nadondoka ghafla, nimezimia au hata kama naongea lakini nikawa sijiwezi, huenda ukaomba msaada nikakimbizwa hospital, na ukiulizwa jina la mgonjwa utawatajia kuwa anaitwa Samson Mgaya,
Je, tufanye haya yamekuwa kinyume yamekupata wewe, je madaktari wakiniuliza jina, nitawaambiaje?
aliuliza Samson.

Mmmmh wewe mtoto umechangamka, hakika unanifurahisha sana, Ina maana hospital bila jina hutibiwi?
Ila nimependa sana ushauri wako ni mzuri,kifupi naitwa Latifa ni dada wa Tausi , yeye ni mtoto wa mkubwa Mimi mtoto wa mdogo, yaani mama zetu ni mtu na dada yake, bibi yetu ni mmoja, halafu umeniita dada unakosea Mimi ni mama yako mdogo. alijibu yule mgeni aliyejitambulisha kwa jina la Latifa.

Samson kutokana na tamaa zake tayari alivutiwa na yule mwanamke, na Samson alipenda sana mteremko , hakuwa na uwezo wa kumsimamisha mtu njiani na kumtongoza, yeye alikuwa na mbinu ya kuwateka watu ambao hawakuwa na utayari wa kufanya mapenzi huku wakikuta tayari wameshiriki ngono na Samson kama bahati mbaya tu.

Sasa Latifa mimi nikuage, maana mamdogo tulikuwa wote, ila sikujua kama ana ratiba nyingi anaenda mjini, akirudi mwambie Mimi nilikuja hapa. aliaga kimikwara.

Dah wewe mtoto kwanza usiniite Latifa, Mimi ni mama yako, Mzee Mgaya namuita shemeji yangu na Tausi ni mdogo wangu, Sasa nakuomba uwe unaniheshimu kama unavyomheshimu Tausi.
Ila nimependa uchangamfu wako hakika nimeenjoy huu muda mfupi uliokuwepo. aliongea Latifa.

Samson aliondoka huku moyo ukimdunda kwa tamaa za ngono, Latifa alikuwa mwanamke mwenye ushawishi, huku akigonga kichwa cha Samson maana ulimbukeni ulimsumbua.

Samson alirudi nyumbani kwao huku akilaumiwa kiasi na mama Kulwa baada ya kupitiliza muda ambao alipewa.

Halafu Samson naomba ule Chakula Kisha nakuomba uje huku nje barazani, aliongea mama Kulwa akiwa kashikilia Miwani mkononi na kitabu fulani, ilikuwa ni kawaida kwake kujisomea vitabu awapo nyumbani haswa vinavyohusu masuala ya uchumi ikiwa ni njia ya kujiongezea maarifa

Samson alimaliza kula Kisha akaja kwa mbwembwe alipo mama Kulwa akaketi chini .

Ahaa umekuja eeh, Sasa naomba unisikilize kwa umakini sana mwanangu, ni kuanzia juzi dada yako Rahma amekuwa ni mtu wa kulala , yaani amekuwa mvivu kupindukia.Na hata hapa ninapoongea yupo ndani amelala, juzi aliandaa Chakula vizuri lakini hakula, Jana pia hivyo hivyo, Leo nimempeleka dispensary, amekutwa ana ujauzito Sasa hii ni habari mbaya ndani mwetu , ni aibu katuletea huyu mtoto yaani nashindwa hata nimpeleke wapi, ila nakuomba mwanangu fanya uchunguzi huko mtaani ili tujue alikuwa na mahusiano na nani.
Lakini pia kama na wewe upo kwenye list japo sina uhakika, ni Bora ukasema mapema maana yule mbogo akirudi atakuja kuua mtu.
aliweka kituo mama Kulwa.

Samson aliruka futi mia huku akiomba asihusishwe na ule msala, lakini pia moyo ulimuuma kwani anajua kashafanya mapenzi na Rahma zaidi ya mara mbili kwenye wiki tatu zile.

Mama nimekusikia na nitafanya uchunguzi, alijibu Samson huku sauti yake ikibadilika na kuwa yenye uoga na mkwaruzo

Mama Kulwa alimwangalia Samson kitambo, huku akiwa anagundua kitu, maana uso wa Samson uliongea.

Itaendelea...................
 
SEHEMU YA SABINI NA MBILI

Siku moja wakati Samson anatoka zake shule, alimkuta Mzee Mgaya akiwa na mgeni fulani pale nyumbani kwao ambapo muda mwingi Mzee Mgaya alionekana kumsikiliza yule mgeni ambaye alikuwa anaongea vitu, huku Mzee Mgaya akiwa na kijikaratasi akiandika baadhi ya maelezo anayopewa.
Samson aliwasalimia Kisha akaingia zake ndani ili abadilishe nguo, Kisha akatoka na kumkuta mzee Mgaya peke yake yule mgeni akiwa kaondoka.

Mzee Mgaya alimuashiria Samson akae, kisha akaanza kupiga naye stori,
Enhee niambie, masomo yanaendaje huko, maana mpo kwenye kukaribisha mitihani ya kufungia muhula wa pili, na tayari wewe ni form four mtarajiwa. aliongea Mzee Mgaya huku akimwangalia Sam na kutoa tabasamu la kirafiki.

Ni kweli baba hata Mimi nafurahi kufika hapa nilipo, naamini mwenyezi MUNGU atatia wepesi kwenye kila ninalolifanya, hivyo kila kitu kitakuwa sawa tu. alijibu Samson.

Kwanza nafurahi kusikia hivyo, naweza kusema kwasasa umekuwa mtu mzima wa kutegemewa na hilo linanipa faraja sana, na nilichokuitia hapa ni kukutaarifu kuwa leo hii kesho nasafiri naenda mbali kidogo nje ya nchi, na ndiyo maana umenikuta hapa nilikuwa nafanya maandalizi yangu yanayohusu safari hii, hivyo Samson wewe si mtoto tena nakutegemea sana juu ya kuongeza ulinzi na msimamo thabiti kwenye hii nyumba.

Wewe ni mtoto wa kiume, unajua fika kwa taratibu za kabila letu mtoto wa kiume hupewa nguvu na mamlaka pindi akionesha anajitambua hata kama umri wake mdogo, lakini wewe hata umri wako si mdogo tena mwanangu.
Sitegemei kusikia habari za kijinga, mara Samson kafanya hiki mara hiki, haitapendeza, na mama yako unamjua kitu gani utafanya nisipate taarifa, hivyo kuwa makini sana ningependa uwe wewe na shule, shule na wewe, na hilo ndiyo limekuweka hapa mjini na si lingine.

Jambo lingine kule kwenye Karakana yangu unakujua vyema kabisa, hivyo naomba uwe unatembelea kule, na kucheki mazingira nadhani, itakupa nafasi ya kujifunza vitu vingi, lakini pia Kuna mama yako mdogo Tausi, usimsahau sana na wewe , amekuwa akilalamika mara kadhaa kwamba umemtupa huwa hutaki hata kumsalimia,siyo sawa ulishakaa kule hivyo siku moja moja si mbaya kumjulia hali ni mama yako yule.
aliweka kituo mzee Mgaya.

Sasa Mzee unaenda wapi na utakaa muda gani, aliuliza Samson.

Kwasasa nitakaa kama miezi miwili siyo mingi ila kwa watu tuliozoea kuonana zitakuwa ni siku nyingi.
Ila ninachosisitiza zaidi ni heshima, heshima, heshima.
Samson sitaki nirudi halafu badala ya watu tufurahi kwa kupoteana siku nyingi tuanze kugombana, haitakuwa sawa, hapa hakuna chakula na kama una njaa sana chukua hela ingia zako mtaani ukale maana dada na mama yako tangu asubuhi hawapo hapa. aliweka kituo mzee Mgaya huku Sam akiingia jikoni kujiandalia chakula chake licha ya kuonewa huruma kuwa akale mgahawani.

Jioni familia nzima iliungana huku Samson akiwa kafurahia sana safari ya mzee Mgaya aliona kama alikuwa anambana tu hivyo safari hii atakuwa huru kiasi.

**************************************

Jumamosi fulani Samson alipanda magari ya kuelekea shamba kuliko na Karakana za Mzee Mgaya kama alivyokuwa kaelekezwa, alifika na kujitambulisha huku wafanyakazi na mafundi wa pale wakimuita boss mtoto kama ilivyokawaida.
Samson alikaakaa pale, Kisha akashangaa kumuona Tausi mama yake mdogo, huku Kila mmoja akimshangaa mwenzake.

