Mwanya?hapo ungesema ana mwanya basiiii umenimaliza
Shukrani boss
eeeeeh beb huu wangu haukutoshihapo ungesema ana mwanya basiiii umenimaliza




samuuuungja tusubili muendelezoAkisemwa ofisini nakuambia amekwisha.
Sema bana wanawake Kama hawajakupenda ama kukubali ndio anajifanya kuwa Ana rules zake.
Wanasema kuwa women break their rules for the men if value the same to government

sipati picha Sam alivyokua anatimua mbio kama anafukuza mwiziAkisemwa ofisini nakuambia amekwisha.
Sema bana wanawake Kama hawajakupenda ama kukubali ndio anajifanya kuwa Ana rules zake.
Wanasema kuwa women break their rules for the men if value the same to government
namuombea Sam asije akataka kumkula mama kulwa, watamnyonga wamuue..





kwa jinsi anavyomuoga sidhan kama ataweza.! Ila namuona Tausi akibeba mimba ya Sam
Duh, umewaza mbali sana aisee, hawezi anamuogopa na kumuheshimu mama kulwanamuombea Sam asije akataka kumkula mama kulwa, watamnyonga wamuue..
yani nafoli mazimaMwanya?
Ndiyo ugonjwa wako nini mkuu
unatosha babe nimerizikaeeeeeh beb huu wangu haukutoshi