Simuelewi huyu baba ana maana gani

Simuelewi huyu baba ana maana gani

Miss chaga, iko hivi sijawahi kumuomba pesa yake, hakuwahi kunipa na sikuwahi kufikiria hvyo namuheshimu tu kama baba yangu na there was and there is nothing between me and him zaidi ya lift tu..so mi ndo namshangaa sasa

Kwani we hujui anataka nini? Mwanaume lake papuchi tu kama hutaki kumpa just let him go.na si kumchunia
 
Habari zenu wana JF, let me go straight to the point..huyu baba ni m2 mzima ambae sikatai alikuwa ananisaidia usafiri kipindi nikiwa naelekea chuo ambako nae ofisi zake zipo huko, ukiwa ndan ya gari yake anapenda sana kuhusia kuhusu masomo, maisha, na kujichunga ukiwa kama kijana kuhusiana na mahusiano. Sasa cha kushangaza hapendi kuniona hata nikiwa nasalimiana na vijana wenzangu ambao tumekuwa nao tangu utotoni, I mean tuliochezea nao vifuu na kidali poo since we were young..tukikutana njiani bahati mbaya au nzuri nikiwa peke yangu au nikiwa na wa jinsia yangu anasimamisha gari ananisalimia kwa bashasha hata kwa dakika 30..ila kama kawaida akiniona na jinsia tofauti atanipita kama hanijui na atanikasirikia hata siku nyingine akiniona niko peke yangu!..ila baada ya muda anakuwa tu kama kawaida..mi naamua tu kumchunia vipi uamuzi huu uko sahihi au ntakuwa nakosea wana JF? NisaidieniNawasilisha

Hizi zote ni theory zilizoko kichwani mwako kutokana na vitendo anavyokufanyia. Ni vizuri kuvipa vitu maana for safety reasons. Lakini tena huwa kuna alternatives to the theories. Ukifanya wrong calculation katika kuunganisha matukio unaweza ukatoka na theory ya ajabu ambayo sivyo mambo yalivyo.

All I am trying to say is. Act on the things he tells you....Life is full of things to do
And...Always(I mean always) vitu vya bure vina gharama zake hasa lift.
 
VP unaonaje nianze kumuepuka kabisa hata asinione au? Maana yasije yakawa mengine au unaonaje?

that could be the best option. Ukiona anakufuata fuata hivyo hasa kuchukia ukiwa na wavulana ujue anakutaka kimapenzi ila bado anakulia timing na target nzuri ya either ya kukwambia au hata kukulazimisha ikibidi. Na kwa sababu ni mtu ambae mko karibu na watu wanajua hilo hata akija kukutendea baya utalalamika lakin utaonekana mwongo maana watu wa karibu yako wanafahamu ukaribu wenu so watadhani mnafahamiana na unamsingizia.
Ni vema ukaanza kumwepuka
 
kipepeo unapenda vijana lakini huduma ya wazee wataka....chagua moja wewe
 
Unapewa lifti na mwalimu wako...na madesa anakupa?


Yaan anaanza kukusalimia na anaulizia mambo kibao, mara chuo na anaweza hata akakuuliza swali linaloendana na faculty yangu cos kazi anayofanya inaendana na mchepuo wangu pia, so nashndwaga kum reject katika salam that's why inakuwa ya muda mrefu
 
Kwel utu uzima huo ucjue tu huyo baba anataka nn kwko?wake up!kwan bila lift hufiki chuo?mchunie tu..
 
sidhan kama kuna umuhimu sana wa kutaja chuo nilichosoma, ila Mimi sipo kama hvyo unavyonifikiria ndugu yangu Data

acha kucheka nae sasa, na urejeshe hela, na mafuta ya gari...

Vp wewe! Hujielewi. Wataka pokea hutaki toa.
Utabkw.
 
kama unataka lift usimchunie hata akikuchunia msalmie kwa tabasamu tamu....
Ila kama unataka CV nzuri ya maisha yako huko mbele... kaa kimya kwake... mzee anataka kukuchezea tu
 
Labda ni kwasababu:
1. Anataka tundra
2. Anakupita ukiwa na RAFIKI zako hataki kukuharibia au anaogopa kichapo kutoka kwa hao vijana wa rika lako.
3. Anakutaka lakini anaogopa kukuambia ether kwakuwa mumezoeana au anaogopa aanzie wapi?

Ushauri wangu:
Sioni sababu yakumchunia. Unachoyakiwa kufanya jitahidi kumuita baba baba baba baba mpaka aone aibu na aone kweli wewe ni sawa na binti yake wakukuzaaa.

Kama kukutaka kimapenzi kashakosea timing kwasababu alitakiwa akutokee kabla hajakuzoea tungejua moja kwamba yeye ni FATAKI.
 
Back
Top Bottom