Hee vipi Sam umekuja na nani, na kama umekuja mwenyewe, hujapotea kweli? alitania Tausi huku akimuita fundi mkuu wa Karakana.

Naona maboss wote mmekuja, hii ni neema, najua watu tutashiba leo, aliongea kwa utani yule fundi huku akijifutafuta vumbi.

Mimi nimekuja kutembea tu lakini pia nadhani Kuna maagizo Mzee alikupa na ndiyo nimekuja. aliongea Tausi.

Ni kweli niliambiwa Kila jumamosi nitakupa kiasi fulani cha pesa, (akitaja kiasi kile)
Pia kinachobaki nitampa yule Mama mwingine. aliongea yule fundi Kisha akitoa burungutu la pesa kiasi cha kumshangaza Samson, maana zilikuwa pesa nyingi.

Hii ni zile kazi wanazoleta wateja wa kawaida yaani mmoja mmoja, na pia zile oda kubwa kubwa pesa zake niliambiwa nimkabidhi mama Kulwa
alifafanua yule fundi.

Sasa, nimekuelewa Mimi naona niwaache niwahi majukumu mengine, vipi Samson tunaongozana au bado upoupo? aliuliza Tausi huku Samson akisema naye anaondoka kwani hakukuwa na haja ya kuendelea kukaa pale, wakaanza kutembea kwa miguu huku wakitafuta kituo cha gari ambacho bado kulikuwa mbali.

Yaani baba yako ananionea sana, yeye si wakushindwa kununua usafiri angalau na Mimi niwe narahisisha safari zangu, si kwamba hana pesa anazo, ila ni bahili kupindukia,
Anashindwa kuelewa kuwa maisha ni hayahaya na Mimi napaswa kuwa na kitu fulani, labda ataninunulia nikiwa kaburini maana simuelewi hata kidogo. aliongea Kwa masikitiko Tausi huku Samson akiwa kimya tu kwani hakuwa na la kuchangia.

Walipata gari na safari ikaendelea huku wakiwa wanaongea vizuri tu.

Sasa mwanangu wewe nadhani utashukia hapo sokoni ili uchukue magari ya kwenu si ndiyo?
aliuliza Tausi.

Kwa unyonge Samson akaitikia huku akishangaa Tausi kumwambia vile kwani yeye alijua safari hii ni Hadi kwa Tausi,
Samson alishuka akatafuta sehemu akakaa licha ya magari ya kuelekea kwake yakipita yeye alikaa tu, huku akiwaza kwanini Tausi Hana hamu naye kama zamani
Kwa Tausi nayemjua angelazimisha niende kwake, lakini Kuna kitu gani nimemkosea? Alijiuliza Samson.

Akaona kwakuwa muda bado upo anapanda gari za kuelekea hukohuko kwa Tausi ili akamuulize mbona kabadilika sana.

Ndani muda fulani alikuwa getini kwenye nyumba ya tausi huku akigonga geti na kisha kufunguliwa,
Akafungua mwanamke fulani mzuri sana huku akiwa anaongea kiswahili cha mwambao kama ilivyo kwa Tausi.

Yule mwanamke alifungua sehemu ndogo sana huku akilishikilia geti, Kisha akauliza,

Wewe ni nani na unamtafuta nani?

Naitwa Samson, nimekuja hapa ni kwa mama yangu mdogo, alijibu Kwa kifupi Samson.

Ahaaa hili jina siyo geni, huwa nalisikia, kuhusu huyo unayemtafuta, ametoka, tangu asubuhi amesema anaenda sijui wapi Kuna miradi ya Mzee hivyo hajarudi bado, labda ingia ndani umsubiri. aliongea yule mwanamke huku akifunga geti Mara baada ya Samson kuingia.Huku Samson akiwa anawaza , Tausi alinitangulia muda Sasa atakuwa wapi tena, hata hivyo dili langu limeharibika kumbe hayupo peke yake Kuna mgeni tena? aaaaaargh Bora niondoke tu, tena tausi si tulikuwa wote akija hapa lazima ataniuliza nimefuata nini, mmmmh au niondoke tu? alijiwazia Samson.

Karibu ndani mgeni, naona umeganda tu mlangoni, ingia!
alikaribisha yule mwanamke Kisha wakaendelea na stori.

Huyo mama yako mdogo atachelewa, kwasababu aliniambia akitoka huko atapitia mjini kufunga mizigo yake ya kuweka dukani. alifafanua yule mwanamke.

Naitwa Samson Mgaya,
Huyu mzee Mgaya ni baba yangu mkubwa na hata hapa niliwahi kuishi kipindi fulani, samahani mwenzangu unaitwa nani? alianza uchokozi wake Samson

Mmmmh jamani kwani unataka nini, wewe si unamtaka mama yako mdogo Tausi? endelea kumsubiri maana jina langu hata nikikutajia halina msaada. alijibu kivivu yule mwanamke.

Hapana unakosea dada yangu, unajua Duniani kote watu huanza kwa kutambuana majina, ndipo mengine huendelea, Kuna ajali Kuna dharula na mengine mengi, kwa mfano Mimi hapa nadondoka ghafla, nimezimia au hata kama naongea lakini nikawa sijiwezi, huenda ukaomba msaada nikakimbizwa hospital, na ukiulizwa jina la mgonjwa utawatajia kuwa anaitwa Samson Mgaya,
Je, tufanye haya yamekuwa kinyume yamekupata wewe, je madaktari wakiniuliza jina, nitawaambiaje?
aliuliza Samson.

Mmmmh wewe mtoto umechangamka, hakika unanifurahisha sana, Ina maana hospital bila jina hutibiwi?
Ila nimependa sana ushauri wako ni mzuri,kifupi naitwa Latifa ni dada wa Tausi , yeye ni mtoto wa mkubwa Mimi mtoto wa mdogo, yaani mama zetu ni mtu na dada yake, bibi yetu ni mmoja, halafu umeniita dada unakosea Mimi ni mama yako mdogo. alijibu yule mgeni aliyejitambulisha kwa jina la Latifa.

Samson kutokana na tamaa zake tayari alivutiwa na yule mwanamke, na Samson alipenda sana mteremko , hakuwa na uwezo wa kumsimamisha mtu njiani na kumtongoza, yeye alikuwa na mbinu ya kuwateka watu ambao hawakuwa na utayari wa kufanya mapenzi huku wakikuta tayari wameshiriki ngono na Samson kama bahati mbaya tu.

Sasa Latifa mimi nikuage, maana mamdogo tulikuwa wote, ila sikujua kama ana ratiba nyingi anaenda mjini, akirudi mwambie Mimi nilikuja hapa. aliaga kimikwara.

Dah wewe mtoto kwanza usiniite Latifa, Mimi ni mama yako, Mzee Mgaya namuita shemeji yangu na Tausi ni mdogo wangu, Sasa nakuomba uwe unaniheshimu kama unavyomheshimu Tausi.
Ila nimependa uchangamfu wako hakika nimeenjoy huu muda mfupi uliokuwepo. aliongea Latifa.

Samson aliondoka huku moyo ukimdunda kwa tamaa za ngono, Latifa alikuwa mwanamke mwenye ushawishi, huku akigonga kichwa cha Samson maana ulimbukeni ulimsumbua.

Samson alirudi nyumbani kwao huku akilaumiwa kiasi na mama Kulwa baada ya kupitiliza muda ambao alipewa.

Halafu Samson naomba ule Chakula Kisha nakuomba uje huku nje barazani, aliongea mama Kulwa akiwa kashikilia Miwani mkononi na kitabu fulani, ilikuwa ni kawaida kwake kujisomea vitabu awapo nyumbani haswa vinavyohusu masuala ya uchumi ikiwa ni njia ya kujiongezea maarifa

Samson alimaliza kula Kisha akaja kwa mbwembwe alipo mama Kulwa akaketi chini .

Ahaa umekuja eeh, Sasa naomba unisikilize kwa umakini sana mwanangu, ni kuanzia juzi dada yako Rahma amekuwa ni mtu wa kulala , yaani amekuwa mvivu kupindukia.Na hata hapa ninapoongea yupo ndani amelala, juzi aliandaa Chakula vizuri lakini hakula, Jana pia hivyo hivyo, Leo nimempeleka dispensary, amekutwa ana ujauzito Sasa hii ni habari mbaya ndani mwetu , ni aibu katuletea huyu mtoto yaani nashindwa hata nimpeleke wapi, ila nakuomba mwanangu fanya uchunguzi huko mtaani ili tujue alikuwa na mahusiano na nani.
Lakini pia kama na wewe upo kwenye list japo sina uhakika, ni Bora ukasema mapema maana yule mbogo akirudi atakuja kuua mtu.
aliweka kituo mama Kulwa.

