Simuelewi huyu baba ana maana gani

Simuelewi huyu baba ana maana gani

Hiyo salamu ya dakika 30 ni salamu ya aina gani!
Yaan anaanza kukusalimia na anaulizia mambo kibao, mara chuo na anaweza hata akakuuliza swali linaloendana na faculty yangu cos kazi anayofanya inaendana na mchepuo wangu pia, so nashndwaga kum reject katika salam that's why inakuwa ya muda mrefu
 
Hapa kuna kitu wewe na huyo mzee, ila unashindwa kumwaga mambo yote hadharani unatuwekea nusu nusu, ila watu wa kuelewa tushajua kinachoendelea
Wala hakuna cha ziada zaidi ya huo uzi nilioweka, Sina uhusiano nae wa kimapenzi Zaidi ya lift tu na namuheshim sana..ila tatzo ndio hilo anakuwa anamind anavyoniona naongea hivi njian au nasalimiana na wanaume wa mtaani ndio hapo nahitaji ushauri nami nimpotezee tu au VIP
 
Yaan anaanza kukusalimia na anaulizia mambo kibao, mara chuo na anaweza hata akakuuliza swali linaloendana na faculty yangu cos kazi anayofanya inaendana na mchepuo wangu pia, so nashndwaga kum reject katika salam that's why inakuwa ya muda mrefu

Nakuuliza swali moja tu my dia.Kwani una interest nae au feeling ya malovee kwa huyo baba?
 
Nahisi anaorodhesha ukoo wake wote kwenye hiyo salamu[/QUOTE]

Hahahaaaaa umenichekesha
 
una tatizo gani? Chuo gani hicho wasoma,kina mwanafunzi kama wewe ambaye hujui una nini hapo kati ya mapaja.?

kwani kuna nini mkuu data
 
Last edited by a moderator:
mmmh!!! sa ndo atoe bila kuombwa... anasubiri mzee afunguke
Ndo maana nipo hapa nipate mawazo tofauti then nijue jinsi ya kumuepuka sasa, kama ananitaka imekula kwake..am not that kind of girl asee
 
hapa kama kuna jambo huelezi!!! akukacrikie tuuu bila sababu??? mbona salamu ya nusu saa hukushangaa!!!
 
Ndo maana nipo hapa nipate mawazo tofauti then nijue jinsi ya kumuepuka sasa, kama ananitaka imekula kwake..am not that kind of girl asee

acha maneno yako wewe... yor noy that kind of a girl mbele ya ndinga!!! fungua nafsi papuchi mmepewa bure ya nini kumtesa mzee wa watu lol
 
Back
Top Bottom