Samson aliruka futi mia huku akiomba asihusishwe na ule msala, lakini pia moyo ulimuuma kwani anajua kashafanya mapenzi na Rahma zaidi ya mara mbili kwenye wiki tatu zile.

Mama nimekusikia na nitafanya uchunguzi, alijibu Samson huku sauti yake ikibadilika na kuwa yenye uoga na mkwaruzo

Mama Kulwa alimwangalia Samson kitambo, huku akiwa anagundua kitu, maana uso wa Samson uliongea.

Itaendelea...................
Kumekuchaaa kwa samuuu
 
ila Sam anatuwakirisha vema Dana vijana wa mikoani Wala protein na wanga Kwa wingi.

Mwalimu ataliwa
Caty ataliwa Hadi mimba
rahima ataliwa ataliwa
tausi na yeye atapigwa ukuni wa kutosha
mama kulwa na yeye dalili zinanyesha ataliwa tu japo hamuanini ila mgojeeni
Kwa mama Kulwa nakataa aisee
 
SEHEMU YA SABINI NA MBILI

Siku moja wakati Samson anatoka zake shule, alimkuta Mzee Mgaya akiwa na mgeni fulani pale nyumbani kwao ambapo muda mwingi Mzee Mgaya alionekana kumsikiliza yule mgeni ambaye alikuwa anaongea vitu, huku Mzee Mgaya akiwa na kijikaratasi akiandika baadhi ya maelezo anayopewa.
Samson aliwasalimia Kisha akaingia zake ndani ili abadilishe nguo, Kisha akatoka na kumkuta mzee Mgaya peke yake yule mgeni akiwa kaondoka.

Mzee Mgaya alimuashiria Samson akae, kisha akaanza kupiga naye stori,
Enhee niambie, masomo yanaendaje huko, maana mpo kwenye kukaribisha mitihani ya kufungia muhula wa pili, na tayari wewe ni form four mtarajiwa. aliongea Mzee Mgaya huku akimwangalia Sam na kutoa tabasamu la kirafiki.

Ni kweli baba hata Mimi nafurahi kufika hapa nilipo, naamini mwenyezi MUNGU atatia wepesi kwenye kila ninalolifanya, hivyo kila kitu kitakuwa sawa tu. alijibu Samson.

Kwanza nafurahi kusikia hivyo, naweza kusema kwasasa umekuwa mtu mzima wa kutegemewa na hilo linanipa faraja sana, na nilichokuitia hapa ni kukutaarifu kuwa leo hii kesho nasafiri naenda mbali kidogo nje ya nchi, na ndiyo maana umenikuta hapa nilikuwa nafanya maandalizi yangu yanayohusu safari hii, hivyo Samson wewe si mtoto tena nakutegemea sana juu ya kuongeza ulinzi na msimamo thabiti kwenye hii nyumba.

Wewe ni mtoto wa kiume, unajua fika kwa taratibu za kabila letu mtoto wa kiume hupewa nguvu na mamlaka pindi akionesha anajitambua hata kama umri wake mdogo, lakini wewe hata umri wako si mdogo tena mwanangu.
Sitegemei kusikia habari za kijinga, mara Samson kafanya hiki mara hiki, haitapendeza, na mama yako unamjua kitu gani utafanya nisipate taarifa, hivyo kuwa makini sana ningependa uwe wewe na shule, shule na wewe, na hilo ndiyo limekuweka hapa mjini na si lingine.

Jambo lingine kule kwenye Karakana yangu unakujua vyema kabisa, hivyo naomba uwe unatembelea kule, na kucheki mazingira nadhani, itakupa nafasi ya kujifunza vitu vingi, lakini pia Kuna mama yako mdogo Tausi, usimsahau sana na wewe , amekuwa akilalamika mara kadhaa kwamba umemtupa huwa hutaki hata kumsalimia,siyo sawa ulishakaa kule hivyo siku moja moja si mbaya kumjulia hali ni mama yako yule.
aliweka kituo mzee Mgaya.

Sasa Mzee unaenda wapi na utakaa muda gani, aliuliza Samson.

Kwasasa nitakaa kama miezi miwili siyo mingi ila kwa watu tuliozoea kuonana zitakuwa ni siku nyingi.
Ila ninachosisitiza zaidi ni heshima, heshima, heshima.
Samson sitaki nirudi halafu badala ya watu tufurahi kwa kupoteana siku nyingi tuanze kugombana, haitakuwa sawa, hapa hakuna chakula na kama una njaa sana chukua hela ingia zako mtaani ukale maana dada na mama yako tangu asubuhi hawapo hapa. aliweka kituo mzee Mgaya huku Sam akiingia jikoni kujiandalia chakula chake licha ya kuonewa huruma kuwa akale mgahawani.

Jioni familia nzima iliungana huku Samson akiwa kafurahia sana safari ya mzee Mgaya aliona kama alikuwa anambana tu hivyo safari hii atakuwa huru kiasi.

**************************************

Jumamosi fulani Samson alipanda magari ya kuelekea shamba kuliko na Karakana za Mzee Mgaya kama alivyokuwa kaelekezwa, alifika na kujitambulisha huku wafanyakazi na mafundi wa pale wakimuita boss mtoto kama ilivyokawaida.
Samson alikaakaa pale, Kisha akashangaa kumuona Tausi mama yake mdogo, huku Kila mmoja akimshangaa mwenzake.

Hee vipi Sam umekuja na nani, na kama umekuja mwenyewe, hujapotea kweli? alitania Tausi huku akimuita fundi mkuu wa Karakana.

Naona maboss wote mmekuja, hii ni neema, najua watu tutashiba leo, aliongea kwa utani yule fundi huku akijifutafuta vumbi.

Mimi nimekuja kutembea tu lakini pia nadhani Kuna maagizo Mzee alikupa na ndiyo nimekuja. aliongea Tausi.

Ni kweli niliambiwa Kila jumamosi nitakupa kiasi fulani cha pesa, (akitaja kiasi kile)
Pia kinachobaki nitampa yule Mama mwingine. aliongea yule fundi Kisha akitoa burungutu la pesa kiasi cha kumshangaza Samson, maana zilikuwa pesa nyingi.

Hii ni zile kazi wanazoleta wateja wa kawaida yaani mmoja mmoja, na pia zile oda kubwa kubwa pesa zake niliambiwa nimkabidhi mama Kulwa
alifafanua yule fundi.

Sasa, nimekuelewa Mimi naona niwaache niwahi majukumu mengine, vipi Samson tunaongozana au bado upoupo? aliuliza Tausi huku Samson akisema naye anaondoka kwani hakukuwa na haja ya kuendelea kukaa pale, wakaanza kutembea kwa miguu huku wakitafuta kituo cha gari ambacho bado kulikuwa mbali.

Yaani baba yako ananionea sana, yeye si wakushindwa kununua usafiri angalau na Mimi niwe narahisisha safari zangu, si kwamba hana pesa anazo, ila ni bahili kupindukia,
Anashindwa kuelewa kuwa maisha ni hayahaya na Mimi napaswa kuwa na kitu fulani, labda ataninunulia nikiwa kaburini maana simuelewi hata kidogo. aliongea Kwa masikitiko Tausi huku Samson akiwa kimya tu kwani hakuwa na la kuchangia.

Walipata gari na safari ikaendelea huku wakiwa wanaongea vizuri tu.

Sasa mwanangu wewe nadhani utashukia hapo sokoni ili uchukue magari ya kwenu si ndiyo?
aliuliza Tausi.

Kwa unyonge Samson akaitikia huku akishangaa Tausi kumwambia vile kwani yeye alijua safari hii ni Hadi kwa Tausi,
Samson alishuka akatafuta sehemu akakaa licha ya magari ya kuelekea kwake yakipita yeye alikaa tu, huku akiwaza kwanini Tausi Hana hamu naye kama zamani
Kwa Tausi nayemjua angelazimisha niende kwake, lakini Kuna kitu gani nimemkosea? Alijiuliza Samson.

Akaona kwakuwa muda bado upo anapanda gari za kuelekea hukohuko kwa Tausi ili akamuulize mbona kabadilika sana.

Ndani muda fulani alikuwa getini kwenye nyumba ya tausi huku akigonga geti na kisha kufunguliwa,
Akafungua mwanamke fulani mzuri sana huku akiwa anaongea kiswahili cha mwambao kama ilivyo kwa Tausi.

Yule mwanamke alifungua sehemu ndogo sana huku akilishikilia geti, Kisha akauliza,

Wewe ni nani na unamtafuta nani?

Naitwa Samson, nimekuja hapa ni kwa mama yangu mdogo, alijibu Kwa kifupi Samson.

Ahaaa hili jina siyo geni, huwa nalisikia, kuhusu huyo unayemtafuta, ametoka, tangu asubuhi amesema anaenda sijui wapi Kuna miradi ya Mzee hivyo hajarudi bado, labda ingia ndani umsubiri. aliongea yule mwanamke huku akifunga geti Mara baada ya Samson kuingia.Huku Samson akiwa anawaza , Tausi alinitangulia muda Sasa atakuwa wapi tena, hata hivyo dili langu limeharibika kumbe hayupo peke yake Kuna mgeni tena? aaaaaargh Bora niondoke tu, tena tausi si tulikuwa wote akija hapa lazima ataniuliza nimefuata nini, mmmmh au niondoke tu? alijiwazia Samson.

Karibu ndani mgeni, naona umeganda tu mlangoni, ingia!
alikaribisha yule mwanamke Kisha wakaendelea na stori.

Huyo mama yako mdogo atachelewa, kwasababu aliniambia akitoka huko atapitia mjini kufunga mizigo yake ya kuweka dukani. alifafanua yule mwanamke.

Naitwa Samson Mgaya,
Huyu mzee Mgaya ni baba yangu mkubwa na hata hapa niliwahi kuishi kipindi fulani, samahani mwenzangu unaitwa nani? alianza uchokozi wake Samson

Mmmmh jamani kwani unataka nini, wewe si unamtaka mama yako mdogo Tausi? endelea kumsubiri maana jina langu hata nikikutajia halina msaada. alijibu kivivu yule mwanamke.

Hapana unakosea dada yangu, unajua Duniani kote watu huanza kwa kutambuana majina, ndipo mengine huendelea, Kuna ajali Kuna dharula na mengine mengi, kwa mfano Mimi hapa nadondoka ghafla, nimezimia au hata kama naongea lakini nikawa sijiwezi, huenda ukaomba msaada nikakimbizwa hospital, na ukiulizwa jina la mgonjwa utawatajia kuwa anaitwa Samson Mgaya,
Je, tufanye haya yamekuwa kinyume yamekupata wewe, je madaktari wakiniuliza jina, nitawaambiaje?
aliuliza Samson.

Mmmmh wewe mtoto umechangamka, hakika unanifurahisha sana, Ina maana hospital bila jina hutibiwi?
Ila nimependa sana ushauri wako ni mzuri,kifupi naitwa Latifa ni dada wa Tausi , yeye ni mtoto wa mkubwa Mimi mtoto wa mdogo, yaani mama zetu ni mtu na dada yake, bibi yetu ni mmoja, halafu umeniita dada unakosea Mimi ni mama yako mdogo. alijibu yule mgeni aliyejitambulisha kwa jina la Latifa.

Samson kutokana na tamaa zake tayari alivutiwa na yule mwanamke, na Samson alipenda sana mteremko , hakuwa na uwezo wa kumsimamisha mtu njiani na kumtongoza, yeye alikuwa na mbinu ya kuwateka watu ambao hawakuwa na utayari wa kufanya mapenzi huku wakikuta tayari wameshiriki ngono na Samson kama bahati mbaya tu.

Sasa Latifa mimi nikuage, maana mamdogo tulikuwa wote, ila sikujua kama ana ratiba nyingi anaenda mjini, akirudi mwambie Mimi nilikuja hapa. aliaga kimikwara.

Dah wewe mtoto kwanza usiniite Latifa, Mimi ni mama yako, Mzee Mgaya namuita shemeji yangu na Tausi ni mdogo wangu, Sasa nakuomba uwe unaniheshimu kama unavyomheshimu Tausi.
Ila nimependa uchangamfu wako hakika nimeenjoy huu muda mfupi uliokuwepo. aliongea Latifa.

Samson aliondoka huku moyo ukimdunda kwa tamaa za ngono, Latifa alikuwa mwanamke mwenye ushawishi, huku akigonga kichwa cha Samson maana ulimbukeni ulimsumbua.

Samson alirudi nyumbani kwao huku akilaumiwa kiasi na mama Kulwa baada ya kupitiliza muda ambao alipewa.

Halafu Samson naomba ule Chakula Kisha nakuomba uje huku nje barazani, aliongea mama Kulwa akiwa kashikilia Miwani mkononi na kitabu fulani, ilikuwa ni kawaida kwake kujisomea vitabu awapo nyumbani haswa vinavyohusu masuala ya uchumi ikiwa ni njia ya kujiongezea maarifa

Samson alimaliza kula Kisha akaja kwa mbwembwe alipo mama Kulwa akaketi chini .

Ahaa umekuja eeh, Sasa naomba unisikilize kwa umakini sana mwanangu, ni kuanzia juzi dada yako Rahma amekuwa ni mtu wa kulala , yaani amekuwa mvivu kupindukia.Na hata hapa ninapoongea yupo ndani amelala, juzi aliandaa Chakula vizuri lakini hakula, Jana pia hivyo hivyo, Leo nimempeleka dispensary, amekutwa ana ujauzito Sasa hii ni habari mbaya ndani mwetu , ni aibu katuletea huyu mtoto yaani nashindwa hata nimpeleke wapi, ila nakuomba mwanangu fanya uchunguzi huko mtaani ili tujue alikuwa na mahusiano na nani.
Lakini pia kama na wewe upo kwenye list japo sina uhakika, ni Bora ukasema mapema maana yule mbogo akirudi atakuja kuua mtu.
aliweka kituo mama Kulwa.

Samson aliruka futi mia huku akiomba asihusishwe na ule msala, lakini pia moyo ulimuuma kwani anajua kashafanya mapenzi na Rahma zaidi ya mara mbili kwenye wiki tatu zile.

Mama nimekusikia na nitafanya uchunguzi, alijibu Samson huku sauti yake ikibadilika na kuwa yenye uoga na mkwaruzo

Mama Kulwa alimwangalia Samson kitambo, huku akiwa anagundua kitu, maana uso wa Samson uliongea.

Itaendelea...................
Sam umeshayakanyaga....
 
SEHEMU YA SABINI NA MBILI

Siku moja wakati Samson anatoka zake shule, alimkuta Mzee Mgaya akiwa na mgeni fulani pale nyumbani kwao ambapo muda mwingi Mzee Mgaya alionekana kumsikiliza yule mgeni ambaye alikuwa anaongea vitu, huku Mzee Mgaya akiwa na kijikaratasi akiandika baadhi ya maelezo anayopewa.
Samson aliwasalimia Kisha akaingia zake ndani ili abadilishe nguo, Kisha akatoka na kumkuta mzee Mgaya peke yake yule mgeni akiwa kaondoka.

Mzee Mgaya alimuashiria Samson akae, kisha akaanza kupiga naye stori,
Enhee niambie, masomo yanaendaje huko, maana mpo kwenye kukaribisha mitihani ya kufungia muhula wa pili, na tayari wewe ni form four mtarajiwa. aliongea Mzee Mgaya huku akimwangalia Sam na kutoa tabasamu la kirafiki.

Ni kweli baba hata Mimi nafurahi kufika hapa nilipo, naamini mwenyezi MUNGU atatia wepesi kwenye kila ninalolifanya, hivyo kila kitu kitakuwa sawa tu. alijibu Samson.

Kwanza nafurahi kusikia hivyo, naweza kusema kwasasa umekuwa mtu mzima wa kutegemewa na hilo linanipa faraja sana, na nilichokuitia hapa ni kukutaarifu kuwa leo hii kesho nasafiri naenda mbali kidogo nje ya nchi, na ndiyo maana umenikuta hapa nilikuwa nafanya maandalizi yangu yanayohusu safari hii, hivyo Samson wewe si mtoto tena nakutegemea sana juu ya kuongeza ulinzi na msimamo thabiti kwenye hii nyumba.

Wewe ni mtoto wa kiume, unajua fika kwa taratibu za kabila letu mtoto wa kiume hupewa nguvu na mamlaka pindi akionesha anajitambua hata kama umri wake mdogo, lakini wewe hata umri wako si mdogo tena mwanangu.
Sitegemei kusikia habari za kijinga, mara Samson kafanya hiki mara hiki, haitapendeza, na mama yako unamjua kitu gani utafanya nisipate taarifa, hivyo kuwa makini sana ningependa uwe wewe na shule, shule na wewe, na hilo ndiyo limekuweka hapa mjini na si lingine.

Jambo lingine kule kwenye Karakana yangu unakujua vyema kabisa, hivyo naomba uwe unatembelea kule, na kucheki mazingira nadhani, itakupa nafasi ya kujifunza vitu vingi, lakini pia Kuna mama yako mdogo Tausi, usimsahau sana na wewe , amekuwa akilalamika mara kadhaa kwamba umemtupa huwa hutaki hata kumsalimia,siyo sawa ulishakaa kule hivyo siku moja moja si mbaya kumjulia hali ni mama yako yule.
aliweka kituo mzee Mgaya.

Sasa Mzee unaenda wapi na utakaa muda gani, aliuliza Samson.

Kwasasa nitakaa kama miezi miwili siyo mingi ila kwa watu tuliozoea kuonana zitakuwa ni siku nyingi.
Ila ninachosisitiza zaidi ni heshima, heshima, heshima.
Samson sitaki nirudi halafu badala ya watu tufurahi kwa kupoteana siku nyingi tuanze kugombana, haitakuwa sawa, hapa hakuna chakula na kama una njaa sana chukua hela ingia zako mtaani ukale maana dada na mama yako tangu asubuhi hawapo hapa. aliweka kituo mzee Mgaya huku Sam akiingia jikoni kujiandalia chakula chake licha ya kuonewa huruma kuwa akale mgahawani.

Jioni familia nzima iliungana huku Samson akiwa kafurahia sana safari ya mzee Mgaya aliona kama alikuwa anambana tu hivyo safari hii atakuwa huru kiasi.

**************************************

Jumamosi fulani Samson alipanda magari ya kuelekea shamba kuliko na Karakana za Mzee Mgaya kama alivyokuwa kaelekezwa, alifika na kujitambulisha huku wafanyakazi na mafundi wa pale wakimuita boss mtoto kama ilivyokawaida.
Samson alikaakaa pale, Kisha akashangaa kumuona Tausi mama yake mdogo, huku Kila mmoja akimshangaa mwenzake.

Hee vipi Sam umekuja na nani, na kama umekuja mwenyewe, hujapotea kweli? alitania Tausi huku akimuita fundi mkuu wa Karakana.

Naona maboss wote mmekuja, hii ni neema, najua watu tutashiba leo, aliongea kwa utani yule fundi huku akijifutafuta vumbi.

Mimi nimekuja kutembea tu lakini pia nadhani Kuna maagizo Mzee alikupa na ndiyo nimekuja. aliongea Tausi.

Ni kweli niliambiwa Kila jumamosi nitakupa kiasi fulani cha pesa, (akitaja kiasi kile)
Pia kinachobaki nitampa yule Mama mwingine. aliongea yule fundi Kisha akitoa burungutu la pesa kiasi cha kumshangaza Samson, maana zilikuwa pesa nyingi.

Hii ni zile kazi wanazoleta wateja wa kawaida yaani mmoja mmoja, na pia zile oda kubwa kubwa pesa zake niliambiwa nimkabidhi mama Kulwa
alifafanua yule fundi.

Sasa, nimekuelewa Mimi naona niwaache niwahi majukumu mengine, vipi Samson tunaongozana au bado upoupo? aliuliza Tausi huku Samson akisema naye anaondoka kwani hakukuwa na haja ya kuendelea kukaa pale, wakaanza kutembea kwa miguu huku wakitafuta kituo cha gari ambacho bado kulikuwa mbali.

Yaani baba yako ananionea sana, yeye si wakushindwa kununua usafiri angalau na Mimi niwe narahisisha safari zangu, si kwamba hana pesa anazo, ila ni bahili kupindukia,
Anashindwa kuelewa kuwa maisha ni hayahaya na Mimi napaswa kuwa na kitu fulani, labda ataninunulia nikiwa kaburini maana simuelewi hata kidogo. aliongea Kwa masikitiko Tausi huku Samson akiwa kimya tu kwani hakuwa na la kuchangia.

Walipata gari na safari ikaendelea huku wakiwa wanaongea vizuri tu.

Sasa mwanangu wewe nadhani utashukia hapo sokoni ili uchukue magari ya kwenu si ndiyo?
aliuliza Tausi.

Kwa unyonge Samson akaitikia huku akishangaa Tausi kumwambia vile kwani yeye alijua safari hii ni Hadi kwa Tausi,
Samson alishuka akatafuta sehemu akakaa licha ya magari ya kuelekea kwake yakipita yeye alikaa tu, huku akiwaza kwanini Tausi Hana hamu naye kama zamani
Kwa Tausi nayemjua angelazimisha niende kwake, lakini Kuna kitu gani nimemkosea? Alijiuliza Samson.

Akaona kwakuwa muda bado upo anapanda gari za kuelekea hukohuko kwa Tausi ili akamuulize mbona kabadilika sana.

Ndani muda fulani alikuwa getini kwenye nyumba ya tausi huku akigonga geti na kisha kufunguliwa,
Akafungua mwanamke fulani mzuri sana huku akiwa anaongea kiswahili cha mwambao kama ilivyo kwa Tausi.

Yule mwanamke alifungua sehemu ndogo sana huku akilishikilia geti, Kisha akauliza,

Wewe ni nani na unamtafuta nani?

Naitwa Samson, nimekuja hapa ni kwa mama yangu mdogo, alijibu Kwa kifupi Samson.

Ahaaa hili jina siyo geni, huwa nalisikia, kuhusu huyo unayemtafuta, ametoka, tangu asubuhi amesema anaenda sijui wapi Kuna miradi ya Mzee hivyo hajarudi bado, labda ingia ndani umsubiri. aliongea yule mwanamke huku akifunga geti Mara baada ya Samson kuingia.Huku Samson akiwa anawaza , Tausi alinitangulia muda Sasa atakuwa wapi tena, hata hivyo dili langu limeharibika kumbe hayupo peke yake Kuna mgeni tena? aaaaaargh Bora niondoke tu, tena tausi si tulikuwa wote akija hapa lazima ataniuliza nimefuata nini, mmmmh au niondoke tu? alijiwazia Samson.

Karibu ndani mgeni, naona umeganda tu mlangoni, ingia!
alikaribisha yule mwanamke Kisha wakaendelea na stori.

Huyo mama yako mdogo atachelewa, kwasababu aliniambia akitoka huko atapitia mjini kufunga mizigo yake ya kuweka dukani. alifafanua yule mwanamke.

Naitwa Samson Mgaya,
Huyu mzee Mgaya ni baba yangu mkubwa na hata hapa niliwahi kuishi kipindi fulani, samahani mwenzangu unaitwa nani? alianza uchokozi wake Samson

Mmmmh jamani kwani unataka nini, wewe si unamtaka mama yako mdogo Tausi? endelea kumsubiri maana jina langu hata nikikutajia halina msaada. alijibu kivivu yule mwanamke.

Hapana unakosea dada yangu, unajua Duniani kote watu huanza kwa kutambuana majina, ndipo mengine huendelea, Kuna ajali Kuna dharula na mengine mengi, kwa mfano Mimi hapa nadondoka ghafla, nimezimia au hata kama naongea lakini nikawa sijiwezi, huenda ukaomba msaada nikakimbizwa hospital, na ukiulizwa jina la mgonjwa utawatajia kuwa anaitwa Samson Mgaya,
Je, tufanye haya yamekuwa kinyume yamekupata wewe, je madaktari wakiniuliza jina, nitawaambiaje?
aliuliza Samson.

Mmmmh wewe mtoto umechangamka, hakika unanifurahisha sana, Ina maana hospital bila jina hutibiwi?
Ila nimependa sana ushauri wako ni mzuri,kifupi naitwa Latifa ni dada wa Tausi , yeye ni mtoto wa mkubwa Mimi mtoto wa mdogo, yaani mama zetu ni mtu na dada yake, bibi yetu ni mmoja, halafu umeniita dada unakosea Mimi ni mama yako mdogo. alijibu yule mgeni aliyejitambulisha kwa jina la Latifa.

Samson kutokana na tamaa zake tayari alivutiwa na yule mwanamke, na Samson alipenda sana mteremko , hakuwa na uwezo wa kumsimamisha mtu njiani na kumtongoza, yeye alikuwa na mbinu ya kuwateka watu ambao hawakuwa na utayari wa kufanya mapenzi huku wakikuta tayari wameshiriki ngono na Samson kama bahati mbaya tu.

Sasa Latifa mimi nikuage, maana mamdogo tulikuwa wote, ila sikujua kama ana ratiba nyingi anaenda mjini, akirudi mwambie Mimi nilikuja hapa. aliaga kimikwara.

Dah wewe mtoto kwanza usiniite Latifa, Mimi ni mama yako, Mzee Mgaya namuita shemeji yangu na Tausi ni mdogo wangu, Sasa nakuomba uwe unaniheshimu kama unavyomheshimu Tausi.
Ila nimependa uchangamfu wako hakika nimeenjoy huu muda mfupi uliokuwepo. aliongea Latifa.

Samson aliondoka huku moyo ukimdunda kwa tamaa za ngono, Latifa alikuwa mwanamke mwenye ushawishi, huku akigonga kichwa cha Samson maana ulimbukeni ulimsumbua.

Samson alirudi nyumbani kwao huku akilaumiwa kiasi na mama Kulwa baada ya kupitiliza muda ambao alipewa.

Halafu Samson naomba ule Chakula Kisha nakuomba uje huku nje barazani, aliongea mama Kulwa akiwa kashikilia Miwani mkononi na kitabu fulani, ilikuwa ni kawaida kwake kujisomea vitabu awapo nyumbani haswa vinavyohusu masuala ya uchumi ikiwa ni njia ya kujiongezea maarifa

Samson alimaliza kula Kisha akaja kwa mbwembwe alipo mama Kulwa akaketi chini .

Ahaa umekuja eeh, Sasa naomba unisikilize kwa umakini sana mwanangu, ni kuanzia juzi dada yako Rahma amekuwa ni mtu wa kulala , yaani amekuwa mvivu kupindukia.Na hata hapa ninapoongea yupo ndani amelala, juzi aliandaa Chakula vizuri lakini hakula, Jana pia hivyo hivyo, Leo nimempeleka dispensary, amekutwa ana ujauzito Sasa hii ni habari mbaya ndani mwetu , ni aibu katuletea huyu mtoto yaani nashindwa hata nimpeleke wapi, ila nakuomba mwanangu fanya uchunguzi huko mtaani ili tujue alikuwa na mahusiano na nani.
Lakini pia kama na wewe upo kwenye list japo sina uhakika, ni Bora ukasema mapema maana yule mbogo akirudi atakuja kuua mtu.
aliweka kituo mama Kulwa.

Samson aliruka futi mia huku akiomba asihusishwe na ule msala, lakini pia moyo ulimuuma kwani anajua kashafanya mapenzi na Rahma zaidi ya mara mbili kwenye wiki tatu zile.

Mama nimekusikia na nitafanya uchunguzi, alijibu Samson huku sauti yake ikibadilika na kuwa yenye uoga na mkwaruzo

Mama Kulwa alimwangalia Samson kitambo, huku akiwa anagundua kitu, maana uso wa Samson uliongea.

Itaendelea...................
mtoto anamabalaa huyu
 
SEHEMU YA SABINI NA TATU

Samson alitamani Rahma aamke muda huohuo ili amuulize, lakini akaona atazidi kujiongezea matatizo zaidi.

Ina maana hizo mara mbili tulizofanya ndiyo apate ujauzito?
Hapana, kwanza tumefanya kwa kujiiba sana tena juujuu tu, mbona Tausi sikusikia ana mimba , hata Cathy sijamsikia pia, kwanini huyu Rahma ionekane ana ujauzito.
Siyo Mimi itakuwa ni watu wengine tu, si huwa anasema Kuna watu kibao wanamsumbua, itakuwa ni wao na si Mimi. Kwanza akiamka, namuuliza, tena nampiga mkwara na nitakataa kabisa kuwa si mimi, sitaki nikose masomo kwa upumbavu wake. anafanya ngono na mijitu mizima huko nje halafu anisingizie Mimi.
Samson alijikuta anawaza huku akimlaumu Rahma hata kabla hawajazungumza chochote.

Samsooon, wewe Samuuuu, hebu toka huko ndani, unafanya nini eeh saa hizi saa kumi huendi kujisomea na wenzio? acha uvivu , mitihani imekaribia unajua fika kabisa, nashangaa hadi ulazimishwe mwanangu kweli, wewe ni mtu mzima bwana muda wa kuamrishana kila saa umepitwa na wakati, unapaswa kuzingatia ratiba na mipangilio yako.
Sasa naomba ukimbilie kwa Cathy Mara moja, Kuna mizigo nilimwagiza Sasa nashangaa hadi muda huu sioni jibu, hebu ifuate Mara Moja kisha uwahi kusoma. aliweka kituo mama Kulwa.

Ndani ya muda mfupi Samson alikuwa getini kwa Cathy, aligonga geti kwa fujo, kama alivyozoea kutaniana naye,

Wewe ni nani unayegonga geti kwa nguvu kama unataka kuvunja, eeh who are you? aliuliza Mzee mmoja mwenye mvi nyingi huku akiwa kifua wazi na kavaa kaptura fupi sana.

Naitwa Samson, alijibu Kwa uoga Sam.
Enhee tukusaidie nini?
aliuliza yule mzee.

Nimetumwa na mama, Kuna mzigo nimeufuata kwa dada Cathy. alijibu Samson.

Yule Mzee hakuwa na Imani ya moja kwa moja ikabidi amuite Cathy maana alihisi Samson ni kibaka tu wa mtaani anayevizia kuiba.

Oooh my huyu ni kijana wa hapo kwa Mzee Mgaya, wanasema sijui ni mtoto wa ndugu yao hivyo yupo hapo kwaajili ya kusoma. alijibu Cathy huku Samson akishangaa Cathy akimuita my Mzee mtu mzima makamo ya baba yake,

Sasa kama anasoma, mbona yupo hapa anasoma shule gani? aliuliza yule mzee.

(Huku akicheka)
Unajua my si unajua tena, huyu anasoma hizihizi shule zetu yupo hiyo shule ya hapo nyuma. alijibu Cathy huku wakiangaliana na yule mzee na kucheka sana.

Yaani Mzee Mgaya ana maisha ya kuungaunga sana , ukute sifa zilimponza akajikuta anawatambia watu kuwa ana uwezo wa kumsomesha mtoto kumbe matatizo tu, Sasa wewe unampelekaje mtoto wa mwenzio shule ya kayumba,
Ukiamua kumsaidia mtu msaidie kweli siyo unajaribu.alisema yule mzee aliyeonesha anajiamini sana.

Babe, cool down wakikusikia itakuwa nongwa mwenzio unamjua alivyo bahili.aliongeza Cathy.

Hakuna nongwa Yaani kusema ukweli ndiyo nongwa, kwanza James (Mzee Mgaya)nikikutana naye namwambia ukweli, tena yule wala siyo bahili sema hana hela , tatizo nyie mnashindwa kutofautisha mtu bahili na asiye na hela, Sasa James hela apate wapi, ukimpa dili muoga kwelikweli kufanya yeye anadhani Duniani hela zinakuja kirahisi ndo maana anazeeka masikini eti kafungua Karakana ya useremala huo ni uchizi tu anapishana sana na hela mtu ana jina na nafasi serikalini lakini kabweteka. alisema yule mzee Kisha wakafunga geti na kurudi ndani.

Samson alifika nyumbani kwake, na kumkabidhi mama yake mzigo huku akishindwa kujizuia,

Mama nimemkuta Mzee fulani kwa Dada Cathy hivi ni ana pesa sana maana anaonesha mwenye kiburi mno Yaani. aliongea Samson huku akisubiri jibu.

Hivi kumbe karudi ndiyo maana shoga yangu, leo Kawa kama mwali hatoki ndani, loooh mtoto ana laana huyu, kuhusu pesa za huyo Mzee mwanangu sijui kama anazo, kwasababu mimi sijui anafanya kazi gani, labda huko nje ya nchi anakoishi, ila kifupi Mimi sijui,
alijibu kifupi mama Kulwa.

Maana ana mikwara sana eti baba Hana hela, nimeshangaa sana. aliongeza samson.

Baba yako alianza kazi ya ualimu kwenye shule za wazungu kipindi hicho, kafundisha tangu akiwa mkoani huku akifundisha shule tatu tofauti kabla hajajiunga kwenye jeshi la wananchi ambako kakaa muda mwingi hadi anastaafu, hali kadhalika Mimi nimeanza kazi ya udaktari nikiwa Binti mdogo, huku nikiwa nasoma na kuongeza Elimu zaidi hivyo hata kama ukitaka kuandika stori inayotuhusu Mimi na baba yako inaandikika.

Lakini kuhusu huyo Mzee , mmmmh mwenye anadai ana Degree kaipata sijui chuo cha nchi gani sijui, lakini ni no no no , lifestyle yake ina walakini.pesa zake hatujui kapataje.
alijibu kifupi mama Kulwa huku akionesha anayajua mengi ya yule mzee ila alijibu kifupi.

Samson alichukuwa begi na kuingia zake mtaani hakutaka kwenda kujisomea ila alitoka kwa kuzuga lakini lengo alitaka aende kwa Mzee mmoja fundi viatu wa pale mtaani lengo akajiulize jambo, hatimaye alifika na kumsalimia.

Naona Mzee wangu unajisomea hongera sana, aliongea Samson huku akiketi.

Mjukuu wangu sasa mimi umri huu nitake nini hapa Duniani, Mimi najikumbusha yale anayotuamrisha ALLA'H kwa kupitia mitume wake, lazima nijitengenezee mwisho mwema, Dunia imejaa ubatili tu.eeh vipi umekuja na kazi gani Leo mbona sioni hata viatu. aliuliza yule Babu

Mzee leo nimekuja kivingine na hela yako ya kahawa hii hapa, Nina swali moja tu nataka unisaidie majibu yake

Hivi ujauzito huingia kwa muda gani, na mnatakiwa mfanye mara ngapi Ili mwanamke apate ujauzito. aliuliza Samson.

Mzee akaanza kucheka sana tena sana,

Mjukuu wangu wewe umeshaharibu , ila nakushangaa wenzetu sasahivi haya mambo yanafundishwa mashuleni, tofauti na zamani. ila kwa kukusaidia ni kwamba mwanamke akiwa kwenye siku za hatari hata kama ukamuwekea zile ***** bila kumuingiza huyo Said kichwa atapata mimba tu. Ila nikuulize huyo mwenye ujauzito ni mwanafunzi.

Samson alitikisa kichwa kuwa si mwanafunzi.

Wewe ni mjinga sana yaani, Sasa kama si mwanafunzi wee unaogopa nini? Acha ujinga mjukuu wangu.

Huyo msichana ni msaidizi wa kazi wa pale nyumbani Sasa masharti ambayo tulipewa juu ya kuheshimiana na mikwara ya mzee wangu naona kabisa nitakuwa kwenye wakati mgumu Babu, maana msichana atafukuzwa hali kadhalika Mimi pia.

Mzee wako anatakiwa ajue kuwa haya mambo hayazuiliki na pia alee tu huyo mtoto, aache mambo yake, Mimi Sina la ziada ulichouliza nimekujibu nashukuru umenipa hii hela ngoja niingie mtaani nikaitafute kahawa.

Samson aliondoka akiwa hajaridhika na majibu ya yule mzee ila hakuwa na wa kumlaumu, alirudi nyumbani akamkuta mama Kulwa anatoa gari lake , wewe Sam Mimi narudu Sasa hivi Kuna sehemu naenda. aliaga mama Kulwa.

Samson akaona ile ni nafasi nzuri ya kumuhoji Rahma na kumtishia Ili asimuhusishe na ule msala.

*************************************
Ni kweli nina ujauzito, hata Mimi nilikuwa sijui nikiona labda ni hali ya kawaida lakini vipimo vimeonesha Niko hivyo na muhusika ni wewe Samson hakuna mwingine, ningekuwa labda nilichanganya wanaume, ningebabaika lakini Sina wasiwasi hata kidogo wewe ndiye muhusika na unakumbuka siku ile unaniburuza nikawa nakukatalia lakini wewe ulilazimisha, Sasa kipindi kile nilikuwa kwenye siku za hatari, na ndiyo maana mwanamke akikukataa unapaswa uelewe siku zote nilikuwa na kukubalia kwanini usijiulize kipindi nakataa?

Tena bila aibu unasema nisikutaje , utanifanya Nini hata hivyo, na hapa mama ananiuliza Kila mara akikuhisi wewe lakini Mimi wala sitaki nikutaje, ila ukinitishia kama hivyo nasema tu. aliongea Rahma kwa sauti ya ukali

Shauri yako Mzee Mgaya atakuua , unakumbuka alisema ukipata mimba uhame, shauri zako.

Amuue nani ndiyo maana huwa nasema wewe samson mtoto mdogo sana, unadhani Kuna mtu ataua mtu kirahisi tu unavyodhani, Mimi nitakubali kufukuzwa kama alivyosema mwenyewe na pia Wala sitakutaja hata wafanyaje, kama ni ujinga nimefanya mwenyewe wewe huna kosa hata kidogo, na ndiyo maana unajaribu kunipandishia kibesi eti na wewe Samson unanitisha, kuwa na amani. aliongea Rahma huku machozi yakimlenga.

Hata Samson mwenyewe alijikuta roho ya huruma inamwingia akajikuta Hana la kufanya.

Itaendelea......................
 
SEHEMU YA SABINI NA NNE

Siku ya jumatatu wakati Samson anarudi nyumbani alimkuta mama Kulwa akiwa na Cathy wanaongea huku Cathy akiwa anacheka kila muda Samson hakujua nini kinamchekesha yule dada, aliwasalimia Kisha akaketi huku akitoa barua fulani waliyopewa shuleni na kumpa mama Kulwa.

Jamani vipi tena barua, umeharibu nini wewe, na kama ni hivyo siendi kwa mambo ya kipuuzi Mimi, mmezoea mambo ya kijinga utamsubiri baba yako nakwambia.
alilaumu mama Kulwa akiwa hata hajafungua barua ajue ina nini ndani.

Aliisoma kwa muda Kisha akaiweka pembeni, kumbe ni habari za mwaliko Mimi nikajua tayari kayazua huko. alisema mama Kulwa huku akimwangalia Cathy wote wakacheka.

Basi mama yangu fanya kama nilivyokuelekeza, umelea watoto wako vizuri kwa ethics safi kwanini aje akutese mtoto wa mtu , afanyiwe abortion tu ili kuepuka matatizo yasiyo ya lazima, kwanza huyu atakuwa mzazi wa kwanza Kuna vitu chungu mzima vitajitokeza kama operation, pia mtu kuumwa muda mrefu, na pia unakuta labda mtoto aliyezaliwa naye ana matatizo, eeh mama lazima hili suala uliangalie kuanzia muda huu, litakuletea shida baadaye utashindwa kufanya kazi zako ukiuguza mgonjwa. alishauri Cathy ambaye ni mtu wa karibu mno na mama Kulwa, pia ni born town akiwa anajua vitu vingi hususan bidhaa mpya na matoleo ya nchi mbalimbali hivyo ni mtu ambaye huwa anasikilizwa sana.

Samson akiwa anakula alisikia Kila kilichoongelewa na wawili wale lakini pia alitamani kujua Rahma yuko wapi maana hakumuona.

Sasa shoga yangu kwanza nimekusikia, japo kwa suala la kutoa huo ujauzito sijakuafiki bado, mimi nashauri aitwe Tausi hata kama hawana udugu wowote lakini ni mtu anayemfahamu Rahma tangu akiwa mdogo, Mimi nataka atoke hapa kwangu tu basi, wewe mwenyewe unaona amekuwa mtu wa kulala tu hafanyi kazi sijui hiyo mimba ndiyo inatafuta pakukaa hata sijui.na ndiyo maana nimemtuma sokoni aende kwa miguu ili apate kujinyoosha.
aliweka kituo mama Kulwa.

*************************************

Jioni ile kulikuwa na watu wanne wote wanawake, akiwemo mama mwenye nyumba
Mama Kulwa,
Tausi, pamoja na dada yake,
Na Rahma ambaye ndiye main character kwenye kikao kile, huku Samson akifukuzwa asishiriki hivyo ikawa ngumu kujua Nini kimezungumziwa.

Akiwa karibu na getini mithili ya mlinzi akiwa anajisomea nyakati zile, alisikia sauti ya mama Kulwa ikimuita ikabidi akusanye vitu vyake vyote, akaingia ndani, sura alizokutana nazo hazikuwa na tabasamu siyo mama Kulwa wala Tausi wote walimtazama Samson kwa macho mabaya sana.

Nilikwambia Sam,
Njia ya muongo sikuzote ni fupi nilikuuliza ukakataa na kuapa viapo vyote lakini ukweli umejulikana Sasa nakuomba uchukue vifaa vyako vyote nakuomba tu kwa ustaarabu uondoke sikuhitaji. hakuonesha masihara mama Kulwa.

Dada ni kweli kabisa huyu mtoto ni mshenzi, tena ni hafai hata kuwa naye karibu nakuomba fanya chochote dada Yangu. Tausi aliongea kwa uchungu kuliko mtu yeyote huku Samson pekee akijua kwanini Tausi anaumia kuliko wote, pengine ni baada ya kuujua ukweli aliokuwa anauhisi siku nyingi ila akawa hajathibitisha.

Samson alichukua begi lake huku akiwa haamini anachokiona, licha ya kuganda ganda pale getini lakini hakuna aliyemuonea huruma, wote walikuwa wa moto sana kiasi cha Samson kukosa mtetezi.
Mama Kulwa alifungua geti kwa nguvu huku akimsukuma Samson kwa nguvu ili atoke nje huku akimrushia kiasi fulani cha pesa ikiwa ni nauli ya kurudi kwao mkoani.

Mpuuzi sana wewe nimekuvumilia mangapi, tumekusaidia mangapi, kwahiyo ukakosa adabu ndani mwangu Mimi na baba yako tu********,halafu na wewe ufanye hivyo hivyo mtoto mwenye laana wewe, nasema hapa kwangu hutokanyaga na mzee Mgaya hawezi kunifanya chochote kwakuwa hapa ni kwangu na kama atakurudisha nitahakikisha hapa kwangu hukanyagi mpuuzi sana wewe. aliongea mama Kulwa akiwa anarusha maneno huku Samson akiwa nje ya fence majirani kadhaa walianza kutoka kwani ilikuwa si kawaida kwa mtaa wao kusikia matusi kama sehemu zingine.

Samson alikaa chini Kisha akacheka, si kicheko cha furaha bali akiwa haamini yaliyotokea kwani kwa muda huo ilikuwa kama ndoto kwake.

Muda ule aliwaza wapi aende, ingekuwa Tausi hayupo pale angeenda kwake, lakini alishajua Tausi kachukia zaidi, aliwaza huku akiwa hajui afanyaje .

Baadaye wazo likamjia, aende kwa mjumbe wa mtaa wao, alipofika pale alijieleza na kusikilizwa vizuri sana tu lakini mjumbe alikataa kumpa hifadhi.

Mwanangu siwezi kukuhifadhi hapa, wakati kwenu ni hapo tu na Dunia imebadilika mno, hatujui una matatizo gani kiafya, ukitufia kwa mawazo je, unataka kutusababishia matatizo, wewe nenda mbembeleze mama yako muombe msamaha , atakuelewa tu. alishauri yule mjumbe.

Mume wangu acha kuzunguka sisi wenyewe tuna watoto wa kike hapa na milango si mizuri akiamka usiku kwenda kuwabaka watoto wetu! Mtu mwenyewe anakwambia kampa mimba mtu, Mimi simuhitaji.
aliongea mke wa mjumbe aliyeonekana ni mwenye mdomo sana.

Samson aliwaza kitambo kidogo akaona suluhisho ni kwenda kwa Cathy tu, kwanza yule bwana wake Cathy ameshaondoka zake ughaibuni, alijua wazi Cathy atampokea tu, akaanza kupiga hatua za haraka huyooo mpaka kwa Cathy.

Aligonga geti muda mrefu sana lakini halikufunguliwa, baadaye sana alitoka dada wa kazi huku akimlaumu Samson kwa usumbufu kwani watu walishapumzika,

Simama hapohapo ngoja nikamwite na jua huwa haruhusu kumfungulia mtu usiku, subiri aje akufungulie mwenyewe, aliongea yule mdada.

Eeenhee sema wewe nini usiku huu mbona unatutisha, Cathy aliuliza.

Samson ikabidi ajieleze yale yaliyompata masaa machache yaliyopita.

Kwahiyo nikusaidie nini, mshamba mkubwa wewe, wazazi wako ni masikini, Mzee Mgaya kajitolea kukusomesha, badala ya kusoma unaendekeza mambo ya kijinga , halafu kumbe wewe ni malaaaayaaaa eeeh unaonekana mpole kumbe ni mshenzi, Sasa nikwambie kitu kunilala Mimi isiwe sababu ya kunizoea na kuja hapa ni marufuku , Mimi siyo ndugu yako. aliongea Cathy kwa sauti ya chini ili housemaid wake asisikie lakini ilikuwa sauti yenye amri kuu. Akafunga geti.

Samson alipoteza tumaini kwani sehemu aliyoitegemea ndiyo hivyo tena huku akiwa hana mtu yeyote anayemjua , alianza kutembea akiwa hajui aelekee wapi na usiku ulianza kuthibitika zaidi baada ya kuwa watu aliokuwa anapishana nao wanapungua na hata magari yalianza kupungua barabarani, huku hali ya utulivu ukianza kushamiri , hakuwa na saa akashindwa kujua ni saa ngapi, ila aligundua ni usiku mnene.

Aliamua kwenda kwenye baa moja ambako alikuwa anasikia makelele kwa mbali Lakini napo aligundua watu wanapungua huku gari fulani ndogo ikiwa inapakia vyombo vya muziki kuashiria kulikuwa na tafrija fulani kwenye baa ile na Sasa imeisha, akiwa yupo yupo hana la kufanya alisikia sauti ya mtu anayemfahamu, ikabidi asogee pengine atapata msaada.

Ila huyu alichotufanyia siyo kabisa yaani ndugu zanguni, Sasa kwanini atulete baa , kakosa hata viukumbi vidogo akaona aje huku, na sisi wengine hatulewi mapombe kama wao haoni kuwa hajatutendea haki? japokuwa Leo nimeonja na hapa inanitesa kweli hiyo wine,
alikuwa ni Madam Silvia akiwa na wanawake watatu wakilaumu jambo ambalo Samson hakulijua.

Wote watatu walishtuka baada ya kuona Kuna mtu anawasogelea,
Wewe ni nani na unamtaka nani ,
aliuliza mwanamke aliyekuwa mbele zaidi kuliko wenzake.

Naitwa Samson Mgaya nimeisikia sauti ya mwalimu wangu nilikuwa naomba msaada,alijibu Samson.

Wewe mtoto usiku huu unafanya nini hapa na ni mwanafunzi, huoni hata aibu jamani hebu njoo kwenye mwanga, alijibu Madam huku wengine wakicheka na kusanifu.

Samson alijieleza sana huku akipindisha ukweli maana alijua kwa kusema wazi kosa lake hatopata msaada hivyo akaamua kutunga kosa lingine lenye unafuu.

Mmmmh watu wengine bwana Sasa unamtoa mtoto wa mtu kwao Kisha unakuja kumzurulisha usiku huu eti kakukosea Sasa si Bora umrudishe kwao Tena kwa kumpandisha kabisa kwenye gari, sasa hapa akivamiwa na vibaka . walilaumu wanawake wale wawili.

Mara gari fulani ndogo ilikuja ikiwa Ina kazi ya kuwabeba watu wale na kuwapeleka makwao.

Sasa ndugu zanguni kwakuwa huyu kijana namfahamu naondoka naye na kwangu siyo mbali nyie pandeni gari Mimi naondoka naye taratibu.

Baada ya muda fulani walifika huku wakipiga stori mbalimbali pale sebuleni na muda mwingi Madam alimtoa hofu Samson kuwa asijali atamsaidia tu.

Sasa mwenzangu sijui hata utalala wapi maana chumba hiki kimejaa vyombo tu, na kingine kipo na kina kitanda japo hakuna godoro, sijui ujikunje hapa hapa kwenye kiti masikini, ni saa Saba hii ujue ,
wewe tena usitafute usingizi, wewe jali umepata tu hifadhi unataka kuniambia usiku huu ungeenda wapi,
aliongea madam huku akionesha naye ana usingizi maana muda nao ulienda (kulikuchwa)
Samson hakujibu neno, akawa anamwangalia tu madam,

Yule Madam aliingia ndani akakaa zaidi ya dakika kumi asitoke hii ikampa hofu Samson kuwa kwahiyo nitalala kwa kuegama tu, baadaye alisikia sauti ya Madam yenye usingizi na uchovu ikimuita, akaingia ndani akakuta Madam kalala huku akiwa kajitupa huku akiwa na harufu ya pombe kwa mbali.

Wewe Samson Mimi Sina namna ya kukusaidia kwanza nimechoka, we kung'uta miguu panda kitandani ulale. aliongea Madam Silvia huku akionesha pombe aliyokunywa inamzingua sana.

Itaendelea......................
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom